Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Benaya-

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2019
Posts
4,415
Reaction score
7,631
Katika hali ya kushangaza, siku zote mzee wa Upako huwa upande wa serikali.
Lakini leo ameamua kuvunja ukimya na kuinyoshea serikali kidole tena kwa ukali kuwa ijihadhari isije kuharibu amani ya Tanzania.

Wakati akitoa angalizo hilo, amewataja kwa majina akianza na Kassim Majaliwa waziri mkuu, Rais Samia na Mpango.

Amewakumbusha kuwa sio vyama vya upinzani pekee huleta machafuko bali hata Serikali huwa ni chanzo cha machafuko.

Ameonya kuwa uonevu ukizidi hata askari taratibu huungana na raia kinyume cha watawala kwani hata wanao onewa ni jamaa zao na maaskari.

Zaidi ameionya serikali kujiepusha na kuingilia mambo ya kidini kwani hata wakizifuta imani za dini ziko mioyoni mwa watu na sio kwenye usajili wa kiserikali.

Amekumbusha kuwa miaka ya 80 serikali ilijaribu kufuta usajili wa makanisa hata kuwafunga wengine lakini ilishindwa na tena wakristo waliungana.

Amesema watu wa imani moja huungana wakati wa kuonewa hivyo wajihadhari na jambo hilo.

Amesema kwasasa serikali ina matatizo makubwa kisiasa, corona nk kwa hiyo isiongezee mzigo wa kidini haitabaki salama.
Zaidi msikilize hapo chini kwenye link.

 
Hawa wahuni wanaojiita viongozi wa dini JPM aliwadekeza sana, huyu alimjengea hadi barabara ya lami waumini wake wapite, kila mara alikuwa anawaalika ikulu na kuwapa upendeleo wa juu, na hiyo yote ni kutokana na uoga wake na kutojiamini, akipenda kusifiwa na kila mtu!! Wale wa upande mwingine ilikuwa ni kuwalisha ubwabwa na kuwahonga misikiti, miezi hii mitano wamepotezewa tayari wameanza mayowe! Ni wengi wataibuka, vikiwemo vyombo vya habari kama Clouds ambavyo vimekuwa yatima kwa sasa ambavyo mbeleko walilolitegemea lipo Chato milele. Kila utawala na namna yake ya kutawala. Itatuchukua siyo chini ya miaka 3 sumu na propaganda alizosambaza JPM nchi kuisha
 
Katika hali ya kushangaza, siku zote mzee wa Upako huwa upandevwa serikali.
Lakini leo ameamua kuvunja ukimya na kuinyoshea serikali kidole tena kwa ukali kuwa ijihahadhari isijekuharibu amani ya Tanzania.

Wakati akitoa angalizo hilo, amewataja kwa majina akianza na Kasim Majaliwa waziri mkuu, Rais Samia na Mpango.

Amewakumbusha kuwa sio vyama vya upinzani pekee huleta machafuko bali hata serkali huwa ni chanzo cha machafuko.

Ameonya kuwa uonevu ukizidi hata askari taratibu huungana na raia kinyume cha watawala kwani hata wanao onewa ni jamaa zao na maaskari.

Zaidi ameionya serikali kujiepusha na kuingilia mambo ya kidini kwani hata wakizifuta imani za dini ziko mioyoni mwa watu na sio kwenye usajili wa kiserikali.

Amekumbusha kuwa miakq ya 80 serikali ilijaribu kufuta usajili wa makanisa hata kuwafunga wengine lakini ilishindwa na tena wakristo waliungana.

Amesema watu wa imani moja huungana wakati wa kuonewa hivyo wajihadhari na jambo hilo.

Amesema kwasasa serikali ina matatizo makubwa kisiasa, corona nk kwa hiyo isiongezee mzigo wa kidini haitabaki salama.
Zaidi msikilize hapo chini kwenye link.


Mzee wa Libapa likubwa anabwabwaja tu.
 
Katika hali ya kushangaza, siku zote mzee wa Upako huwa upandevwa serikali.
Lakini leo ameamua kuvunja ukimya na kuinyoshea serikali kidole tena kwa ukali kuwa ijihahadhari isijekuharibu amani ya Tanzania.

Wakati akitoa angalizo hilo, amewataja kwa majina akianza na Kasim Majaliwa waziri mkuu, Rais Samia na Mpango.

Amewakumbusha kuwa sio vyama vya upinzani pekee huleta machafuko bali hata serkali huwa ni chanzo cha machafuko.

Ameonya kuwa uonevu ukizidi hata askari taratibu huungana na raia kinyume cha watawala kwani hata wanao onewa ni jamaa zao na maaskari.

Zaidi ameionya serikali kujiepusha na kuingilia mambo ya kidini kwani hata wakizifuta imani za dini ziko mioyoni mwa watu na sio kwenye usajili wa kiserikali.

Amekumbusha kuwa miakq ya 80 serikali ilijaribu kufuta usajili wa makanisa hata kuwafunga wengine lakini ilishindwa na tena wakristo waliungana.

Amesema watu wa imani moja huungana wakati wa kuonewa hivyo wajihadhari na jambo hilo.

Amesema kwasasa serikali ina matatizo makubwa kisiasa, corona nk kwa hiyo isiongezee mzigo wa kidini haitabaki salama.
Zaidi msikilize hapo chini kwenye link.


Kumbe serikali ina matatizo ya kisiasa mwaka huu tu?? Miaka yote hakuiona au baada ya kusikia genge lake la kikanisa cha utapeli kitafutwa ndio anajificha kwenye machafuko ya kisiasa?
 
Mzee wa Libapa likubwa anabwabwaja tu.

Hawa wahuni wanaojiita viongozi wa dini JPM aliwadekeza sana, huyu alimjengea hadi barabara ya lami waumini wake wapite, kila mara alikuwa anawaalika ikulu na kuwapa upendeleo wa juu, na hiyo yote ni kutokana na uoga wake na kutojiamini, akipenda kusifiwa na kila mtu!! Wale wa upande mwingine ilikuwa ni kuwalisha ubwabwa na kuwahonga misikiti, miezi hii mitano wamepotezewa tayari wameanza mayowe! Ni wengi wataibuka, vikiwemo vyombo vya habari kama Clouds ambavyo vimekuwa yatima kwa sasa ambavyo mbeleko walilolitegemea lipo Chato milele. Kila utawala na namna yake ya kutawala. Itatuchukua siyo chini ya miaka 3 sumu na propaganda alizosambaza JPM nchi kuisha
Sasa hivi akili zimerudi. Kifo cha magufuli kitakuwa ukombozi kwa wengi.
 
Katika hali ya kushangaza, siku zote mzee wa Upako huwa upandevwa serikali.
Lakini leo ameamua kuvunja ukimya na kuinyoshea serikali kidole tena kwa ukali kuwa ijihahadhari isijekuharibu amani ya Tanzania.

Wakati akitoa angalizo hilo, amewataja kwa majina akianza na Kasim Majaliwa waziri mkuu, Rais Samia na Mpango.

Amewakumbusha kuwa sio vyama vya upinzani pekee huleta machafuko bali hata serkali huwa ni chanzo cha machafuko.

Ameonya kuwa uonevu ukizidi hata askari taratibu huungana na raia kinyume cha watawala kwani hata wanao onewa ni jamaa zao na maaskari.

Zaidi ameionya serikali kujiepusha na kuingilia mambo ya kidini kwani hata wakizifuta imani za dini ziko mioyoni mwa watu na sio kwenye usajili wa kiserikali.

Amekumbusha kuwa miakq ya 80 serikali ilijaribu kufuta usajili wa makanisa hata kuwafunga wengine lakini ilishindwa na tena wakristo waliungana.

Amesema watu wa imani moja huungana wakati wa kuonewa hivyo wajihadhari na jambo hilo.

Amesema kwasasa serikali ina matatizo makubwa kisiasa, corona nk kwa hiyo isiongezee mzigo wa kidini haitabaki salama.
Zaidi msikilize hapo chini kwenye link.


Ushauri wa mzee wa upako una refer tukio la Hivi katibuni la Taliba na Afghan. Kwamba wananchi wakiungana na jeshi linakiwa pamoja nao. Ukijiuliza swali ilikuwaje kikundi kinachodaiwa kuwa cha kigaidi kilipata nguvu wapi kiasi cha kushika dola nchi nzima ndani ya masaa 24?? Je kiliwezaje kushika maeneo muhimu ya Ulinzi kama Jeshi, Polisi na Usalama wa taifa bila kukutana na upinzni?? Huoni kama Watu wa jeshi, Polisi na usalama waliungana na Taliban movement?

Mfano mwingine ni ule wa juzi Zambia. Chama tawala kuondoka madarakani maana yake Mapolisi, Wanajeshi na mahakama pamoja na usalama wa taifa la Zambia walijiondoa kwenye kutumika na wanasiasa Sanduku la Kura likaleta matokeo.

Funzo ni kwamba unyanyasaji unapozidi Hata hivyo vyombo vya dola tunaishi navyo
Mtawala anapokuwa amezungukwa na mabunduki na mizinga huwa anajiona kama Mungu. Ukimnyang'anya tu ile basitola yake hata ngumi haziwezi. Wachunge sana. Nchi ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom