nikuridishe kwenye point. JPM alijenga imani ya wananchi kwa serikali yao.hata kama kuna wachache waliokuwa wanaumia na uongozi wake lakini hukusikia watanzania wakiwa na hofu na uongozi wake .refer alivyoshugulika na swala la covid , watanzania walikua nae bega kwa bega katika maamuzi yake juu ya swala la covid ,haya ndugu yangu nikuulize hali ipoje kwa watanzania juu ya namna SSH ananyoshughulika na swala la covid ,ana support ya watanzania . jibu ni NO. watu bado wanapiga nyungu swala la chanjo hawataki kusikia. same kwenye swala la tozo . kupotea kwa kina ben saa nane usifikiri kuwa ni watanzania wote waliumia ,kuminywa kwa uhuru wa siasa usifikiri watanzania walikua wana time na siasa zao . watanzania walikua na imani na raisi wao. tofauti na sasaa