Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Huo ni ushamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana mzuri wake mkuu.Kama mzuri hatutamuacha
Hili lipo sana ila hii imekuwa ni haraka kweli kweli. Zege halikulazwa kabisa.Hata Tanzania kuna baadhi ya maeneo wajane ni huduma ya karibu kwa watumishi wa Mungu
😀😀 Umenifanya nicheke kwa nguvu 😀😀 nilipita sehemu nikakuta jamaa barabarani anatoka kwenye usahili anasema walikuwa kama mia sita na nafasi ni chache.Acha pasta awahi tu, utakuta wanaommendea mjane ni kama waombaji wa kazi ya sensa
Nikifa Mke wangu asiolewe
Dah na kuna mtu nasikia ooooh Jesus ooooh JesusAfrica ya Kusini Huko... Pastor Aliamua Kum propose Mjane pale pale msibani kabla hata ya msiba kuisha. Amedai Hiyo itamsaidia pia ku heal kutoka kwa majonz...
Sasa mume alikuwa anasumbuliwa na sukari ya muda mrefu unafanyaje hapFor me, that's not ok , why wasisuburi msiba upite, yaani msiba wa mume kabisa.😪 Hapana na inaonesha walikua wanadate hata kabla hajafa, siyo vizuri
Mjane analipa she look so fine with that assAfrica ya Kusini Huko,
Pastor Aliamua Kum propose Mjane pale pale msibani kabla hata ya msiba kuisha. Amedai Hiyo itamsaidia pia ku heal kutoka kwa majonzi.
Pastor alisikia akimshukuru Mungu haswa kwa kuwa karibu na mjane katika wakati mgumu Akimuuguza Aliyekuwa mme wake, Shirika la habari CEN liliripoti.
Lieni na wanao lia.
[emoji23][emoji23]NAFUFUKA
Pastor kaona huyu nikimuacha inawezekana watu wakachukulia palepale makaburini...Acha pasta awahi tu, utakuta wanaommendea mjane ni kama waombaji wa kazi ya sensa
Sawa ukifa utujulishe ili tusimuoe.Nikifa Mke wangu asiolewe