Mchungaji Gwajima acha kupotosha, huwezi sema Maalim Seif muda wake wa kuishi umetosha, binadamu anaweza kuishi miaka zaidi ya 100

Mchungaji Gwajima acha kupotosha, huwezi sema Maalim Seif muda wake wa kuishi umetosha, binadamu anaweza kuishi miaka zaidi ya 100

Gwajima alikuwa sahihi. Kwa mujibu wa biblia binadamu kuishi ni miaka sabini.

Mtu unatakiwa kujiuliza swali hapa: Je,Maalim Seif angefariki tarehe ile kama Mungu hakupenda afariki?

Ajabu na wewe umehamia kwenye mipango badala ya kutoa hoja za maana.
Tafsiri mbovu ya biblia. Katika hiyo zaburi kuna jambo Musa alikuwa anajadili. Miaka ya uhai kwa binadamu ni 120. Someni biblia kwa usahihi.
Mungu anamkataza Shetani asiguse roho ya Ayubu. Bila katazo angeweza kuinyofoa. Mungu anajua kuwa huo uwezo anao. Soma maandiko!
 
Tafsiri mbovu ya biblia. Katika hiyo zaburi kuna jambo Musa alikuwa anajadili. Miaka ya uhai kwa binadamu ni 120. Someni biblia kwa usahihi.
Mungu anamkataza Shetani asiguse roho ya Ayubu. Bila katazo angeweza kuinyofoa. Mungu anajua kuwa huo uwezo anao. Soma maandiko!
Nilitaka kumjibu
Nashukuru umemjibu vyema!
 
Mwanzo 6:3
Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
 
Ni kweli muda wa Maalim kufariki ulikuwa umefika lakini ameshindwa kupresent hiyo hoja vizuri! Hakutumia hekima kulisema hilo.
Wakati watu bado wana machungu ya kuondokewa na Maalifu ulikuwa siyo muda wa kuhubiri hivyo.
Ndicho kinachoibua hasira ya watu ambao wanaona alipata Ubunge kwa njia ya wizi na kusahau jinsi Maalim alivyonyimwa Ushindi na Chama tawala kwa takribani kila uchaguzi ulipofanyika.
Hekima ni Muhimu katika kusema au kutenda!
 
Wewe kichaa akikunyanganya nguzo zako ukaanza kukimbizana nae sisi watazamaji tutadhani nyie wote ni vichaa....
 
Sasa hayo anayosema si kwa mujibu wa Kitabu anachokiamini yeye....asilazimishe kila Mtu aamini Kitabu cha imani yake.
 
Gwajima alikuwa sahihi. Kwa mujibu wa biblia binadamu kuishi ni miaka sabini.

Mtu unatakiwa kujiuliza swali hapa: Je,Maalim Seif angefariki tarehe ile kama Mungu hakupenda afariki?

Ajabu na wewe umehamia kwenye mipango badala ya kutoa hoja za maana.
Wewe ni mjinga tena usiyeelewa maana ya unachokisema, inaonekana ni mmoja wa wale aliyefufuliwa na Gwaji boy. Mungu amependa wewe punda ufariki lini? Acha uzoba, ukitaka kufariki hata kesho unaweza, uamuzi wa kufa au kutokufa unao wewe wala usimsingizie ujinga wako wa kupanga vifo kwa mwenyezi Mungu. Nenda kakae kwenye njia ya train ya kati inayotoka huko kwenu Mwanza uone kama hujafa?
Maalimu Seif hakupaswa kufa kwa umri ule aliokuwa nao na ugonjwa mwepesi kwa kutofuata tahadhari. Mungu amekupa akili za kujilinda ila ukileta akili zako za kipunda punda...Utaondoka kabla ya muda wako.
 
Nimesikiliza clip ya Mchungaji Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima akijaribu kuhalalisha kifo cha makamu wa pili wa rais wa Zanzibar kuwa ameshafika miaka 70 hivyo hata akifa ni sawa kwa sababu binadamu tuliumbwa kuishi miaka 70.

Naomba nimfahamishe huyo Gwajima ambaye binafsi siamini kama ni mchungaji kweli kutokana na matendo yake mabovu kwenye jamii na pia wizi wake wa kura uliompa ubunge feki, kuwa umri wa kuishi watu si miaka 70 tu, kwenye nchi zilizoendelea wastani wa kuishi ni miaka 84 au zaidi lakini kuna watu wakitunzwa vizuri wanafika miaka 100 kama alivyofikia babu yangu na bibi yangu miaka 96.

Gwajima huyu feki aliyedai anafufua wafu na asiyejua hata maana ya Covid-19, anasema ni Corona virus december 2019 ndiye anayetupangia nani afe au asife au anayeshabikia watu kufa wakiwa na umri wa miaka 70?

Ni aibu sana kwa huyo Gwajima aliyesambaza makaratasi kuwa watu wawamalize wanaompinga Magufuli na kutaka kueneza USUKUMA, it is shame to have this kind of imbecile church leader.

Scandal yake ya vijambo alivyofanya bado ipo mbichi anataka kuipotezea kwa kurukia rukia vitu vingine visivyomhusu.

Ushauri ahangaike na kanisa lake, hatuwezi kupangiwa miaka ya kuishi na huyo Gwajima, awe basi angalau na uwezo wa kufikiri sawasawa aache mihemuko, yeye anatukataza kuvaa masks ni nani nchi hii? Anawakataza waumini wake kuvaa masks je anajua athari za kutokuvaa masks?
Wasukuma wanajitahidi kwa kila hali kulinda upumbavu wa Meko.
 
Back
Top Bottom