Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Hakuna jipya uliloandika zaidi ya tuliyoyasikia tangu sakata hilo lianze.Hayo ya wanawake kuvaa suruali za kubana umecopy humu JF kwa wenzio waliotangulia kuweka mada za Mchungaji. Kipya hapo ni number zako za simu tu basi.
endelea kubarikiwa ndugu yangu, ukue na ukaongezeke katika jina la Yesu
 
USIHUKUMU USIJE KUHUKUMIWA the Bible says
 
Kama yesu alikuja kwaajili wa watu ambao sio wakamilifu kama hao wavaa suruali za kubana waliobeba mabango iweje ushangae?
Shemasi unajichanganya
Hapana sijajichanganya ndugu isipokua hujaelewa mahala fulani
Yesu alikuja duniani kutafta waliopotea, ukiisha mpokea Yesu unafanyika mwana wa Mungu(HADHI ya juu sana). wale wamekwisha mpokea YESU. tabia na mienendo yao inapaswa kutofautiana na watu ambao hawajampokea Mungu. huwezi kua mwana wa Mungu kisha ukarudi tena kuvaa mavazi ya kikahaba, huwezi kua mwana wa Mungu kisha ukawa na mwenendo sawa na mwana wa shetani.

yesu anasema

Mathayo 11:28 BHN​

Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

mizigo ni pamoja na mavazi ya kikahaba, uzinzi, uasherati n.k
 
Gauge gani hiyo umeitumia kujua kuwa amejijenga yeye binafsi zaidi ya Kristo .....!!?
 
Nani kakwambia kwamba wale wamempokea yesu?
 
 
Nadhani KKKT kuna shida kuanzia waumini wao tangu wakiwa watoto.
Hivi inakuaje mchungaji anayefanya mambo kinyume na miongozo ya taasisi yake iliyomuweka ndio anapendwa na kupata umaarufu? Kwanini waumini wenyewe wasimkatae?
 
Duh [emoji1783][emoji1783] CV ya kimaro ni kubwa asee..
 
Jamaa taiz zilikua mingi ngoja atulie kidogo [emoji3]
 
Kimaro hakuwa specific yeye ali generalize kitu ambacho mimi naona siyo kweli huwezi ukasema wakristo wote ni wezi,basi hata magereza nafikiri yangejaaa Christian tuu
Ameharibu reputation ya wafanyakazi wa kikristo kwenye taasisi na mashirika mengi sana, ni vile hajui madhara ya kutamka maneno kama hayo kwenye hadhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…