Mchungaji aliyepigwa Kigoma kisa Kamchape ulikuwa wakati sahihi kuonesha nguvu za Mungu sio kupiga simu Polisi

Dola la rumi bado linatawala dunia kupitia Roma.
Haina nguvu za kijeshi kama wakati wa Yesu ya kutawala mataifa

Watawala Wenye majeshi yenye nguvu kutawala Dunia ni wenye dini isiyo ya roma kama Waingreza,Wamarekani,wayahudi na wajerumani
 
Haina nguvu za kijeshi ya kutawala mataifa

Watawala Wenye majeshi yenye nguvu kutawala Dunia ni wenye dini isiyo ya roma.Waingreza,Wamarekani,wayahudi na wajerumani

Dini ni moja tuu Ukatoliki(ukristo) hayo mengine ni madhehebu.
Taifa la Marekani linaongozwa na Dini ya Katoliki
 
Dini ni moja tuu Ukatoliki(ukristo) hayo mengine ni madhehebu.
Taifa la Marekani linaongozwa na Dini ya Katoliki
Uongo marekani wengi ni kanisa la Baptists na walokole wakifuatiwa na wasabato

Marekani ilipata uhuru miaka 200 na zaidi iliyopita kati ya maraisi 46 waliotawala marekani ni maraisi wawili tu ndio wakatoliki wa kwanza .Raisi John Kennedy ambaye aliuawa Kwa risasi akiwa madarakani miaka ya 1960 wa pili ni huyu Joe Biden Raisi wa Sasa aliyeidhinisha ndoa za jinsia moja kwenye Sheria marekani
 
Huyo mganga angepata adhabu kubwa sana kama huyo mchungaji angeomba usaidizi kwa Mungu. Angeweza kushusha moto ukamuangamiza huyo mganga na wafuasi wake.
Mungu angesubiri kuombwa msaada wakati kinachovamiwa ni kanisa lake?
 

Walokole, Wasabato na Baptist sio dini hayo ni madhehebu
 
Siku hizi unaandika ujinga Sana jitafakari.
 
Sasa mkuu Yesu alikufa kwa ajili ya wenye kama wazungu walivyosema, kwa hiyo wala hakulaani waliomsulubu kwa sababu ndio sababu ya kuzaliwa kwake. Hizo mambo za Dola ya kirumi ni porojo tu mkuu na hila za mzungu kuwaaminisha Warumi wamelaaniwa. Uliwahi jiulliza kama kusingekuwa na ukoloni Afrika tungekuwa na Dini gani?
 
Mkuu wanavyosema wataalam wa dini ni kuwa yaliyotokea enzi hizo yalitokea kwa wakati wake na sasa ni nyakati nyingine zenye matukio mengine. Kusema ukweli hata mimi siyo mjuzi.

Hizo ni Fix tuu.
Mchungaji ni mwakilishi au balozi wa Mungu hawezi kupeleka kesi yake polisi au mahakamani. Kwa sababu Mamlaka yake haitokani na serikali bali Mungu.

Biblia yote ukiisoma manabii, mitume, Makuhani walipopatwa na matatizo iwe ya kibinadamu au ya kiroho walipeleka hoja zao kwa Mungu.
 
Walokole, Wasabato na Baptist sio dini hayo ni madhehebu
Dhehebu hutoka kwenye dini Fulani hayo yalianza yenyewe hayakuvunjika Toka dini Fulani

Mfano wa Sabato hawaamini kuwa Yesu ni Mungu huwezi sema wamevunjika Toka dini ya Roma hao wako kivyao sababu Roma Wanaamini Yesu ni Mungu wao hawaamini

Ukija Kwa walokole wao Imani Yao ilianzia uyahudi balo wao huamimi.kanisa la kwanza lilianzia pale Yesu alipozaliwa akahubiri akatenda miujiza alafa na akafufuka Sio sehemu ingine.Wao chamzo Cha Imani Yao Sio kanisa la Roma liloanzia Roma Italia wao lao liloanzia siku ya pentecoste kule Israel wakati mitume walipokuwa pamoja

Dhehebu humeguka Toka dini moja kuwa branch zake
 

Madhehebu yote ya kikristo yamegeuka kutokea Catholic
Mwanzilishi wa Usabato alikuwa ni mbaptist
 
Madhehebu yote ya kikristo yamegeuka kutokea Toka.
Mwanzilishi wa Usabato alikuwa ni mbaptist
Sawa alikuwa mbaptist lakini Imani aliloanzisha sio ya kibaptist sababu wabaptist huamini Yesu ni Mungu wakati wasabato hawaamini

Ni Sawa na angetoka kwenye ubaptistinhalafu akasnzisha Imani ya Kiislamu kuwa Mohamed alliamuru watu wasali ijumaa.Huwezi sema Hilo ni dhehebu la Baptist

Yeye alianza chake tofauti na baptist sio dhehebu la Baptist Hilo hiyo ni dini yake mpya ya Sabato
 

Mwishowe utasema kina Zumaridi, Gwajima, Kuhani Musa wameanzisha Dini zao jambo ambalo sio sahihi.

Ukristo ni mmoja ambao ni ukatoliki, madhehebu ndio yanaweza kutofautiana.

Ni kama uislamu ni mmoja ila kuna madhehebu mengi katika huo uislamu.

Kitabu kinachotumika kwenye ukristo ambacho ni Biblia ni kitabu cha Wakatoliki.

Wasabato, walutheri, wabaptist, na madhehebu mengine hawana kitabu cha muongozo zaidi ya hiyo Biblia ya Wakatoliki.
 
kama nimeelewavizuri...yaani kamchape kaenda kwenye nyumba ya mchunguaj anataka kutoa uchawi?
Kama ndio hivo basi watanzania tunasafari ndefu sana ya kujua mambo.

Hebu nikuulize ww unaye support haya... hivi leo wakaja watu nyumbani kwako wanasema wanataka kutoa uchawi utakubali?

hawa mnao waita wakina kamchape ni matapeli sana, tena mno anaweza akaja na vitu nyao na wakasema ndio wamevitoa nyumbani kwako. yaani wanakubambikia.

Kwanza sheria hairuhusu,, mbili walitaka kumdhalilisha mchungaji.

Sasa ww endelea na upumbavu wako,, siku watakuja nyumbani kwako ndio utajua uite polisi au mizim.
 
Jibu wewe hili swali tuoje jibu lako kabla hatujachangia
 
Kwa kukusaidia mtu kama Zumaridi sio mkristo hatumii Biblia na Hana mpango nayo yeye anajiita Mungu chini ya jua na alishasema Mungu hana Kitabu na hatumii Kitabu anaongea yeye kama yeye kuwa watu wamsikilize tu yeye kama mungu

Sio kweliU kristo ulianzia kabla ya ukatoliki
Ukatoliki ulianzia miaka ya baadaye sana

Ukristo ulianzishwa na Kristo mwenyewe Israel alikozaliwa.Ukristo chanzo chake ni Israel sio Roma.

Pili Biblia hii tuliyonayo waanzilishi sio katoliki kama hujui Historia ya Biblia
Biblia imegewanyika sehemu mbili agano la kale na agano jipya

Biblia ya agano la kale ni Biblia inayotumiwa na Wayahudi Hadi Leo hiyo Biblia inaitwa Jewish Bible Ina vitabu 39 .Kanisa lili.copy na kupaste yote kama ilivyo kwenye Jewish bible.Iko hata kwenye simu download Jewish Bible uione

Agano jipya zilichukuliwa kwenye kanisa la kale kama lilivyo na kuingizwa kwenye Biblia kama agano jipya havikuchukuliwa kanisa katoliki
 

Wayahudi hawana kitabu kinachoitwa Biblia .
Wala hawana kitu kinaitwa agano la kale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…