Mchungaji Eliona Kimaro arejea KKKT Kijitonyama

Mchungaji Eliona Kimaro arejea KKKT Kijitonyama

Bila Mchg Kimaro Kijitonyama ilikuwa taabani.
Hela tu hapo inagombaniwa. Kimaro ni mchaga hivyo hayuko nyuma ktk kutumiamadhabahu kujinufaisha. Hivyo ametumia vyema huruma na wingi wa wachaga hapo Kijitonyama ili kuendelea kula hela za mazuzu (waumini).

Kama Kimaro.angekuwa kwa ajili ya kuhudumu neno la Mungu aliona shida gani kuhamishwa ili akaeneze injili maeneo mengine?

Wazungu waliondoka Ulaya na kuja bara Giza (Afrika) kuja kieneza injili.

Nonsense!
 
Huu ndio uzuri wa binadamu kukubalika watu wanakufurahia siyo sawa na lile shetani ibilisi la Kirundi lililokufa tarehe kama ya leo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tunajua una hasira nalo kwani ulilipa uroda likala likakuacha na mimba
 
Aliuwa watu wasiokuwa na hata, hizi damu za watu zitamuandama mpaka kaburini.
Na kubwa zaidi kutumia mabilioni ya kodi zetu kuandaa chaguzi za Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kisha kutumia mabilioni mengine kuvuruga chaguzi hizo,kosa hili hasa ndiyo lilipelekea umauti wake,dua tulizopiga tarehe 28/10/2020 zisingemuacha salama Mungu hadhihakiwi kamwe .
 
Ni jambo jema kwa wale waliokuwa wakiandamana lakini naona ni jambo la hovyo kiutawala wa Dayosisi.
Kumrudisha pale pale maana yake washarika wana nguvu ya kuamua nani awe mchungaji wao kwa mabango na maandamno.

Lakini pia naona hatari KKKT kuruhusu mchungaji fulani awe na nguvu ktk usharika fulani kwasababu ya kukaa muda mrefu na hivyo kujiona kwamba ni mmiliki wa usharika husika.
Mfumo unaotumika na Roman Catholic ni the best, ni barua moja tu padre au Askofu anahama bila kujibu neno lolote, kama wasemavyo "roma locuta causa finita" Roma imesema na kesi imeisha
 
Back
Top Bottom