Mchungaji amekataa tusioane kwakuwa mimi na binti ni madhehebu tofauti, nifanyeje?

Mchungaji amekataa tusioane kwakuwa mimi na binti ni madhehebu tofauti, nifanyeje?

Mwanamke hana dini wala dhehebu sasa atengwaje nahuku akiolewa nawewe atakuwa mlutherani eti ??
hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
 
hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
Makanisa yakipentecoste mengi ni yakishetani mnajazana ujinga na hamna mwelekeo wa maisha ya kiimani nyie ni kufekesha tu nakusumbua watu usiku kila siku mnafunguliwa nakufungua makanisa
 
Hii kazi ni nyepesi mkuu! Sina kipengele
Nichukue Mimi niwe kama ndugu yako afu twende kwa huyo Mchungaji.

Mimi ndo ntakuwa muongeaji mkuu, ntamuhojiii na kumpa vifungu vya Biblia

Yusufu alioa mkristo mwanzake?

Muda alioa mkushi, wakina Mariam na haruni wakaanza maneno Mungu akawaonya!

Twende baba nikakupe ndoa ... Malipo baada ya ndoa
 
Makanisa yakipentecoste mengi ni yakishetani mnajazana ujinga na hamna mwelekeo wa maisha ya kiimani nyie ni kufekesha tu nakusumbua watu usiku kila siku mnafunguliwa nakufungua makanisa
ushetani upi na ni kanisa lipi ni la kipentekoste la kishetani? siku ukiokoka utajishangaa hii kauli. okoka, katekisimo wala litulgia sio njia sahihi kumwabudu Mungu.
 
Ninyi tu 2 mnaemuabudu Mungu mmoja mnatengana kiitikadi. Mkioana si mtatenganisha namna ya kuserve hiyo ndoa. Kwa kifupi hamtaelewana. Hata watoto hawatawaelewa.

Mchungaji yupo sahihi.
 
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Mwambie akupe binti yake
 
hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
Kwakweli ukweli usemwee!!
 
ushetani upi na ni kanisa lipi ni la kipentekoste la kishetani? siku ukiokoka utajishangaa hii kauli. okoka, katekisimo wala litulgia sio njia sahihi kumwabudu Mungu.
Ni nadra sana kukutana na mlokole asiyeitaji huduma ya Milembe Hospital.
 
hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
nipe maandiko yanayotamka kuwa mlokole lazima aoe ama aolewe na mlokole mwenzake.
 
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Chagua kusuka au kunyoa. Mambo ya imani ni magumu sana.
 
Baba kiufupi mm si msomaji wa bible ila kuna andiko linasema tokeni katikati yao...msijichangnye na mataifaa...wala kufuatisha wanachokifanya...mataifa ni wanaitwa n watu wasiomwamini kristo...
Likija suala la ndoa walokole hawachangamani na yyt au dini nyngne...we kama unamtaka okoka2 utampata. ila usiokoke ili umpate utaumia sana.
nipe maandiko yanayotamka kuwa mlokole lazima aoe ama aolewe na mlokole mwenzak
 
Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.

Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.

Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.

Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Mpachike mimba fasta au kafungeni ndoa ya Kiserikali
 
Back
Top Bottom