denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Sasa naanza kukuelewa, kumbe tatizo ni utajiri wake. Kwahiyo mnatamani aishi kama shetani. Ujue siku RAIS anatamka hii kauli nilijiuliza mambo mengi sana.
- Ni mchungaji feki, mfanyabiashara kupitia kanisa, huyu kalelewa vibaya, sasa ni wakati mwafaka kwa serikali kumtolea uvivu, haiwezekani mchungaji anakuwa vocal kiasi hiki kwa kiongozi wa serikali, noooo, nooo
Kwamba masikini wote tanzania hii ni sawa na mashetani?
Je ni vizuri raia wakaishi kama mashetani?
Gwajima anasema, Polisi walimuuliza hizi pesa zote umezitoa wapi? Una kumbukumbu alichowajibu?