Unajua Mphamvu, ni kwa vile hatujawahi kuonana. Siku tukibahatika kukutana, utashangaa kwa nini bado niko hapa naandika na kuandika. Siku hiyo mmoja watu ataabika!. Mimi ni kibabu na wala siwezi kushusha umri.
Binafsi, sijawahi kumwona wala sijawahi kusali kwenye kanisa la Gwajima.
Tatizo angu huwa sina ushabiki kwa sababu katika uzzee huu, sioni sababu ya ushabiki tena. Ninajitahidi kufanya right things.
Hivi unaamini kwamba kwa mkakati huu, wa kushambuliana, kudhalilishana, kuvuana nguo hadharani ndio kuimarisha ndoa?
Unafahamu tofauti ya kuoana na kuishi pamoja kwa mapenzi na kule kuishi pamoja kwa ajili ya sympathy, gratitude, social and community pressure and obligations ama economic insecurities?
Elewa kijana.