Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

Mkuu Zanzibar ni nchi ya kiislamu, 99% ya watu wake ni waislamu, kwahiyo hakuna cha ajabu kuwa na mifumo ya kiislamu kwenye maisha yao, ni tofauti na Bara ambapo uwiano wa dini hizi mbili ni mkubwa nearly 50 - 50, So cha muhimu ni kufahmu kuwa haiwezekani mazingira ya Zanzibar yakawa sawa na Bara. Tujaribu kulitathmini kwa uandani na sio kuishabiki. Tatizo kuu la Zanzibar ni suala la Makanisa kuwa yanaengezeka kwa kasi kila siku zinavyokwenda, Na hilo linawafanya wananchi wao wengi kuwa insecure. Nchi nyingi ambazo ziko dominated na dini moja kwa zaidi ya 90% ni lazima watu wa dini nyengine wata experience mambo kama hayo, na hasa wakiwa Wageni.
Makanisa yakiongezeka wanakuaje insecure?
Na kwa nini makanisa yasiongezeke? Hata na waislamu wanairuhusiwa kwenda kwenye wakristo wengi na kujenga misikiti wanavyotaka
 
Kuna watu wengine ni wakorofi tu of all places kwanini ujenge kanisa Zazibar? ambao hamna wateje? 99% ni dini moja ya kiislamu? Ni yale yale ya kuweka bucha ya kitimoto karibu na mskiti wakati kuna sehemu zingine kwa kisingizio xha uhuru wa mtu kufanya biashara popote.
Kwani wakijenga shida ipo wapi? Kwa hiyo waislamu hawatakiwi kujenga misikiti nchi zenye wakristo wengi?
 
Niko Zanzibar na naijua Zanzibar vizuri.
Kwanza wewe jua tu, wazanzibar karibu wote kihistoria ni wahamiaji, wapo waliotoka bara na wapo waliotoka nchi za mbali na visiwa vya jirani.

Pili dini karibu zote zilizopo hapa Zanzibar zimeletwa kutoka mbali (sio dini za asili za wazinzibar), uislamu uliletwa na waarabu na ukristo uliletwa na wazungu huenda hata kabla ya hizo dini kufika Tanganyika, dini za asili hapa Zanzibar ni zile za jadi na mpaka leo zipo!

Sasa jiulize tu, eneo la Zanzibar lenye ukubwa sawa na wilaya Sengerema, lenye 99% ya waumini wa dini ya kiislamu inawezekanaje haya kuwepo;

-Kuna zaidi ya bar 30 zenye kuuza pombe 24hours
-Kuna mahoteli na migahawa zaidi ya 5 yenye kuuza kiti moto 24hours
-Kuna utitiri wa makahaba kila mtaa
-Kuna mashoga kila mtaa
-Kuna utiriri wa mateja na wauza ngada kila mtaa.
-Kuna guest bubu na madanguro ya kienyeji karibu kila mtaa.

Jamani tusiuhusishe uislamu na vitu vya ajabu, uislamu sio utamaduni wa kiarabu na mila za watu wa pwani, uislamu ni imani halisi inayohubiri Amani na Ibada, muislamu halisi hawezi kumchukia mtu mwingine anayeabudu imani zingine.

Mkuu inawezekana kuna kitu cha ziada kinachokusumbua, Hayo masuala ya mabaa na makahaba sio hoja kabisa kwenye mazungumzo yetu. Waumini wa dini yoyote hupotea na kuanza kufanya matendo maovu bado haiwaondoi wao kuwa waumini wa Dini fulani.
 
Makanisa yakiongezeka wanakuaje insecure?
Na kwa nini makanisa yasiongezeke? Hata na waislamu wanairuhusiwa kwenda kwenye wakristo wengi na kujenga misikiti wanavyotaka

Mkuu nchi zote zinazoshikamana na upande fulani wa dini huongozwa kwa misingi ya kimaslahi ya dini au dhehebu husika, Huo ndio uhalisia. Haiwezekani Zanzibar kuwa kama Bara ambapo uiano wa kidini ni nearly 50 - 50.
 
Huyo mkuu wa Wilaya mbona ana akili za kipumbavu namna hii,tangu lini mamlaka zinabomoa nyumba kisa mamlaka ya hali ya hewa imesema kwamba kutakuwa na mvua?

Halafu nyumba iliyobomolewa ni moja tu?kuna jambo limejificha hapo.
DC uwezo zero
 
Nitoke nje ya mada kidogo, hv makanisa ya kilokole kuubiri bila vipazasauti haiwezekani. Yaan SoMo haliwezi kueleweka. Japo dini na madhehebu mengine nao hufanya hivyo lakini wanaunafuu kidogo ukilinganisha na walokole.
Mbona misikiti ina vipaza sauti na inapiga kelele kuanzia saa kumi alfajiri, saa saba mchana, saa kumi jioni na saa kumi na mbili au saa moja usiku...?au yale hayana vipaza sauti?
 
Nilishasema jamaa wanna akili ndogo San hvyo bas Bora mtumishi aachane nao asije kumwagiwa tindikali
 
Ukweli tuuseme tu, hata kama unatuuma.
Suala la uvumilivu wa kiimani kwa Zanzibar uko chini sana. Kujenga kanisa huwa kunawakera na kuwaudhi mnoo watu waliopo Zanzibar. Makanisa yanayoheshimiwa ni yale ya kihistoria ambayo yanafanya watalii waje, tofauti na hapo yangekuwa yameshavunjwa siku nyingi.

Kwa Zanzibar malaya, mashoga na mateja wana thamani kubwa kuliko muumini wa Kikristo mwenye msimamo.
Type wa watu wa znz
IMG_20220309_083547.jpeg
 
Kuna watu wengine ni wakorofi tu of all places kwanini ujenge kanisa Zazibar? ambao hamna wateje? 99% ni dini moja ya kiislamu? Ni yale yale ya kuweka bucha ya kitimoto karibu na mskiti wakati kuna sehemu zingine kwa kisingizio xha uhuru wa mtu kufanya biashara popote.
Niliwambia kuwa no hatari ila nilitukanwa San
 
Ukweli tuuseme tu, hata kama unatuuma.
Suala la uvumilivu wa kiimani kwa Zanzibar uko chini sana. Kujenga kanisa huwa kunawakera na kuwaudhi mnoo watu waliopo Zanzibar. Makanisa yanayoheshimiwa ni yale ya kihistoria ambayo yanafanya watalii waje, tofauti na hapo yangekuwa yameshavunjwa siku nyingi.

Kwa Zanzibar malaya, mashoga na mateja wana thamani kubwa kuliko muumini wa Kikristo mwenye msimamo
God needs us to be spiritual rather than to be religious. Wadini Wana mipaka ya mawazo na wengi hawamjui Mungu.
Ila umennichekesha unaposema kwamba machoko wanaonekana wa maana kuliko walokole Zenji.😃😃😃
 
Huyo mkuu wa Wilaya mbona ana akili za kipumbavu namna hii,tangu lini mamlaka zinabomoa nyumba kisa mamlaka ya hali ya hewa imesema kwamba kutakuwa na mvua?

Halafu nyumba iliyobomolewa ni moja tu?kuna jambo limejificha hapo.
Dr Mwinyi atamtengua Mara moja.Siku si nyingi.
 
Back
Top Bottom