Mchumba wangu kaenda chuo cha polisi

MWANDENDEULE

Unapenda kujua ukweli?Haya ujue ukweli huu:1.kule kuna wanaume na mapenz pia yapo,hivo atapendwa na watatoa tu.2.Akimaliza atakuwa na mawazo tofauti kabisa na aliyokuwa nayo hapo awali juu yako.hivo hatarudi akwambie eti nioe,hiyo sahau.3,kuolewa kwa polisi miaka3 si 5,hivo huna haja ya kusema umsubiri sab akirudi hatakuwa pekee yake.OA kaka.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na mambo yafutayo :
1.demu wako ana mvuto kiasi gani?
2.Je anapenda miteremko ktk majukumu?
3.Je ana mawenge kiasi gani.

Ushauri: Msubirie amalize mafunzo halafu atapangiwa kitengo gani, kama atapangwa TRAFIC muoe vyovyote atakavyokua
 
joh najua umepend San. ila hayuko peke yake bana. we kuwa na alternative. kwann utegemee sehem moja. tumia plan b. depo watu wan mbato mbaya weee nlikua jkt mafinga bana hali naijua. we kama wataka kufa kwa ugonjwa was moyo mtukuze Hugo msaliti alikuficha hill jambo pekee maishan mwenu ya uchumba
 
Pole mkuu akirudi tu mwili ikikaa sawa labda baada ya mwaka mmoja tia mimba( km kweli una NIA ya kumuoa, atafukuzwa over na taratibu zote za mafao unachukua. Umenisoma?

Ahsante mkuu nimekusoma vyema
 

Nimewasiliana nae tu jana lakini kasema hatakuwa hewani tena na mimi sijaicheki namba hewani tena kwa sababu hiyo ya kutokuruhusiwa kuwa na simu.
Kuhusu ubikira, hilo bila kuficha demu nilimkuta kitu hakijaguswa kabisa-I love that lady indeed
 
wanaokutia moyo wanakudanganya tu. kiukweli ni kwamba utamegewa tu coz hamna namna nyingine. fanya utaratibu wa mbadala mapema
 
huku huwa 2nawala sana!!ni amri c ombi kutoa papuch,ngoja nijipange j3 depo lianze
 
Kwa askari nakushauri tafuta mwingine kwani hadi depo iishe mainstroctor Watakuwa wamepiga mpaka itaweka sugu. Mbili tabia itabadilika sana.
Tatu lazima awe Malaya.
Mark my words!
 
Na huko depo wanatafunwa na makoplo vibaya mno! Ni ukweli unaouma. Pole sana mkuu

Ndio huwezi kumuamini mwanamke 100%, lakini msimtishe sana huyu dogo. Hao makoplo ana uwezo wa kuwatolea nje, cha muhimu ni kwamba kapata uhakika wa ajira, kuna watu wengi waililia hiyo nafasi. So be happy.
 
MWANDENDEULE

Ameshakuwa demu wa afande Marwa na ex girlfriend mtalajiwa wa Afande Chacha
 
Last edited by a moderator:
askari anaruhusiwa kuolewa baada ya miaka mitatu kwa polis lakini mengine ni nyie wenyewe kwani uaminifu wa mtu ni yeye mwenyewe

.....weee!!! Usimtie moyo mtoto wa watu, heri waliompa makavu live, maana ndo ukweli halisi
 
uwezekano wa kumwona upo kabisa... we nenda ukamtembelee huko utaruhusiwa.

suala ya yeye kuchepuka huko linawezekana kabisa ... ishu ni yeye kujitambua tu maana hakuna wa kumlazimisha huko.
kama anajiheshimu na kukupenda hatafanya uhuni huko.
 
Mi naona huyo dada kafanya uamuzi wa busara baada ya kutambua ugumu wa ajira kwa sasa ameona unamkatalia asiende CCP ili aende chuo kingine then aje apate shida ya kutafuta ajira,CCP ukimaliza tu umesha ajiriwa.Brother dont panic muangalie kwanza suala la kuchukuliwa na wengine anaweza kulifanya hata mkiwa wote akiamua.
 
Ndio huwezi kumuamini mwanamke 100%, lakini msimtishe sana huyu dogo. Hao makoplo ana uwezo wa kuwatolea nje, cha muhimu ni kwamba kapata uhakika wa ajira, kuna watu wengi waililia hiyo nafasi. So be happy.

Thank four wise words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…