Mchungaji Dustan Maboya, umepatwa na nini hadi uanzishe ibada za usiku wa manane? Polisi chunguzeni huduma hii

Mchungaji Dustan Maboya, umepatwa na nini hadi uanzishe ibada za usiku wa manane? Polisi chunguzeni huduma hii

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Miongoni mwa wahubiri NGULI na mahiri kabisa kupata kukaa miguuni mwa Mwinjilisti wa kweli wa Mungu Mch. Moses Kulola, Basi ni Dustan Maboya.

Maboya mwenye sauti nzito na swaggz za kufa mtu, miaka ile ya mwishoni ya 80 alikuwa akitisha kwa namna alivyokuwa akizivuta roho nyingi kwa Yesu.

Leo katika pitapita yangu mitaa ya Ubungo Riverside, katikati ya foleni, jua Kali na joto jingi, nimeshusha kioo Cha gari, ili hewa inipooze, maana air conditioner isije nimalizia wese langu maana tuna karibia saa nzima tumeganda hapa. Anatokea kijana mmoja, ananipa kipeperushi, yerewiiiiiiiii

Yaani Maboya amekuwa kama mganga wa jadi, anawakanyagisha watu asali Kisha huwanyweshwa ili wapokee miujiza yao.
Cha hatari zaidi kanisa linatoa huduma zake usiku wa manane kuanzia Jumatatu Hadi Jumapili, siku Saba kwa wiki.

Usiku ni muda wa wanandoa kufurahia ndoa yao.

Usiku ni hatari kwa kutembea, kwenda na kurudi kanisani kwani unaweza kukutana na vibaka, wabakaji etc.

Polisi, hebu walimulike hili kanisa Kama lipo kisheria na linafuata taratibu za nchi.

[SUP]
Image_1601108697.jpg
[/SUP]
 
Angekuwepo Kulola labda angeona aibu lakini Mungu hawezi muogopa.Mtu kama Mwampo kaua watu na hakuna aliejiuliza watu wasio na maarifa ya neno wanaendelea kukanyaga mafuta tu. Kuna anaejiita mtume nimepata habari yake kwamba alimshughulikia mke wa muumini wake kiasi cha kumtia mimba na bado wao wawili wameendelea kuwa waumini.
 
Huyu tapeli alianzisha kanisa sombeti arusha,halafu akawachangisha waumini kumjengea nyumba yake mpka ikakamilika, ni tapeli sugu kama papa Msofe.
 
Eti kutoka ndani ya sufuria za kichawi maboya na mwanao Joshua makondeko Mungu anawazoom!!
 
Nikiwa nasoma Arusha Secondary miaka ya tisini alikuwa anakuja kuhubir akiona vikundi vya wanafunzi alikuwa chakaramu kama mchungaji mashimo choka mbaya anahubiri kwa matusi tunamshangilia utasikia dah Yesu akaona hawa wasenge wanafanya biashara hekaluni Leo nawalawiti. Sitanii alikuwa anahubiri hivyooo
 
Nikiwa nasoma arusha secondary miaka ya tisini alikuwa anakuja kuhubir akiona vikundi vya wanafunzi alikuwa chakaramu kama mchungaji mashimo choka mbaya anahubiri kwa matusi tunamshangilia utasikia dah yesu akaona hawa wasenge wanafanya biashara hekaluni Leo nawalawiti...sitanii alikuwa anahubiri hivyooo
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3]
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mungu atusamehe kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa nasoma arusha secondary miaka ya tisini alikuwa anakuja kuhubir akiona vikundi vya wanafunzi alikuwa chakaramu kama mchungaji mashimo choka mbaya anahubiri kwa matusi tunamshangilia utasikia dah yesu akaona hawa wasenge wanafanya biashara hekaluni Leo nawalawiti...sitanii alikuwa anahubiri hivyooo
Hah haha haaaaa jamaa nyoko Sana huyu
 
Kwanza katika Mitume wa Kipentekoste huyu ndiye ninayemsikiliza na kumuelewa. Hulihubiri na kulifundisha neno kama lilivyo. Hapo kaitwa ili awalete Kondoo wasio na zizi wa Nyumba ya Israel.

Pili nina hakika hapo kaalikwa tu. Mwenye shughuli ni huyo Makondeko.
Ministry yake inaitwa CALVARY ASSEMBLIES.

Mrumi Mkatoliki
 
Kwanza katika Mitume wa Kipentekoste huyu ndiye ninayemsikiliza na kumuelewa. Hulihubiri na kulifundisha neno kama lilivyo. Hapo kaitwa ili awalete Kondoo wasio na zizi wa Nyumba ya Israel.

Pili nina hakika hapo kaalikwa tu. Mwenye shughuli ni huyo Makondeko. Ministry yake inaitwa CALVARY ASSEMBLIES.

Mrumi Mkatoliki
Duh....
 
MKUU Bujibuji nitag ule Uzi wako ulisimulia kuwa Kuna nyumba UKIENDA PANDE za masaki, ukapelekwa chumba FULAN UPIGE stor na MSUKULE baadaye uakapewa hela shart bodaboda umlipie nauli 50k.. sorry Kama nime mistaken na brother Mshana Jr ULE UZI WA WACHINA HUNA MATUKIO MAPYA HATA UNIPM??
 
MKUU Bujibuji nitag ule Uzi wako ulisimulia kuwa Kuna nyumba UKIENDA PANDE za masaki..ukapelekwa chumba FULAN UPIGE stor na MSUKULE baadaye uakapewa hela shart bodaboda umlipie nauli 50k.. sorry Kama nime mistaken na brother Mshana Jr ULE UZI WA WACHINA HUNA MATUKIO MAPYA HATA UNIPM??
A link is coming soon
 
Back
Top Bottom