Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kati ya member wote wa jamiiforum wewe ndiye unajiona kuwa na akili sana kuliko sisi? Ni wapi ilikoandikwa kuwa raia WA kawaida haruhusiwi kuhoji udanganyifu wa vyeti vya kiongozi.Salaam humu, nina hasira sana na Gwajima...
Laiti, mm ningekuwa RC Makonda, saa hizi Gwajima angekuwa maabusu and behind unknown bars..
Serikali, kamateni huyu mchungaji feki, mmemlea sana, kaota mapembe, akijua yuko juu ya state.. Iweje Gwajima, anamchafua Mkuu wa Mkoa, Makonda kwa kiwango hiki, na asikamatwe? With immediate action, kamateni mhuni mchungaji feki, iwe funzo la milele..
HATUWEZI kuwa na mchungaji mhuni mhuni kuchafua viongozi wa serikali kutumia kanisa lake . I wish ningekuwa RC Makonda, sitanii, Gwajima ungejuta, kamata huyu mhuni haraka.. Aaaaarrghh
Haiwezekaniki mchungaji feki huyo kumchafua RC kiasi hiki, no way, no how, not acceptable, lazima lazima heshima iwepo kwa viongozi wa serikali ikibidi kwa lazima, Who is Gwajima? Mandate ya kuchafua kiongozi wa serikali anapata wapi? I was offline for 2 weeks, namuona Gwajima anaachiwa kucheza hovyo, piga ndani huyu mhuni mkubwa, ww Gwajima ww, jua wazi hauko juu ya serikali, na serikali inakujua ww kuliko unavyojijua, acha ujinga mara moja.. Aaaarrghh
Yaani umevifakamia viroba vinavyotupwa sasa unaanza kuhoroja mitandaoni
gwajima ana dalili zote za matatizo ya akili kama vile mvuta bangi. anajiona ana utukufu na ukuu ambao hana. mtu kama huyo mwenye uwezo wa kuwabrain wash watu ili wategemee miujiza ni hatari. iko siku ataleta maafa kama hatua hazichukuliwi haraka. ukifuatilia kazi yake kama mtumishi wa kiroho utaona hamna kitu. zaidi ni ukuwadi wa kisiasa ukuwadi kwa mafisadi. kuhorojoka tu kujidai kujisifu na kuwadharau viongozi wa nchi. please please tuondosheeni gwajima. eti sasa anajiita bishop dr. gwajima. kikanisa chenyewe ni kama kampuni yake halafu anajipa tittles zenye kuheshimiwa na jamii. hivi hili tapeli mtatuondoshea lini.Salaam humu, nina hasira sana na Gwajima...
Laiti, mm ningekuwa RC Makonda, saa hizi Gwajima angekuwa maabusu and behind unknown bars..
Serikali, kamateni huyu mchungaji feki, mmemlea sana, kaota mapembe, akijua yuko juu ya state.. Iweje Gwajima, anamchafua Mkuu wa Mkoa, Makonda kwa kiwango hiki, na asikamatwe? With immediate action, kamateni mhuni mchungaji feki, iwe funzo la milele..
HATUWEZI kuwa na mchungaji mhuni mhuni kuchafua viongozi wa serikali kutumia kanisa lake . I wish ningekuwa RC Makonda, sitanii, Gwajima ungejuta, kamata huyu mhuni haraka.. Aaaaarrghh
Haiwezekaniki mchungaji feki huyo kumchafua RC kiasi hiki, no way, no how, not acceptable, lazima lazima heshima iwepo kwa viongozi wa serikali ikibidi kwa lazima, Who is Gwajima? Mandate ya kuchafua kiongozi wa serikali anapata wapi? I was offline for 2 weeks, namuona Gwajima anaachiwa kucheza hovyo, piga ndani huyu mhuni mkubwa, ww Gwajima ww, jua wazi hauko juu ya serikali, na serikali inakujua ww kuliko unavyojijua, acha ujinga mara moja.. Aaaarrghh
Yaani umevifakamia viroba vinavyotupwa sasa unaanza kuhoroja mitandaoni
Vyeti gani?Makonda aonyeshe vyeti vyake ili kukata mzizi wa fitina.
Hahaaaahaaaaa vijana wa Daudi kazi mnayoSalaam humu, nina hasira sana na Gwajima...
Laiti, mm ningekuwa RC Makonda, saa hizi Gwajima angekuwa maabusu and behind unknown bars..
Serikali, kamateni huyu mchungaji feki, mmemlea sana, kaota mapembe, akijua yuko juu ya state.. Iweje Gwajima, anamchafua Mkuu wa Mkoa, Makonda kwa kiwango hiki, na asikamatwe? With immediate action, kamateni mhuni mchungaji feki, iwe funzo la milele..
HATUWEZI kuwa na mchungaji mhuni mhuni kuchafua viongozi wa serikali kutumia kanisa lake . I wish ningekuwa RC Makonda, sitanii, Gwajima ungejuta, kamata huyu mhuni haraka.. Aaaaarrghh
Haiwezekaniki mchungaji feki huyo kumchafua RC kiasi hiki, no way, no how, not acceptable, lazima lazima heshima iwepo kwa viongozi wa serikali ikibidi kwa lazima, Who is Gwajima? Mandate ya kuchafua kiongozi wa serikali anapata wapi? I was offline for 2 weeks, namuona Gwajima anaachiwa kucheza hovyo, piga ndani huyu mhuni mkubwa, ww Gwajima ww, jua wazi hauko juu ya serikali, na serikali inakujua ww kuliko unavyojijua, acha ujinga mara moja.. Aaaarrghh
Bashite akanushe. Wacha maneno onyesha vyetiUkweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
ukweli ni upi? mimi jumapili naenda kuabuUkweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
ni mtumishi wa familia yake .....................Tatzo Gwajima nae anajisahau sana....Up to this moment ameishajiona kakaa juu ya IKULU....ni suala la MUDA.....maana this guy si MTUMISHI wa MUNGU KABSA......ana mengi machafu TU sema wakati mwingne busara ni jambo la MSINGI sana..na ndicho tunachikiona kwa sasa kupitia hii SERIKALI juu ya GWAJIMA