Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
ndio zilisimamaKwahiyo bila yeye Huduma zinasimama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio zilisimamaKwahiyo bila yeye Huduma zinasimama?
NonsenseHuu ndio uzuri wa binadamu kukubalika watu wanakufurahia siyo sawa na lile shetani ibilisi la Kirundi lililokufa tarehe kama ya leo.
Hela tu hapo inagombaniwa. Kimaro ni mchaga hivyo hayuko nyuma ktk kutumiamadhabahu kujinufaisha. Hivyo ametumia vyema huruma na wingi wa wachaga hapo Kijitonyama ili kuendelea kula hela za mazuzu (waumini).Bila Mchg Kimaro Kijitonyama ilikuwa taabani.
RubbishNonsense
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tunajua una hasira nalo kwani ulilipa uroda likala likakuacha na mimbaHuu ndio uzuri wa binadamu kukubalika watu wanakufurahia siyo sawa na lile shetani ibilisi la Kirundi lililokufa tarehe kama ya leo.
Kwani hujui? Alimwachia mimbaDaaah haha haha hivi Magu alikufanyanin mwana hahah
Nguvu ya umma ni hatari
Si utaenda na zumaridi, ametoka huko juzi tuKwahiyo bila yeye mbinguni hatuendi??
Yule chizi maarifa, yeye anaenda kwa waganga eti anatoka kwa Mungu.Si utaenda na zumaridi, ametoka huko juzi tu
Bila Mchg Kimaro Kijitonyama ilikuwa taabani.
Na kubwa zaidi kutumia mabilioni ya kodi zetu kuandaa chaguzi za Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kisha kutumia mabilioni mengine kuvuruga chaguzi hizo,kosa hili hasa ndiyo lilipelekea umauti wake,dua tulizopiga tarehe 28/10/2020 zisingemuacha salama Mungu hadhihakiwi kamwe .Aliuwa watu wasiokuwa na hata, hizi damu za watu zitamuandama mpaka kaburini.
KKKT wana masista tanguy zamani ila siyo wengi na hawasikiki.Siku hizi hadi wao wana masista, wameanza kurudi taratibu walipotoka
Naamini na Maputo yalipungua teh teh tehBila Mchg Kimaro Kijitonyama ilikuwa taabani.
AmenNa ikawe Baraka ktk utumishi wake
Huyu mwamba wamemzima mazima kwenye yale mahubiri yake changamfu.