Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mi mwenyewe nilikuwa namtazamo kama wako but nilivyoona kimya nikaanza kuamini kuwa alichozungumza gwajima dhidi ya elimu ya makonda ni kweli

Engekuwa kazushiwa ata magu anavyompenda mwanae angeingilia na mchungaji angejuta
Kumbe uongo kwa akili yako ya kitoto
 
Hahaaaa,kaanzisha mwenyewe timbwili kwa kisebusebu chake.Jumapili ubungooooo,mzee anadownload material mapyaaaaaaa
 
Ila sijui kwanini mnasahau PHD feki ya Gwajima! Aliyopewa Hotelini pale Ubungo Plaza?
Hata Ile ya "maganda ya korosho" andiko lake halijaonekana mpaka leo. Na bado tunamuita Dr.
 
Ila sijui kwanini mnasahau PHD feki ya Gwajima! Aliyopewa Hotelini pale Ubungo Plaza?
Ile sio phd ya academic, ni honourable . Phd ya aina ile hupewa kama award kwa kufanya mambo fulani fulani ambayo ni msaada kwa jamii na sio kama unavyofikiri ya kuingia class.

Sasa bashite alete vyeti
 
Weka machafu yake... Usimnyooshee kidole mpakwa mafuta wa Bwana
 
  • Ni mchungaji feki, mfanyabiashara kupitia kanisa, huyu kalelewa vibaya, sasa ni wakati mwafaka kwa serikali kumtolea uvivu, haiwezekani mchungaji anakuwa vocal kiasi hiki kwa kiongozi wa serikali, noooo, nooo
  • Ukweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
 
Ukweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
Uongo gani bidada ulioenezwa na mwananzengo Gwajei?
 
mpaka sasa sijaona kosa la kufanya Gwajima akamatwe kwakweli maana kama vyeti au CV ya bwana Daudi kama inauongo mwenyewe aje atoe ufafanuz mbona jambo rahis sana hata Mh Zitto ashawah pewa hyo kwe Kampeni na akatoa vyeti vyake WHY DAUDI TOOK HIM SO LONG TO PROVE????????????
 
Wakati wanamkata wahakikishe vyeti vya mtajwa vnaonyeshwa ili wawe na uhalali wa kumkamata
 
Ile sio phd ya academic, ni honourable ewe kilaza mbobezi. Phd ya aina ile hupewa kama award kwa kufanya mambo fulani fulani ambayo ni msaada kwa jamii na sio kama unavyofikiri ya kuingia class.

Sasa bashite alete vyeti
Ubaya zaidi wa Huo ufeki ni kwamba hata chuo kilichompa hiyo feki ni feki!
 
Wewe unafikiri angekuwa kadanganya wangemuacha, acha kutetea uozo ebu mwambie aliyeitwa Bashite athibitishe kuwa amesingiziwa
Gwajima ni muhimu sana kwa waislam na wakristo kuliko yule sheikh wako wa mkoa wa DSM....kwa taarifa yako ukimuona sheikh kawekwa ndani ujue huyo ni sheikh anaesupport democracy....hutosikia hata siku moja masheikh wa BAKWATA wamewekwa ndani coz karibia wote ni mali ya CCM.
Angekuwa sheikh huyo sa hizi yupo selo na tumeshamsahau
 
Machafu yapi..... Pale alisema historia ya Makonda na hajasema neno la uongo kama ni fa fa fa fa fa fa fa fa kwel c alipata, sasa Gwajima kakosea wap tuache ushabiki wa kitoto
 
Hata Ile ya "maganda ya korosho" andiko lake halijaonekana mpaka leo. Na bado tunamuita Dr.
Nenda UDSM kaulizie; Hii ya Gwajima ni fake from the fake fakes! Kibaya zaidi ni mtu wa Mungu kuendelea kujiita DR. Wakati Taasisi iliyompa hiyo " Honorary PHD" Haitambuliki popote! Mamlaka zote za Afrika Kusini Haziitambui hiyo Taasisi Feki.
 
Swala la muda, tuuu huyu Gwajima pale Ubungo tutamtimua akafanye ibada zake nyumbani kwake, maana anataka kusumbua vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…