Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa


Hivyo ulivyoandika umeandika kwa jaziba, hata hujamsikiliza ni mbinu gani walizokuwa wakizitumia, Laiti ungalitulia ukamsikiliza usingeandika hayo uliyoyaandika Kama muislamu.

Nakuambia tena Wazanzibari tunajuana kwani hii sio Tanganyika, kila mmoja ana kwao .
 
Ndivyo ulivyoambiwa Na mchungaji wako?
 
Hakuna jazba yoyote mkuu,nimejaribu kukuthibitishia tu kwamba sio mgeni na hiyo mihadhara.

Na huo muhadhara haujajibu swali langu la kuwa mzanzibari ni nani ?

Sitaki maneno meengi nataka nijibiwe hilo swali kisha mjadala ndio utaanzia hapo mkuu
 
Hakuna jazba yoyote mkuu,nimejaribu kukuthibitishia tu kwamba sio mgeni na hiyo mihadhara.

Na huo muhadhara haujajibu swali langu la kuwa mzanzibari ni nani ?

Sitaki maneno meengi nataka nijibiwe hilo swali kisha mjadala ndio utaanzia hapo mkuu
 
Hakuna jazba yoyote mkuu,nimejaribu kukuthibitishia tu kwamba sio mgeni na hiyo mihadhara.

Na huo muhadhara haujajibu swali langu la kuwa mzanzibari ni nani ?

Sitaki maneno meengi nataka nijibiwe hilo swali kisha mjadala ndio utaanzia hapo mkuu
 
Hakuna jazba yoyote mkuu,nimejaribu kukuthibitishia tu kwamba sio mgeni na hiyo mihadhara.

Na huo muhadhara haujajibu swali langu la kuwa mzanzibari ni nani ?

Sitaki maneno meengi nataka nijibiwe hilo swali kisha mjadala ndio utaanzia hapo mkuu

Mihadhara ya Waislamu wapi Zanzibar au bara?
Hao wakristo wanaifanya hiyo mihadhara Kama Waislamu au ni kutumia mbinu zao chafu ambazo wewe Kama kweli ni muislamu huwezi kuziunga mkono.

Nakuambia tena Wazanzibari tunajuana vizuri, kwani Kila mmoja ana kwao.

Kama alivyo Lissu ni Mtanganyika kwao Singida au Nyerere kwao Butiama au Magufuli kwao Chato
 
Mzanzibari ni nani ?

Naomba niwachane na maneno yako ambayo siyahitaji nitareply utakaponijibu hili swali la kuwa mzanzibar ni nani ?
 
Mzanzibari ni nani ?

Naomba niwachane na maneno yako ambayo siyahitaji nitareply utakaponijibu hili swali la kuwa mzanzibar ni nani ?

Mzanzibari ni Mzanzibari ambaye ana kwao Zanzibar.Mimi ni Mzanzibari kwetu ni Fujoni.

Kama Mtanganyika ni Mtanganyika mwenye kwao Tanganyika.
Nyerere ni Mtanganyika kwao ni Butiama. Lissu Pia ni Mtanganyika kwao ni Singida nk.
Labda kiswahili kinakupiga chenga

Umekimbia swali wapi wakristo walifanya mhadhara Kama Waislamu hapa Zanzibar ?
 
Mzanzibari

Mzanzibari ni Mzanzibari ambaye ana kwao Zanzibar.
Ili kwenu iwe zanzibar inatakiwa uweje ?

Uwe umezaliwa na kukulia zanzibar maisha yako yote uwe hujawahi kuishi nje ya zanzibar ?

Au uwe umezali zanzibar tu ?

Au uwe umekaa zanzibar kwa muda wa miaka kadhaa ?

Nipe jibu lenye akili mkuu usinipe jibu linalozua maswali yaleyale
 
“Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu ana haki ya kuambudu lakini lazima kuwe na utaratibu.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar acheni vitimbwi kwenye uhuru wa kuabudu.

Huo utaratibu usiwe nongwa dhidi ya Dini nyingine za watu.
 

Sasa unakuja kwenye maneno yaliyoandikwa Na vibaraka na wavamizi baada ya kuleta watu kutoka Tanganyika Na kuwapa vitambulisho vya kupigia kura. Hayo maneno yao waulize wenyewe CCM.
Ukweli ni kuwa Mzanzibari ni Mzanzibari mwenye kwao Zanzibar
 
Sasa unakuja kwenye maneno yaliyoandikwa Na vibaraka na wavamizi baada ya kuleta watu kutoka Tanganyika Na kuwapa vitambulisho vya kupigia kura. Hayo maneno yao waulize wenyewe CCM.
Inaonesha wewe ni shabiki wa kizanzibari ambae hata hujui mzanzibari ni nani.

Upo upo tu hujui tafsiri halisi ya mzanzibari.

Kwa heri.
 
Inaonesha wewe ni shabiki wa kizanzibari ambae hata hujui mzanzibari ni nani.

Upo upo tu hujui tafsiri halisi ya mzanzibari.

Kwa heri.

Kumbe wewe ni shabiki zaidi maana kumbe unalo jibu lako ulilopewa Na CCM lakini unatafuta ligi

Haya, Kama wewe Una kwenu Chato basi bakia Na huo uzanzibari wa kivamizi uliopewa Na CCM
 
Acha ujinga kanisa limeanza mwanzo Zanzibar kabla hata ya huko Tanganyika ....mashoga yameanza mwanzo Zanzibar kabla hata ya Tanganyika ila imekua kinyume chake ...mmefanya dili
 
Ndivyo ulivyoambiwa Na mchungaji wako?
Mtu anayejitambua na kujielewa hahitaji kuambiwa wala kuelekezwa maana halisi ya uislam,uislam haujawa sahihi kama haujajionyesha kwa kujitenga na kuwatenga wasiokuwa waislam,kudhihaki/kubagua wasiokuwa waislam pamoja na kuwatukana wengine hata wewe hapo unajua ila kuandika tu hapa ndo hutaki/nikusema uislam ktk eneo mahalia unatakiwa uwe peke yake bila uwepo wa Christians,Buddha au Atheists tofauti na hapo ni kata kichwa choma Kanisa sijui uwa mchungaji ili waogope wasilimu!

Kufanya vurugu kwa sababu eti tunamtetea so called alaha na deen yake,hiyo kusemwa uislam ni dini ya amani na haki inamaanishwa ni ya amani na haki pale ambapo upo uislam peke yake na uwe ni wa dhehebu moja pakiwa na madhehebu mawili Shia sijui Sunni ni vurugu tupu.uislam Tanzania hauna amani ndo mana sarakasi zote hizi zinatokea.

Hakuna Mungu wa hivi nakuapia!
 
Si muondoke Tu wavamizi mkajenge makanisa mpaka vyooni huko kwenu Tanganyika , ?
Jinsi gani mlivyo na upeo mdogo..mali na fedha kutoka Tanganyika mnataka na mnalilia mpewe ziada..ila watanganyika hamuwapendi..ndio ule ule unyani wakukataa kula kitimoto ila supu yake mnakunywa..absurd.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…