Mchumba wangu huwa hataki nimpigie simu wala SmS bosi wake wa kiume akiwepo

Analiwa na boss wake. Cha msingi chakata nyama tulia
 
Mkuu demu wako kawa chakula cha boss.Elewa neno chakulaa
 
Usijali anakupenda sana ndio maana anakuficha vitu kama hivyo endelea kushikilia hapo hapo tu hata miaka mitatu mbele atakuja kukupa mbususu.

Endelea kuvumilia kijana wetu.
 
Mkuu umelogwa nn?hiyo mbona ni obvious na Sio kwamba huyo boss anamfosi ila manzi ndio hataki kumkosa.Jipange.
 
Wavulana wapo wengi sana. Huyo mpz wako n Mali ya boss
 
Sasa unataka ushauri gani tena kila kitu kipo wazi huyo ni chakula cha boss ...... kama una bisha jaribu kufuatilia simu zake ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…