Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Hajasema ana matokeo, amesema ana vyeti mezani kwake, hivi kweli kuna cheti cha divisheni 0 ya miaka hiyo?.

Paskali
Paskali kwa ulichokiandika hapa unastahili kukamatwa "kwa kuivua nguo serikali". Kama alivyosema Gwajima kuwa atashangaa Ndalichako na JPM wasipochukua hatua dhidi ya Bashite, mimi pia nitashangaa iwapo hadi kesho muda huu utakuwa hujaswekwa mahabusu kwa kutumia akili nyingi kuivua nguo serikali!
 
Mtoa mada umeshindwa kuficha hisia zako. Ulichofanya hapa, ni certified butt kissing. Gwajima ametoa tuhuma nzito akidai ana ushahidi, mtoa mada unatuambia kuwa anadanganya ilhali pia hujatoa ushahidi, just some theories. It's his words against yours. Mtoa mada ungekuwa makini, ungeshauri Gwajima apelekwe kwenye vyombo husika na atoe ushahidi wa tuhuma alizotoa, na kama uongo basi awajibike. Mpaka sasa, sio Magufuli wala Bashite/Makonda aliyechukua hatua kutokana na tuhuma za Gwajima, pengine wana sababu za kukaa kimya.

Kuhusu Gwajima kusema yeye ni zaidi ya rais, inawezekana hayuko sawa ila sio uongo bali suala la mtazamo. Ametoa kauli hizo mbele ya kondoo wake, so pengine katika imani na mafunzo yao, uongozi wa kidini una nafasi na hadhi kubwa kushinda uongozi wa kidunia.
 
Nyuma yake kuna waislam na wakristo wa Tanzania wasiopenda mambo ya kijinga.
 
Kukaa kwake kimya yawezekana yuko kwenye harakati yakutengeneza hvyo vyeti.kila kitu kinawezekana chini ya ccm,hadi maiti wanapigaga kura.
 
Fakalava, asante sana.......Kuhubiri neno ni pamoja na kukemea Maovu.
Gwajima hajakosea kukemea maovu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…