Ewaaa, hapo umenena vyema. Watu Wana roho nyepesi, anaweza kujinyongaBasi sawa,, tumwambie boss hataki mzaa kwenye kazi yake awe anampigia asubuhi au mchana,usiku amuache afanye kazi alizopewa na boss kwa makini bila usumbufu..au hapo napo bado πππ
Yeah nahisi ameelewa vizuri sanaπ€π€Boss usiku anambembeleza alale[emoji1787]
Maana amechoka
Basi sawa,, atakua ameelewa vizuri sana π€π€Ewaaa, hapo umenena vyema. Watu Wana roho nyepesi, anaweza kujinyonga
Analiwa na boss wake. Cha msingi chakata nyama tuliaMimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.
Mkuu demu wako kawa chakula cha boss.Elewa neno chakulaaMimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.
SWALI zuriMchumba wako ni Beki 3?
Akikujibu ntatoa ushauriMchumba wako ni Beki 3?
Sasa unataka ushauri gani tena kila kitu kipo wazi huyo ni chakula cha boss ...... kama una bisha jaribu kufuatilia simu zake ......Mimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una miaka mingapi