Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Nchi lazima iongozwe kwa sheria na taratibu. Dini haiwezi kukwepa hilo, huyo mzee wa upako asilete vitisho vyake vya kijuha.
Ni kweli kabisa,cha msingi hizo Sheria na taratibu zisiwe kandamizi. Hilo tu!.
 
Nawe ulikuwa na maslahi na JPM.
Hakuna kiongozi amepuyanga bila kujua analipeleka wapi yaifa kama JPM.
Huyo jamaq alikuwa na roho mbaya sana japo...narudia japo angeendelea na uongozi miaka mingine mitano angetufanya majasiri na wa bunifu lkn halikuwa lengo lake.

Kumbuka wakati wa mateso watu huwa na njia mbadala za kuishi.

Marudia Jpm alikuwa na roho chafu...japo alikuwa na mazuri sana machache pamoja na uchapaji kazi.
nikuridishe kwenye point. JPM alijenga imani ya wananchi kwa serikali yao.hata kama kuna wachache waliokuwa wanaumia na uongozi wake lakini hukusikia watanzania wakiwa na hofu na uongozi wake .refer alivyoshugulika na swala la covid , watanzania walikua nae bega kwa bega katika maamuzi yake juu ya swala la covid ,haya ndugu yangu nikuulize hali ipoje kwa watanzania juu ya namna SSH ananyoshughulika na swala la covid ,ana support ya watanzania . jibu ni NO. watu bado wanapiga nyungu swala la chanjo hawataki kusikia. same kwenye swala la tozo . kupotea kwa kina ben saa nane usifikiri kuwa ni watanzania wote waliumia ,kuminywa kwa uhuru wa siasa usifikiri watanzania walikua wana time na siasa zao . watanzania walikua na imani na raisi wao. tofauti na sasaa
 
Mzee wa upako hapiganii haki na usawa kwa watu wote au kwa sababu anaipenda sana Tanzania. Anofokafoka na kutokwa na povu kwa sababu ya taarifa za taratibu mpya za 'usajili' zilizozimika ghafla na pia kuhisi kusogezwa mbali na meza kuu tofauti na miaka tano iliyopita.
Lazima tubadilike. Tusipigane kijinga. Kila adui yao ni mshirika wetu.

Baadhi ya washirika kwenye kupambana na apartheid walitaka mbususu za kizungu tu.

Hata hao Mandela aliwapokea sembuse mzee wa upako?

Mnataka kupigana wenyewe peke yenu? Wacheni tuyajaze magereza!

Hata kigogo kule jamhuri ya Twitter kunatakikana truce haraka.
 
Kila mtu hata wewe unaangalia maslahi yako, yakiguswa hatuwezi kuongea lugha moja
Muambie sasa huyo mzee wenu wa upako aache kutishia kuvurugika kwa amani ya nchi kwa sababu maslahi yake yameguswa
 
EeenHeee!

"...lakini kiuhalisia almost watanzania wote walikuwa na imani na uongozi wake...."

"...kiufupi wakati wa JPM hakuna namna watanzania walikua wana furaha na uongozi wa JPM."

Hivi nyinyi watu siku hizi mnaokotwa pori gani, maanake ni kama huko hata mwanga haupo kabisa!

Na unajiita "Dr Dre"!
umejibu hoja gani hapo.
 
Lazima tubadilike. Tusipigane kijinga. Kila adui yao ni mshirika wetu.

Baadhi ya washirika kwenye kupambana na apartheid walitaka mbususu za kizungu tu.

Hata hao Mandela aliwapokea sembuse mzee wa upako?

Mnataka kupigana wenyewe peke yenu? Wacheni tuyajaze magereza!

Hata kigogo kule jamhuri ya Twitter kunatakikana truce haraka.
Ccm wachawi tu na hawana uwezo wa kupima hoja
 
Nawe ulikuwa na maslahi na JPM.
Hakuna kiongozi amepuyanga bila kujua analipeleka wapi yaifa kama JPM.
Huyo jamaq alikuwa na roho mbaya sana japo...narudia japo angeendelea na uongozi miaka mingine mitano angetufanya majasiri na wa bunifu lkn halikuwa lengo lake.

Kumbuka wakati wa mateso watu huwa na njia mbadala za kuishi.

Marudia Jpm alikuwa na roho chafu...japo alikuwa na mazuri sana machache pamoja na uchapaji kazi.
"Kumbuka, wakati wa mateso watu huwa na njia mbadala za kuishi"; na pia watu hao hao huwa wabunifu wa njia za kupunguza/kuondoa mateso.

Huyu 'Mama Mizinguo' kwa kuendeleza maovu, anaharakisha watu watafute njia za kuondokana na mateso. Kiufupi, anakamilisha kazi iliyokuwa ameianza Magufuli, ya kuididimiza CCM.
 
"Kumbuka, wakati wa mateso watu huwa na njia mbadala za kuishi"; na pia watu hao hao huwa wabunifu wa njia za kupunguza/kuondoa mateso.

Huyu 'Mamaa Mizinguo' kwa kuendeleza maovu, anaharakisha watu watu watafute njia za kuondokana na mateso. Kiufupi, anakamilisha kazi iliyokuwa ameianza Magufuli, ya kuididimiza CCM.
Lkn atajuta
 
Hata wasiojulikana wakitubu tunawakaribisha kundini, Yesu alitoa mfano bora wa mwana mpotevu kurudi nyumbani na kuomba msamaha

Kuna jamaa wanashangaza. Wako nyuma ya keyboards na fake ID.

Baadhi ya wapiganaji SA walihitaji mbususu za kizungu tu wala si zaidi ya hapo.

Bado walikaribishwa kwenye harakati za ukombozi ikiwamo michango yao yenye uelekeo wa uchakataji papuchi, sembuse mzee wa upako na nondo alizotiririka?!
 
Kuna jamaa wanashangaza. Wako nyuma ya keyboards na fake ID.

Baadhi ya wakimbizi SA walihitaji mbususu za kizungu tu wala si zaidi ya hapo.

Bado walikaribishwa kwa harakati za ukombozi ikiwamo michango yao yenye uelekeo wa uchakataji papuchi sembuse mzee wa upako?!
Hahaha eti mbususu
 
Unaelewa maana ya 'hofu' ? Kama unataka kuelewa maana yake
1.Kawaulize shangazi zake majaliwa wanaolima Korosho huko kusini?
2. Muulize Tundu Lissu, Mo Dewji, Roma, Ben Saa Nane na familia zao
3. Waulize wakosoaji wa utawala wa jiwe
4.Waulize waliobomolewa nyumba zao Kimara
5.Waulize wafanyabiashara wa Bureau de Change
6.Waulize wahanga wa Sabaya na Bashite

Kama hofu kwako wewe ni chanjo ambayo ni hiyari na una weza kuendelea na mitishamba yako basi wewe umebeba kichwa kama boksi la kuhifadhia meno tu.
nikuridishe kwenye point. JPM alijenga imani ya wananchi kwa serikali yao.hata kama kuna wachache waliokuwa wanaumia na uongozi wake lakini hukusikia watanzania wakiwa na hofu na uongozi wake .refer alivyoshugulika na swala la covid , watanzania walikua nae bega kwa bega katika maamuzi yake juu ya swala la covid ,haya ndugu yangu nikuulize hali ipoje kwa watanzania juu ya namna SSH ananyoshughulika na swala la covid ,ana support ya watanzania . jibu ni NO. watu bado wanapiga nyungu swala la chanjo hawataki kusikia. same kwenye swala la tozo . kupotea kwa kina ben saa nane usifikiri kuwa ni watanzania wote waliumia ,kuminywa kwa uhuru wa siasa usifikiri watanzania walikua wana time na siasa zao . watanzania walikua na imani na raisi wao. tofauti na sasaa
 
Lazima tubadilike. Tusipigane kijinga. Kila adui yao ni mshirika wetu.

Baadhi ya washirika kwenye kupambana na apartheid walitaka mbususu za kizungu tu.

Hata hao Mandela aliwapokea sembuse mzee wa upako?

Mnataka kupigana wenyewe peke yenu? Wacheni tuyajaze magereza!

Hata kigogo kule jamhuri ya Twitter kunatakikana truce haraka.
Hamjifunzi tu kwa Mange, Chahali, Nyalandu, Gwajima, Kakobe, Lowassa na Kigogo?
Hamuwezi kutofautisha watu wenye misimamo ya kweli na wakosa fursa wenye gubu tu ?

Mzee wa upako atawashangaza baada ya mfupi tena.
 
Hamjifunzi tu kwa Mange, Chahali, Nyalandu, Gwajima, Kakobe, Lowassa na Kigogo?
Hamuwezi kutofautisha watu wenye misimamo ya kweli na wakosa fursa wenye gubu tu ?

Mzee wa upako atawashangaza baada ya mfupi tena.
Bro iko hivi;
Hatupingi kila kitu cha ccm wala serikali, wakifanya vyema tunapongeza tena sana lakini wakikosea pia tunasema mchana kweupe.
Mzee wa upako siku zote yupo upande wa serikali kwa alivyoona wanafanya vyema.
Lakini sasa ameona dosari amekosoa, ktk hili tunamuunga mkono.
Sio lazima akosoe kila siku.
 
Unaelewa maana ya 'hofu' ? Kama unataka kuelewa maana yake
1.Kawaulize shangazi zake majaliwa wanaolima Korosho huko kusini?
2. Muulize Tundu Lissu, Mo Dewji, Roma, Ben Saa Nane na familia zao
3. Waulize wakosoaji wa utawala wa jiwe
4.Waulize waliobomolewa nyumba zao Kimara
5.Waulize wafanyabiashara wa Bureau de Change
6.Waulize wahanga wa Sabaya na Bashite

Kama hofu kwako wewe ni chanjo ambayo ni hiyari na una weza kuendelea na mitishamba yako basi wewe umebeba kichwa kama boksi la kuhifadhia meno tu.
Kama vile una akili njema
 
Back
Top Bottom