haaa hommie bana!
sa si umesema kuwa uzinzi sio sawa na usaherati?
kwa hiyo ukilet kibangi bangi utaishia na jibu hilo hilo.....
So, If amri ya sita inasema USIZINI, na hakuna neno Uasherati, na
If KUZINI ni among amrried couples, na UASHERATI ni among unmarried couples,
It follows that UZINZI na UASHERATI are not equal.
Hence, kama mchungaji alikuwa ANAZINI, ina maana alikuwa na mke, na assumption ya kwamba ni mjane inakuwa discarded for good, tunabaki na swali kwamba alikuwa ANAZINI na nani?
lol