Mchungaji amvisha pete mjane msibani kabla ya kumzika mumewe

Mchungaji amvisha pete mjane msibani kabla ya kumzika mumewe

Kama mzuri hatutamuacha
Kila mtu ana mzuri wake mkuu.
Usimfanye jamaa akaoa manzi ambe yeye anamuona mbaya akidhani akifa wahuni hawatambandua kisa yeye kamuona mbaya.

Mbaya kwako ni pisi kali kwa mwingine, kama ni mwanamke atabanduliwa tu labda awe kazeeka.
 
For me, that's not ok , why wasisuburi msiba upite, yaani msiba wa mume kabisa.😪 Hapana na inaonesha walikua wanadate hata kabla hajafa, siyo vizuri
Sasa mume alikuwa anasumbuliwa na sukari ya muda mrefu unafanyaje hap
 
Africa ya Kusini Huko,

Pastor Aliamua Kum propose Mjane pale pale msibani kabla hata ya msiba kuisha. Amedai Hiyo itamsaidia pia ku heal kutoka kwa majonzi.

Pastor alisikia akimshukuru Mungu haswa kwa kuwa karibu na mjane katika wakati mgumu Akimuuguza Aliyekuwa mme wake, Shirika la habari CEN liliripoti.

Lieni na wanao lia.

Mjane analipa she look so fine with that ass
 
Back
Top Bottom