Mchunaji kachunwa

Kuanzia leo na mimi nitakuwa nawatumia Vodacom, manake kuna watoto wengi walishawahi kunifanyia figisu figisu, ningekua ningewakomesha dadeki zao
 
jamaa wanajua sana
 
Kwa upande mwingine wanawake wanawake wana hizo tabia sana.. lakini ukishajua dhamira zao... hawakusumbui kichwa... Sababu usipotoa unaambiwa bahili.. ukitoa unafanywa bwege...
 
Mimi bado nalia na viroba
 
Mimi nadhani Weye ndio huyu binti njilinji maana umekazania TBS
Jamaa Kesha chukua noti yake
We nuna tu.
 
jamaa wanajua sana
Japo voda upande mwingine wanaboa, lakini kwa hapo m-pesa nimewanyooshea miguu juu. Hata laini nimewahi poteza mara mbili zikiwa zina laki 2 mda mwngne laki, nilipo renew nikatoa mzigo nikakuta upo salama. Tangia hapo mambo ya kurusha nikikosea napiga fasta mzigo unarudi km mtumiwa hajautoa bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…