Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani Bina usije kushangaa huko motoni wengi wakawa wakristo, tena viongozi na hawa wenye makasiriko na mtu aliyeinuliwa na Mungu.Sikujuaga km Kuna wakristoo wana chuki Kali hivi na wanamchukia Kimaro hivii Tena live live daah...kweli Dunia Ina wanafiki wengi sana
Anyway hayanihusu lakini ila kupitia Kimaro nimejifunza kitu
Daahhhh nimechoka sana Bina maana ukiona comments za humu za chuki za wazi wazi as if alikua anazibia watu riziki,amekula wake za watu au ametukana watu,au ameiba pesaYaani Bina usije kushangaa huko motoni wengi wakawa wakristo, tena viongozi na hawa wenye makasiriko na mtu aliyeinuliwa na Mungu.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]duhhh kuna shida mahala baasiNimeona clip wakirusha vitu vyake nje.
Hii kitu inaonesha iko ndani kuliko tunavyoona.
Kosa ni hilo tu la vijana wa kiislam au yapo na mengine ?
Ndiyo wafuasi kinda kinda wa Rev Kimaro.Mbona wahuni tu hao. Tena sio wa KKKT wahamiaji wanao taka kuleta mambo ya Mwamposa KKKT.
Vitu gani wamerusha dadaNimeona clip wakirusha vitu vyake nje.
Hii kitu inaonesha iko ndani kuliko tunavyoona.
Kosa ni hilo tu la vijana wa kiislam au yapo na mengine ?
imeisha hiyoNiseme tu, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Kilichokuwa kinatakiwa kufanyika ni kum demolish Kimaro tangu akiwa Usharika wa Kariakoo.
Kwa miaka mingi tumefanya mbinu na njama mbalimbali kumuondoa lakini hazikuwq na matokeo tuliyo yatarajia. Hivyo tukajaribu mbinu nyingine na nyingine tena, hatimaye leo mbuyu haujaanguka ila umemwagika.
Mara ya kwanza tulipofanya yetu akiwa pale Kariakoo alikimbia usharika na kwenda kujificha kwa Mapadre, na mapadre ndio waliofanya jitihada hadi akarudi tena usharikani, ila hii ya sasa harudi, na akirudi basi itakuwa zamu yetu kusalimu amri.
Kimaro alipokuwa Kariakoo, sio kwamba aliharibu taratibu za ibada hapana, hii ni cover tu, tunayoitumia.
Kimaro alipokuwa Kariakoo aliharibu biashara za wengi kwenye ulimwengu wa roho.
Watu walikuwa na madhabahu zao kubwa ambazo ziliprovide ulinzi wa pesa na mali, pia zikikuwa zikivuta mali kutoka kwa maboya wengine.
Alipofika Kimaro, wale ambao tulikuwa tukizivuta mali zao, wakaanza kumiminika kule kila alfajiri, ulinzi wa mali zao ukaanza kuongezeka, na zile biashara zao ambazo tulizifanya zisionekane na wateja zikaanza kuonekana, na taratibu taratibu wakaanza kukua na kutupora wateja wetu.
Kwa msio na ufahamu wa biashara, hamna biashara isiyo na madhabahu (iwe ya asili au hizo kama za Kimaro), hamna biashara isiye na kuhani, na wala hamna biashara isiyotolewa sadaka/kafara.
Watu wakaanza kufundishwa kutoa sadaka za maneneo na manuizi kwa ajili ya biashara zao, tukapata upinzani sana.
Kwa kushirikiana na wenzetu ndani ya kanisa, tukaanza figisu. Ibada hizo mpya zifutwe na ikiwezekana Kimaro ahamishwe Kariakoo.
Tukafanya Kimaro apitie magumu, tukakausha kabisa hali ya utoaji wa sadaka hadi kanisa likashindwa kulipia umeme na maji, tukahakikisha wanapitia kwenye hali ya ugumu kweli kweli.
Baadae Kimaro anajua alichokifanya, akapindua meza, hali ya uchumi wa kanisa ikaimarika sana, likawa pigo lingine kwetu.
Kipindi kile mkuu wa kanisa alikuwa yule jamaa wa Mbeya, tukafanya kila liwezekanalo ahamishwe. Ndipo akapelekwa Kijitonyama.
Zama zile Kijitonyama alikuwepo dogo mmoja anaitwa Kinyaha, hayo mambo ya ibada za asubuhi yalikuwa hayapo au yamekufa kabisa.
Ibada ilikuwa ikihudhuriwa na vizee vienne, wakizidi sana sita. Sasa alipokuja Kimaro sijajua alikuja na mguu upi, akaleta ibada za asubuhi na usiku.
Watu wakaanza kufurika, akaanza kununua nyumba za watu wetu na kuzifanya kuwa za kanisa. Kijitonyama yote ilikuwa ni ngome yetu.
Kata ya Kijitonyama ndio kata ina vijiji viwili mjini kati Dar es Salaam. Kijiji cha Mwenge na Kijiji cha Makumbusho. Jina na asili Kijitonyama sitaki kulielezea leo, lakini kaa ukijua kuwa ile ni ngome yetu na sehemu yetu ya kulia nyama na vitu vyetu vya kutuongezea nguvu. Kijitonyama ndiko kwenye madhabahu ya kuteketeza, ndio maana hata Wahindi miili yao huchomewa Kijitonyama.
Pale tulijaribu mbinu za kishushu, kuna kipindi tulitaka kumfitinisha na serikali kwa kupitia kijana aliyejinyonga kwa madeni aliyokuwa nayo, lakini alikwepa vihunzi kwa namna ya ajabu kabisa.
Kwetu sisi ni furaha, watu waharibifu aina ya KIMARO hawafai, wakakae huko vyuoni wafundishe. Na tutammaliza kwa njia hiyo.
Ukiwauliza wengi wanafata tu mkumbo kumchukua baba wa watu [emoji1787]Daahhhh nimechoka sana Bina maana ukiona comments za humu za chuki za wazi wazi as if alikua anazibia watu riziki,amekula wake za watu au ametukana watu,au ameiba pesa
Mapungufu madogo yakibinidamu Ndo yananyomfanya humu watu wamshambulie looh
Jihadhari usijekupigwa na MunguMsakatonge[emoji16]
Mwanangu nikupendae sana, jihadhari sana kuwadhihaki hawa wanaomtumikia Mungu hasa wakati wao wa mapito magumuNi mshauri wa masuala ya uchumi world bank,imf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii imefanana na Ile ya Professor Ibrahim Lipumba kuwa mshauri wa USA,China,European Union na Russia kwenye masuala ya uchumi.
Shida ya watanzania uelewa mdogo haya makanisa makubwa Rc ,Kkt nk.yana utaratibu wakuendesha ibada ukiona huendani na utaratibu wa kanisa unaruhusiwa kutoka ukafungue lako.Ndiyo wafuasi kinda kinda wa Rev Kimaro.
Na wakamalizia
"WE LOVE YOU DADY"
Kwa wa mujini mnajua DADY maana yake.
Halafu anatokea mtu anakuambia ooh Kimaro ana kiburi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]duhhh kuna shida mahala baasi
Pole sana.Mimi msema kweli, si majungu. BAADA YA KUSIMAMISHWA ETI akapost"FROM BITTER TO BETTER" na ka picha ka uchokozi.Huyu ni mchungaji au ni mission town Tu?Vijembe kwa kwenda mbele mfyuuuuuuu.
Wanaweza kufurahia kuwa wamemuweza lakini siku zitaongeaHalafu anatokea mtu anakuambia ooh Kimaro ana kiburi
Kwanini apost picha imeandikwa from bitter to better[emoji16]
Kitendo tu cha kumpa likizo katikati ya semina ni kitendo Cha kijuha na kishetani.
Wakristo wengi tunaelewa, namna maandalizi ya semina yalivyo..
Mtu anakatishwa ghafla tu
Wamewazuilia watu ambao pengine wangeokoka na wangepiga hatua kwenye hiyo semina.
Wallah watatoa hasabu yake.
KKKT wanamtania Mungu.Wanaweza kufurahia kuwa wamemuweza lakini siku zitaongea
Niache na kanisa langu 😂😂Uzuri wa hili kanisa ni demokrasia, sio upande ule mwingine kazi ni moja kuitikia amina
Kibri kipi bwana ukweli chuki tu ukweli usemwe Kimaro Ndo habari ya mjini tukubali tukatae Mimi ujue sikosagi vipindi vyake nikipata nafasi anatia faraja yule anafundisha nadhani wameogopa anawaoutshine Sanaa viongozi.Halafu anatokea mtu anakuambia ooh Kimaro ana kiburi
Kwanini apost picha imeandikwa from bitter to bette...
Jionee na usikilize hiyo video MkuuHaya
Hahaha.....nimemsikiliza mkuu!Jionee na usikilize hiyo video Mkuu