Mchungaji Gwajima amejibu tuhuma za mume wa Flora Mbasha?

Mchungaji Gwajima amejibu tuhuma za mume wa Flora Mbasha?


ndio shida ya kukimbilia wachungaji
wanaoibuka hovyo'mbasha anaumia aisee
ila amuachie mungu tu,kisasi cha mungu ni cha haki

Baadhi wanahakikisha wanawachunga kondoo wao kisawasawa kwa kuwakaribisha kando yao wapate malisho mazuri zaidi.
 
Kunyamaza pia neno,huyo Mbasha angenyamaza akamuachia Mungu...........

Anahaki ya kulinda na kutetea kilicho chake kwa njia yoyote ile anayo ona inafaa pia anawajibu wa kutujuza kuhusu hawa matapeli.
 
Anahaki ya kulinda na kutetea kilicho chake kwa njia yoyote ile anayo ona inafaa pia anawajibu wa kutujuza kuhusu hawa matapeli.
Sijasema hana haki,nimesema kunyamaza pia neno,atasema watabishana halafu what is next?
 
Ogopa kuchapiwa na mwenye pesa wewe...utabaki unalia tu...by the way Mbasha yuo sahihi...kuliko kufia jela kimya kimya ni bora amesema......Hawa wachungaji sijui rwakatare,Mzee wa Upako,Gwajima na wengine wote ni wasanii tu...ni wezi.....Sema Mungu aonaye sirini anajua vizuri
 
Ogopa kuchapiwa na mwenye pesa wewe...utabaki unalia tu...by the way Mbasha yuo sahihi...kuliko kufia jela kimya kimya ni bora amesema......Hawa wachungaji sijui rwakatare,Mzee wa Upako,Gwajima na wengine wote ni wasanii tu...ni wezi.....Sema Mungu aonaye sirini anajua vizuri

Tujuavyo dhahiri panya hana uwezo wa kumfunga paka kengele.
 
Yaani Gwajima bado anambinua miguu juu kifo cha mende mbuzi kagoma kimbiza farasi blowjob hujafa hujabika, shika ukuta leta ulimi, kiumbwa mbwa, geuka huku nigeuke kule, kichwa chiniii ma.ka.lio juuuuu...natwanga ww pepeta, naruka ukuta ww tia mafuta, nakula kila kitu ww scream, napiga mzinga ziba masikio, naenda uvinza sirudi, tigo xpress urself, ikalie jipimie, kokomoa style, mande style, nakugaragaza leo,
Bbw deep, katerero intro, big buti vibao...

Anampiga zote hizooo...dhambi sasa...!!
 
Sijui ni tamaduni zinamtesa huyu Emma au hawezi kusimama kiuchumi bila flora a? ??? Hivi kwa dunia ya leo umeprove mkeo kalalwa mara kibao na malaya maarufu alafu bado unamlilia? ? When one door closes God opens million doors for u. Anza upya maisha yako u are still young.......otherwise rejea ushauri wa mwanaFA.
 
Umekosea kidogo Mjukuu wangu. Mimi sija punic hata kidogo. Niko vizuri sana kwa hilo. Ungepatia sana kama ungesema nimekasirika.

Kweli wananiudhi sana. Wanaendesha hili suala kama vile hawajawahi kumjua Mungu, lakini pia hawana malezi ya familia? Hata kama kwa sababu yoyote hawakupata malezi bora ya familia, hata kujiunza kwa wenye hekima hakuna? Kama wanakotoka wenye hekima hawapo, siku hizi kuna professional washauri. Wangetafuta hata huyo angewapa mkakati mzuri sana wa kushughulika na hili suala na lingeleta tija kwa wote kuliko uhuni na ujinga wanaoundeleza hapa.

Uliona wapi ndoa ikajengwa kwa matusi na marumbano?

Tangu lini kudhalilishana kulitengeneza mahusiano bora?

Emma anachukua wapambe wahuni wajinga wajinga ndio wanakaa wanamuanika gazetini anadhani ataonekana mshindi kumbe anajididimiza. Hekima Halii?

Narudia tena, tatizo la hawa watoto halikuanza mnavyotaka kulipeleka.

Na chanzo chake si pesa nyingi, gwajima wala admirer mwingine yeyote wa yeyote kati yao.

Huku wanakotaka mushinde mnadharirishana, mnamtumikia shetani na mwisho wake mtahukumiwa tu. Jifunzeni maarifa mtashinda.

Mkuu Candid Scope, naona Tabby amepaniki, ingawa kistaarabu sana! Eti Gwajima ana akili kuu...
 
Umekosea kidogo Mjukuu wangu. Mimi sija punic hata kidogo. Niko vizuri sana kwa hilo. Ungepatia sana kama ungesema nimekasirika.

Kweli wananiudhi sana. Wanaendesha hili suala kama vile hawajawahi kumjua Mungu, lakini pia hawana malezi ya familia? Hata kama kwa sababu yoyote hawakupata malezi bora ya familia, hata kujiunza kwa wenye hekima hakuna? Kama wanakotoka wenye hekima hawapo, siku hizi kuna professional washauri. Wangetafuta hata huyo angewapa mkakati mzuri sana wa kushughulika na hili suala na lingeleta tija kwa wote kuliko uhuni na ujinga wanaoundeleza hapa.

Uliona wapi ndoa ikajengwa kwa matusi na marumbano?

Tangu lini kudhalilishana kulitengeneza mahusiano bora?

Emma anachukua wapambe wahuni wajinga wajinga ndio wanakaa wanamuanika gazetini anadhani ataonekana mshindi kumbe anajididimiza. Hekima Halii?

Narudia tena, tatizo la hawa watoto halikuanza mnavyotaka kulipeleka.

Na chanzo chake si pesa nyingi, gwajima wala admirer mwingine yeyote wa yeyote kati yao.

Huku wanakotaka mushinde mnadharirishana, mnamtumikia shetani na mwisho wake mtahukumiwa tu. Jifunzeni maarifa mtashinda.

Sidhani kama unafika umri wa kuwa babu yangu, angekuwa hai leo anhekuwa na miaka 140 hivi, kanusha usemi.

Napenda navyojiamini, napenda mwandiko wako na napenda mtiririko wako wa mawazo. Huyu mtoa mada si mpambe kama ambavyo wewe umeaminishwa na walio juu yako (ambao msimamo wao ndio sheria). Ni mtu mwenye mawazo huru ambaye pengine ameona umuhimu wa jambo analolisisitiza. Kupanga kwako hoja hakuondoi ukweli kuwa nawe ni mpambe wa upande wa Mchunga Kondoo, a.k.a Baba kama ambavyo nyie humwita.

Najua hisia ulizonazo juu ya wanaoitwa 'watu wa Mungu' (kimsingi wote ni watu wa Mungu) lakini hili haliondoi ukweli kuwa hata hawa wanaweza kuwa wahuni, wadhulumu, wauza unga na wagoni bila kujali wewe unadhani ana ukaribu kiasi gani na Mungu.

Tujikite kwenye hoja, kwanini kaka mkubwa mwenye kondoo wa kutosha hajaona umuhimu wa kututoa tongotongo, hasa sisi ambao tunamuona kuwa mtu wa kawaida ambae ameona fursa kwa jina la Mungu.
 
Unajua Mphamvu, ni kwa vile hatujawahi kuonana. Siku tukibahatika kukutana, utashangaa kwa nini bado niko hapa naandika na kuandika. Siku hiyo mmoja watu ataabika!. Mimi ni kibabu na wala siwezi kushusha umri.

Binafsi, sijawahi kumwona wala sijawahi kusali kwenye kanisa la Gwajima.

Tatizo angu huwa sina ushabiki kwa sababu katika uzzee huu, sioni sababu ya ushabiki tena. Ninajitahidi kufanya right things.

Hivi unaamini kwamba kwa mkakati huu, wa kushambuliana, kudhalilishana, kuvuana nguo hadharani ndio kuimarisha ndoa?

Unafahamu tofauti ya kuoana na kuishi pamoja kwa mapenzi na kule kuishi pamoja kwa ajili ya sympathy, gratitude, social and community pressure and obligations ama economic insecurities?

Elewa kijana.

Sidhani kama unafika umri wa kuwa babu yangu, angekuwa hai leo anhekuwa na miaka 140 hivi, kanusha usemi.

Napenda navyojiamini, napenda mwandiko wako na napenda mtiririko wako wa mawazo. Huyu mtoa mada si mpambe kama ambavyo wewe umeaminishwa na walio juu yako (ambao msimamo wao ndio sheria). Ni mtu mwenye mawazo huru ambaye pengine ameona umuhimu wa jambo analolisisitiza. Kupanga kwako hoja hakuondoi ukweli kuwa nawe ni mpambe wa upande wa Mchunga Kondoo, a.k.a Baba kama ambavyo nyie humwita.

Najua hisia ulizonazo juu ya wanaoitwa 'watu wa Mungu' (kimsingi wote ni watu wa Mungu) lakini hili haliondoi ukweli kuwa hata hawa wanaweza kuwa wahuni, wadhulumu, wauza unga na wagoni bila kujali wewe unadhani ana ukaribu kiasi gani na Mungu.

Tujikite kwenye hoja, kwanini kaka mkubwa mwenye kondoo wa kutosha hajaona umuhimu wa kututoa tongotongo, hasa sisi ambao tunamuona kuwa mtu wa kawaida ambae ameona fursa kwa jina la Mungu.
 
Unajua Mphamvu, ni kwa vile hatujawahi kuonana. Siku tukibahatika kukutana, utashangaa kwa nini bado niko hapa naandika na kuandika. Siku hiyo mmoja watu ataabika!. Mimi ni kibabu na wala siwezi kushusha umri.

Binafsi, sijawahi kumwona wala sijawahi kusali kwenye kanisa la Gwajima.

Tatizo angu huwa sina ushabiki kwa sababu katika uzzee huu, sioni sababu ya ushabiki tena. Ninajitahidi kufanya right things.

Hivi unaamini kwamba kwa mkakati huu, wa kushambuliana, kudhalilishana, kuvuana nguo hadharani ndio kuimarisha ndoa?

Unafahamu tofauti ya kuoana na kuishi pamoja kwa mapenzi na kule kuishi pamoja kwa ajili ya sympathy, gratitude, social and community pressure and obligations ama economic insecurities?

Elewa kijana.

Wewe ni kibabu, lakini huwezi kuwa babu yangu. Amini hivyo, kinachokufanya ushikilie msimamo wako ni kwa vile tu hatujawahi kuonana (ha ha ha)!

Ukifuatilia vema lile sakata ni nguvu ya fedha dhidi ya haki, mnyonge hupambana, kutumia namna yoyote anayoweza ili aonekane anafurukuta, ni hali ya kawaida hiyo.

Michango yako kwenye huu uzi hauna tofauti na wale wa kambi ile. Kama nimekosea nisamehe, na kama unajua kuwa ni mmoja wao ila unajichetua, aibu iwe kwako.
 
Uasherati usitajwe kwenu. Hii ina maana siyo kwamba tu usiwe mwasherati bali unatakiwa huishi maisha ambayo wanaokutazama wanaweza kuhisi jambo. Je, tunaosema.tumeokoka.tunaishi kweli maisha ambayo wanaotutazama hawana shaka na sisi? Tafakari! Mungu hadhihakiwi na wala hakuna.siri kwake.
 
Eti Mchungaji! Kila kukicha wewe na akina mama tu! sasa tena ndo porno!
 
Back
Top Bottom