Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kuanzia leo na mimi nitakuwa nawatumia Vodacom, manake kuna watoto wengi walishawahi kunifanyia figisu figisu, ningekua ningewakomesha dadeki zaoKwa hilo voda nimewafurahia sana. Kuna mtu alinifanyia kitu kama hiyo then nikawapigia voda na wakarudisha mzigo wangu. Huyo mtu kanichukia hadi kesho mm nafurahi hadi kesho kutwa ha ha haaaah!. Voda kuna baadhi ya vitu wako vizuri sana, ha ha haaa!. Jamaa kafanya jambo jema kurudisha pesa yake. Ha ha haaaah!!