Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.Mwanamke hana dini wala dhehebu sasa atengwaje nahuku akiolewa nawewe atakuwa mlutherani eti ??
Makanisa yakipentecoste mengi ni yakishetani mnajazana ujinga na hamna mwelekeo wa maisha ya kiimani nyie ni kufekesha tu nakusumbua watu usiku kila siku mnafunguliwa nakufungua makanisahiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
ushetani upi na ni kanisa lipi ni la kipentekoste la kishetani? siku ukiokoka utajishangaa hii kauli. okoka, katekisimo wala litulgia sio njia sahihi kumwabudu Mungu.Makanisa yakipentecoste mengi ni yakishetani mnajazana ujinga na hamna mwelekeo wa maisha ya kiimani nyie ni kufekesha tu nakusumbua watu usiku kila siku mnafunguliwa nakufungua makanisa
Uongooushetani upi na ni kanisa lipi ni la kipentekoste la kishetani? siku ukiokoka utajishangaa hii kauli. okoka, katekisimo wala litulgia sio njia sahihi kumwabudu Mungu.
Ila hawa kushindiHao ni wehu
Chizi weweIla hawa kushindi
Mwambie akupe binti yakeHabari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.
Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.
Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee
Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.
Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Bro kanywe dawa zakoChizi wewe
ZipiBro kanywe dawa zako
Kwani hapo milembe huwa wana kupa zipi?Zipi
Kwakweli ukweli usemwee!!hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
Ni nadra sana kukutana na mlokole asiyeitaji huduma ya Milembe Hospital.ushetani upi na ni kanisa lipi ni la kipentekoste la kishetani? siku ukiokoka utajishangaa hii kauli. okoka, katekisimo wala litulgia sio njia sahihi kumwabudu Mungu.
nipe maandiko yanayotamka kuwa mlokole lazima aoe ama aolewe na mlokole mwenzake.hiyo ni kwenu ninyi wapagani, ati mwanamke hana dini. kwa walokole, wanawake wana dini na dhehebu ndio maana wanaoana wao kwa wao na hakuna ulazima kumfuata mwanaume hata kama mwanaume baadaye ataamua kufuata dhehebu lingine, ni hiari kwa sababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe siku ya mwisho na kila mtu atasimama binafsi mbele za Mungu hamtasimama wawili wawili.
Chagua kusuka au kunyoa. Mambo ya imani ni magumu sana.Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.
Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.
Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee
Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.
Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
nipe maandiko yanayotamka kuwa mlokole lazima aoe ama aolewe na mlokole mwenzak
Mpachike mimba fasta au kafungeni ndoa ya KiserikaliHabari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.
Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi nataka kuoa, sasa nimepata mchumba huko kijijini kwetu na kwa jinsi alivyo nimemuelewa na nilitaka nitoe kishika uchumba kabisa ili mwezi wa 12 tufunge ndoa.
Pia soma: Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee
Jumapili tulikua tumepanga ndio nipeleke kishika uchumba lakini cha kushangaza leo nimepewa taarifa kwamba mama mkwe mtarajiwa alikwenda kwa mchungaji wao kuwapa taarifa kuhusu binti yao kupata mchumba na tunahitaji kufunga ndoa, chaajabu mchungaji wao amegoma kwa sababu ya dhehebu langu (KKKT) kwamba sio la kiroho coz wao ni wa Pentecostal Eti na kama watakaidi na kutengwa.
Sasa kwa haraka haraka nikagundua nia yao watataka mimi nifuate dhehebu la binti japokua hawataki kunyoosha maelezo, na mimi siko tayari kwa hilo. naomba maoni yenu.
Hahahaha afu amuulize unamjua huyu?Nenda na Mafwere kanisani, mchungaji mwenyewe atakuondolea vikwazo vyote