Mchumba wangu huwa hataki nimpigie simu wala SmS bosi wake wa kiume akiwepo

Mchumba wangu huwa hataki nimpigie simu wala SmS bosi wake wa kiume akiwepo

Wote mnafanya kazi za ndani eti? Maana huwa unajuaje kama boss wa kiume akibaki nyumbani hataki umtafute!

Alafu demu wako ni Ndumilakuwili, anataka aendelee kuwachanganya.
 
Dhumuni la kuanzisha huu Uzi, ni ili apewe Faraja. Nyie mnazidi kumtisha
Basi sawa,, tumwambie boss hataki mzaa kwenye kazi yake awe anampigia asubuhi au mchana,usiku amuache afanye kazi alizopewa na boss kwa makini bila usumbufu..au hapo napo bado πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Back
Top Bottom