Mchungaji Eliona Kimaro arejea KKKT Kijitonyama

Mchungaji Eliona Kimaro arejea KKKT Kijitonyama

Atulie sasa aache maneno yanayoleta ukakasi kwa mabosi wake.

Rule number UNo aifuate.
 
Hakuwa na kosa lolote, ningeshangaa Sana.
SANA.

KIMARO ni wale Watu wa black n White.
Sio Watu wakupepesa maneno.
Tabia hiyo Kwa Watu Wanafiki humuona kama anajifanya au anakiburi.
 
Dar es Salaam. Shangwe na nderemo vimetawala katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama wakati wa ibada ya asubuhi (morning Glory) baada ya mchungaji, Dk Eliona Kimaro ambaye kurudi kutoka likizo aliyopewa.

Usiku wa Januari 16, 2023 ilisambaa video ikimuonyesha mchungaji Kimaro akiwaeleza waumini wake kuwa amepewa likizo ya siku 60 baada ya kuitwa katika ofisi ya msaidizi wa askofu na kufanya kikao na mkuu wa jimbo.

Dk Kimaro ambaye ni mchungaji kiongozi wa Usharika huo ameripoti usharikani hapo leo Ijumaa Machi 17, 2023 baada ya kumalizika kwa likizo ya siku 60 na kuibua furaha alipowasalimia waumini na kuwashukuru.
Hata hivyo Februari 19 Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dk Alex Malasusa alitangaza kumsamehe mchungaji Kimaro.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa ibada hiyo Dk Kimaro amewashukuru waumini wa usharika huo kwa uvumilivu kwa kipindi chote alichokuwa kwenye nyumba ya malezi huku akitangaza ratiba za ibada ya Kwaresma kwa siku zilizobaki.

Waumini walioshiriki ibada hiyo wameshindwa kujizuia kwa furaha walizokuwa nazo kila alipokuwa akizungumza walinyanyuka na kushangilia na wengine kurusha maua.

Credit: Mwananchi
Wameshinda
 
Dar es Salaam. Shangwe na nderemo vimetawala katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama wakati wa ibada ya asubuhi (morning Glory) baada ya mchungaji, Dk Eliona Kimaro ambaye kurudi kutoka likizo aliyopewa.

Usiku wa Januari 16, 2023 ilisambaa video ikimuonyesha mchungaji Kimaro akiwaeleza waumini wake kuwa amepewa likizo ya siku 60 baada ya kuitwa katika ofisi ya msaidizi wa askofu na kufanya kikao na mkuu wa jimbo.

Dk Kimaro ambaye ni mchungaji kiongozi wa Usharika huo ameripoti usharikani hapo leo Ijumaa Machi 17, 2023 baada ya kumalizika kwa likizo ya siku 60 na kuibua furaha alipowasalimia waumini na kuwashukuru.
Hata hivyo Februari 19 Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dk Alex Malasusa alitangaza kumsamehe mchungaji Kimaro.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa ibada hiyo Dk Kimaro amewashukuru waumini wa usharika huo kwa uvumilivu kwa kipindi chote alichokuwa kwenye nyumba ya malezi huku akitangaza ratiba za ibada ya Kwaresma kwa siku zilizobaki.

Waumini walioshiriki ibada hiyo wameshindwa kujizuia kwa furaha walizokuwa nazo kila alipokuwa akizungumza walinyanyuka na kushangilia na wengine kurusha maua.

Credit: Mwananchi
Ukiangalia matukio namna mgogoro ulivyoanza na ulivyoisha; una uhakika hayakuwa maigizo? Tuacheni maigizo nchi hiii!
 
Jambo jema halishabikiwi kama jambo baya[emoji2827]
 
Huu ndio uzuri wa binadamu kukubalika watu wanakufurahia siyo sawa na lile shetani ibilisi la Kirundi lililokufa tarehe kama ya leo.

IMG_9191.jpg
 
Dar es Salaam. Shangwe na nderemo vimetawala katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama wakati wa ibada ya asubuhi (morning Glory) baada ya mchungaji, Dk Eliona Kimaro ambaye kurudi kutoka likizo aliyopewa.

Usiku wa Januari 16, 2023 ilisambaa video ikimuonyesha mchungaji Kimaro akiwaeleza waumini wake kuwa amepewa likizo ya siku 60 baada ya kuitwa katika ofisi ya msaidizi wa askofu na kufanya kikao na mkuu wa jimbo.

Dk Kimaro ambaye ni mchungaji kiongozi wa Usharika huo ameripoti usharikani hapo leo Ijumaa Machi 17, 2023 baada ya kumalizika kwa likizo ya siku 60 na kuibua furaha alipowasalimia waumini na kuwashukuru.
Hata hivyo Februari 19 Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dk Alex Malasusa alitangaza kumsamehe mchungaji Kimaro.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa ibada hiyo Dk Kimaro amewashukuru waumini wa usharika huo kwa uvumilivu kwa kipindi chote alichokuwa kwenye nyumba ya malezi huku akitangaza ratiba za ibada ya Kwaresma kwa siku zilizobaki.

Waumini walioshiriki ibada hiyo wameshindwa kujizuia kwa furaha walizokuwa nazo kila alipokuwa akizungumza walinyanyuka na kushangilia na wengine kurusha maua.

Credit: Mwananchi
Atulie sasa atii maagizo na miongozo ya kanisa lake.
MUNGU amsimamie katika huduma yake.
 
Kumbe hadi KKKT wana kwaresma!

Nilijua RC pekee,nani wengine?
 
Hakika Mwenye Enzi Mungu ni mkubwa sana !
Hongera sana mchungaji vita umepigana na amani umeitunza!
Mwenye Enzi Mungu awe nawe milele!
 
Back
Top Bottom