Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Hawa wahuni wanaojiita viongozi wa dini JPM aliwadekeza sana, huyu alimjengea hadi barabara ya lami waumini wake wapite, kila mara alikuwa anawaalika ikulu na kuwapa upendeleo wa juu, na hiyo yote ni kutokana na uoga wake na kutojiamini, akipenda kusifiwa na kila mtu!! Wale wa upande mwingine ilikuwa ni kuwalisha ubwabwa na kuwahonga misikiti, miezi hii mitano wamepotezewa tayari wameanza mayowe! Ni wengi wataibuka, vikiwemo vyombo vya habari kama Clouds ambavyo vimekuwa yatima kwa sasa ambavyo mbeleko walilolitegemea lipo Chato milele. Kila utawala na namna yake ya kutawala. Itatuchukua siyo chini ya miaka 3 sumu na propaganda alizosambaza JPM nchi kuisha
pointless [emoji717]
 
Japo wa wakati wa Magu aliunga mkono juhudi kila kitu hadi uovu
huwezi fananisha wakati wa JPM na sasa kwenye swala la imani ya wananchi kwenye serikali yao, hizi ni tawala mbili tofauti ,kumbuka wakati wa JPM aliyekuwa hapendi uongozi wa JPM ni watu waliokuwa na maslai binafsi na wanasiasa wa upinzani tu lakini kiuhalisia almost watanzania wote walikuwa na imani na uongozi wake tofauti na sasa serikali inaonekana kana kwamba inaenda kukompromise imani yao kwa watanzania ,mfano mzuri aliotolea mzee wa upakao ni swala la tozo. kiufupi wakati wa JPM hakuna namna watanzania walikua wana furaha na uongozi wa JPM.
 
Nchi lazima iongozwe kwa sheria na taratibu. Dini haiwezi kukwepa hilo, huyo mzee wa upako asilete vitisho vyake vya kijuha.
 
Hawa wahuni wanaojiita viongozi wa dini JPM aliwadekeza sana, huyu alimjengea hadi barabara ya lami waumini wake wapite, kila mara alikuwa anawaalika ikulu na kuwapa upendeleo wa juu, na hiyo yote ni kutokana na uoga wake na kutojiamini, akipenda kusifiwa na kila mtu!! Wale wa upande mwingine ilikuwa ni kuwalisha ubwabwa na kuwahonga misikiti, miezi hii mitano wamepotezewa tayari wameanza mayowe! Ni wengi wataibuka, vikiwemo vyombo vya habari kama Clouds ambavyo vimekuwa yatima kwa sasa ambavyo mbeleko walilolitegemea lipo Chato milele. Kila utawala na namna yake ya kutawala. Itatuchukua siyo chini ya miaka 3 sumu na propaganda alizosambaza JPM nchi kuisha
Weee mpumbavu hii nchi sio ya shangazi yako . Dini zetu tunaamin iman zetu Leo hii polisi wanaingia Kanisani tena Roma wanabeba watu hii ni mara ya pili walianzia mbeya

Taifa letu sote tunawajibika kulinda umoja wetu na tunu ya ya Amani ya nchi yetu
 
huwezi fananisha wakati wa JPM na sasa kwenye swala la imani ya wananchi kwenye serikali yao, hizi ni tawala mbili tofauti ,kumbuka wakati wa JPM aliyekuwa hapendi uongozi wa JPM ni watu waliokuwa na maslai binafsi na wanasiasa wa upinzani tu lakini kiuhalisia almost watanzania wote walikuwa na imani na uongozi wake tofauti na sasa serikali inaonekana kana kwamba inaenda kukompromise imani yao kwa watanzania ,mfano mzuri aliotolea mzee wa upakao ni swala la tozo. kiufupi wakati wa JPM hakuna namna watanzania walikua wana furaha na uongozi wa JPM.
Nawe ulikuwa na maslahi na JPM.
Hakuna kiongozi amepuyanga bila kujua analipeleka wapi yaifa kama JPM.
Huyo jamaq alikuwa na roho mbaya sana japo...narudia japo angeendelea na uongozi miaka mingine mitano angetufanya majasiri na wa bunifu lkn halikuwa lengo lake.

Kumbuka wakati wa mateso watu huwa na njia mbadala za kuishi.

Marudia Jpm alikuwa na roho chafu...japo alikuwa na mazuri sana machache pamoja na uchapaji kazi.
 
Ushauri wa mzee wa upako una refer tukio la Hivi katibuni la Taliba na Afghan. Kwamba wananchi wakiungana na jeshi linakiwa pamoja nao. Ukijiuliza swali ilikuwaje kikundi kinachodaiwa kuwa cha kigaidi kilipata nguvu wapi kiasi cha kushika dola nchi nzima ndani ya masaa 24?? Je kiliwezaje kushika maeneo muhimu ya Ulinzi kama Jeshi, Polisi na Usalama wa taifa bila kukutana na upinzni?? Huoni kama Watu wa jeshi, Polisi na usalama waliungana na Taliban movement?

Mfano mwingine ni ule wa juzi Zambia. Chama tawala kuondoka madarakani maana yake Mapolisi, Wanajeshi na mahakama pamoja na usalama wa taifa la Zambia walijiondoa kwenye kutumika na wanasiasa Sanduku la Kura likaleta matokeo.

Funzo ni kwamba unyanyasaji unapozidi Hata hivyo vyombo vya dola tunaishi navyo
Mtawala anapokuwa amezungukwa na mabunduki na mizinga huwa anajiona kama Mungu. Ukimnyang'anya tu ile basitola yake hata ngumi haziwezi. Wachunge sana. Nchi ni yetu sote.
Mzee wa upako hana moral authority ya kuzungumzia unyanyasaji, itakuwa ameona anakosa fursa za utawala kwa sasa.
 
Kila mtu duniani anayo maslahi binafsi wewe kilaza
huwezi fananisha wakati wa JPM na sasa kwenye swala la imani ya wananchi kwenye serikali yao, hizi ni tawala mbili tofauti ,kumbuka wakati wa JPM aliyekuwa hapendi uongozi wa JPM ni watu waliokuwa na maslai binafsi na wanasiasa wa upinzani tu lakini kiuhalisia almost watanzania wote walikuwa na imani na uongozi wake tofauti na sasa serikali inaonekana kana kwamba inaenda kukompromise imani yao kwa watanzania ,mfano mzuri aliotolea mzee wa upakao ni swala la tozo. kiufupi wakati wa JPM hakuna namna watanzania walikua wana furaha na uongozi wa JPM.
 
huwezi fananisha wakati wa JPM na sasa kwenye swala la imani ya wananchi kwenye serikali yao, hizi ni tawala mbili tofauti ,kumbuka wakati wa JPM aliyekuwa hapendi uongozi wa JPM ni watu waliokuwa na maslai binafsi na wanasiasa wa upinzani tu lakini kiuhalisia almost watanzania wote walikuwa na imani na uongozi wake tofauti na sasa serikali inaonekana kana kwamba inaenda kukompromise imani yao kwa watanzania ,mfano mzuri aliotolea mzee wa upakao ni swala la tozo. kiufupi wakati wa JPM hakuna namna watanzania walikua wana furaha na uongozi wa JPM.
Sahihi
 
Weee mpumbavu hii nchi sio ya shangazi yako . Dini zetu tunaamin iman zetu Leo hii polisi wanaingia Kanisani tena Roma wanabeba watu hii ni mara ya pili walianzia mbeya

Taifa letu sote tunawajibika kulinda umoja wetu na tunu ya ya Amani ya nchi yetu
Itakuwa ulikuwa hujazaliwa wakati wanaingia misikitini.
 
Itakuwa ulikuwa hujazaliwa wakati wanaingia misikitini.
Wanaingia endapo kuna kosa, je kuvaa nguo kuna kosa gani kisheria?
Ukubali ukatae huyu maza anachemka mapema
 
Back
Top Bottom