Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Hata kipindi cha Yesu, kulikuwepo na raia kama wewe walioona ni bora aachiwe Baraba aliyekuwa nyanganyi, ili Yesu afungwe vile alionekana na kuthubutu kuusema ufalme wa Herode.
 
Ukweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
Mungu WA kweli kwako ni Daudi na JPM tu !
 
Mi mwenyewe nilikuwa namtazamo kama wako but nilivyoona kimya nikaanza kuamini kuwa alichozungumza gwajima dhidi ya elimu ya makonda ni kweli

Engekuwa kazushiwa ata magu anavyompenda mwanae angeingilia na mchungaji angejuta
Kukaa kimya ni ushahidi wa kuthibitisha jambo?
 
Hivi mnaonaga ndani Ni kaburini, ndani Ni sehemu ya kawaida Tu, by the way mbona Makonda alipomchafua Gwajima hukusema awekwe ndani? Au Gwajima sio binadamu Makonda ndio binadamu?
 
Asipoweka itakuwaje?
 
Awekwe ndani bila ushahidi?
 
hahahahahaha yeye alivyowachafua wengine alikuwa juu ya sheria ipi? dawa ni kumshtaki makonder ili hawa majamaa wanaodhalilisha watu akili ziwakae sawa

alitumia sheria gani kumdhalilisha huyu gwajima?
 
Mkuu vipi ?
Gwajima ni kambi ya Lowasa na wewe mi kambi ya Lowasa
 
Kumkamata sio suluhisho muhimu vyeti vionyeshwe mambo yaishe.Mbona yy alichafuliwa kuwa anajihusisha na madawa.Acheni kutetea upuuzi vilaza wa fa fa fa fa fa nyie
Vyeti vionyeshwe wapi?
 
Watu wa lumumba hawana hoja kabisa,wao muda wote wanaendekeza upinzani wa kisiasa tu,jamani twendeni kwenye haki tu,ni sawa kutumia jina la mtu au vyeti vya mtu mwingine kwa swala lolote lile?? wanasheria nisaidieni kunifahamisha swala hili, pia ikumbukwe kuwa aliidanganya mahakama kuwa yeye anaitw paul makonda na si bashite ili kuhalalisha vile vyeti kuwa vyake kumbe ni uongo. Watu wa sheria tusaidieni kutoa ufafanuzi wa jambo hili,japokuwa yeye anasema issue ni ukuu wa mkoa hiyo siyo issue,tunataka uhalalai wa vyeti vyake jamani,je majina anayotumia ni ya kwake?? Acheni uvyama humu muje na hoja watu waelewe tu. Fikiria ungekuw wewe ndo umefanya hivyo ungekuwa wapi sasa hivi?? halafu mnaleta ushabiki wa kushabikia mtu anatumia vyeti visivyo vyake wakati yeye anajulikana kwa jina jingine tangu aanze shule ya msingi anafika vyuoni jina jingine,ni katika utafutaji sawa lakini fuata njia sahihi za utafutaji,waty wamekimbia kazi zao kwenye uhakiki issue ni hizihizi za kutumia vyeti ambavyo si vyao iweje wengine wawe na haki ya kutumia vyeti si vyao??????? Nawashaurini tuache uvyama tuangalie haki iko wapi kwenye hili swala wanasheria njooni na majibu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…