Mchungaji amekataa tusioane kwakuwa mimi na binti ni madhehebu tofauti, nifanyeje?

Mchungaji amekataa tusioane kwakuwa mimi na binti ni madhehebu tofauti, nifanyeje?

saimon rusana

Member
Joined
Mar 15, 2024
Posts
28
Reaction score
98
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
 
View attachment 3094505

Nenda na Mafwere kanisani, mchungaji mwenyewe atakuondolea vikwazo vyote
GXIpkb2WAAAjsEV.jpg
 
Sasa kama mchungaji anaingilia hiyo ndoa yenu mkuu, na wakati huo nyie na wazazi wenu mmekubaliana hapo cha msingi oa akitengwa atarudi tenaaa
 
Huo ndo ujinga wa baadhi ya walokole kujiona wao ndo wana Yesu kuliko madhehebu engine. Mbona Mwl Mwakasege ni mKKKT na ana upako? Huyo mchungaji anafika hata robo ya level alipo Mwakasege?
Halafu kingine cha ajabu haohao walokole kuna wanaoangukaga na mapepo sijui wanayaokota wapi wakati wanasema wameokoka!!! Hivi kama unasema umeokoka na unaishi maisha ya utauwa hayo mapepo unayatoa wapi?
 
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
kwa kifupi, ni kweli kkt sio la kiroho na hata ukifuata usifikiri utaozeshwa mapema, noo, lazima wakuangalie mwenendo wako kwanza. au la, tafuta humohumo kkkt. pia, kwa mlokole anayejielewa, hadi kukukubali wewe hapo lazima ameacha wokovu, na nakuhakikisha, mlokole aliyeacha wokovu ni hatari kuliko mpagani, atakuja kukusumbua hadi upasuke roho
 
Huo ndo ujinga wa baadhi ya walokole kujiona wao ndo wana Yesu kuliko madhehebu engine. Mbona Mwl Mwakasege ni mKKKT na ana upako? Huyo mchungaji anafika hata robo ya level alipo Mwakasege?
Halafu kingine cha ajabu haohao walokole kuna wanaoangukaga na mapepo sijui wanayaokota wapi wakati wanasema wameokoka!!! Hivi kama unasema umeokoka na unaishi maisha ya utauwa hayo mapepo unayatoa wapi?
kwa hiyo wewe unafikiri wa kumrekebisha/kumkosoa mlokole wakati hadi hapo ulipo haujaokoka, unasali kwa katekisimo, na litulgia, ukiambiwa tuombe wanasoma vitabu, unapangikwa kuhubiri kwa majira yaliyoandaliwa kwenye vitabu badala ya kumsikiliza Roho Mtakatifu, unapinga ujazo wa Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema atatutumia msaidizi, hizo gults za kumtukana mlokole unazipata wapi? wewe umepotea na unahitaji msaada wa kiroho uokoke, bado wewe na wachungaji wenu wote mpo gizani hata wao wanalijua hilo ndio maana mna inferiority kibao hadi mnatoa maneno machafu kama hayo.

mwakasege ndio amekuwa nembo ya walutherani miaka yote, ati mbona mwakasege yupo vizuri tu. mtu anayekuvua samaki na kukurudishia palepale kwenye matope wakati amechukua sadaka yako, subiria hadi semina ingine aje akuvue na kukuacha palepale na sadaka amechukua, amekusaidia nini? vipi kuhusu kufungiwa nira na wasioamini, huwa anawafundisha nini? vipi kuhusu mafundisho yake ya uongo kuhusu "mzaliwa wa kwanza kwamba ni lango", au umemleta hapa ili tukusaidie kumwanika?
 
Mwanamke hana dini wala dhehebu sasa atengwaje nahuku akiolewa nawewe atakuwa mlutherani eti ??
 
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Kavae viatu vya sufian wa singida ccm
IMG_0627.jpeg
 
Back
Top Bottom