Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Lazima heshima iwepo kwa viongozi wa serikali vipi kuhusu viongozi wa dini wao hawastahili heshima


Dini ya kishetani ya Gwajima? He is fake pastor, and he earns monies thru uchawi tu, jizi sana hili, this time on, lazima ajute mhuni huyu, kavunja ndoa ya Emanuel Mbasha na Flora Mbasha, sbb alikuwa mchungaji feki huyu ana fanya ngono, huyu akajidai atamfufua Amina Chifupa, jizi sana hili...

Ni kumfungia kanisa feki akome kabisa.. aaaarrghh
 
Sawa mama Bashite tumekusikia
 
Njaaa zako zitakuuuaa...bashite alete vyeti hicho tu... Akuanzae mmalize tulifundishwa hivyo..bashite alisema mwenzie anauza dawa...mwenzie kajibu bashite kanunua vyeti....bashite kasepa no vyeti no nn..
Big up askofu
Huyo siyo askofu bro trust me. Alipewa na nani kwani. Alijipachika mwenyewe kama ambavyo na wewe unaweza kujiita askofu kuanzia leo
 
Huyu mchungaji ni mnafiki na mchonganishi hatofanikiwa ila kwa wajinga wenzie tu hana maana katika jamii kiongozi unakua na element za umbea umbea
 
Kumuweka ndani sio wazo zuri, ni kuonyesha uoga.

Njia nzuri na ya KIUME kumjibu mtu anayekuita mchovu, umefulia, omba omba n.k ni siku moja unapaki JAGUAR LAND ROVER mpya miguuni kwake, unashusha kioo, unamsalimia, unampatia kopi ya kadi ya gari, unapandisha kioo unaondoka.

Akiendelea kupayuka basi unaachana naye tu kwani sasa utakuwa unashindana na Mgonjwa.
 
Mkuu acha hasira za kipumbavu,huwezi kuongoza watu huku ukiwa na hasira na Watu unaowaongoza,Gwajima anataka kuthibitisha kuwa mkuu wa mkoa amefoji vyeti kwa kuonyesha ushahidi wa wazi,Na makonda athibitishe kuwa Gwajima anatumia au anauza Madawa kwa wazi,Tuache siasa za maji taka.
 
Ukweli ni kwamba Gwajima anaweza kuwa sawa kwenye vidato vya chini. Makonda amesoma vyuo vyote mpaka chuo kikuu kwani unaweza kusema makonda hana elimu? Hata kama cheti cha fomu four si chake but jamaa kajitahidi kuparangana. Hii inaonyesha kuwa jamaa alikuwa na maono na malengo na maisha yake. Kwanza anahitaji kupongezwa kwa juhudi sake za kujiendeleza. Big up makonda.
Naomba mbadilishe kauli mseme hivi kwa mujibu wa Gwajima,, MAKONDA ANA JINA FEKI LAKINI SIYO ELIMU FEKI NA VYETI FEKI. ASANTENI
 
Nenda UDSM kaulizie; Hii ya Gwajima ni fake from the fake fakes! Kibaya zaidi ni mtu wa Mungu kuendelea kujiita DR. Wakati Taasisi iliyompa hiyo " Honorary PHD" Haitambuliki popote! Mamlaka zote za Afrika Kusini Haziitambui hiyo Taasisi Feki.


Mwambie Daudi Bashite aonyeshe cheti chake cha kuzaliwa na cha form four. Mnapishana sana viunga vya Lumumba hutopata shida kumpata.

Tuhuma hujibiwa sio kukaa kimya au kuanza kumsingizia Mungu... Mwambie Kabisa hatuna shida na dv ziro yake tunachotaka ni akanushe tuhuma za kujiendeleza kielimu kwa kutumia cheti cha mtu tena kwa evidence.

Haya haya ya sijui PhD feki ya Gwajima wala hayana mashiko ile ni PhD ya hesima tu.
 
Mukitenda kwa haki haya yote yasingejitokeza,mkiacha haki mkafanya ya kwenu mambo yenu yote machafu yatawekwa hadharani.
 
Gwajima mpuuzi sana, naamini serikali imesikia, na itambana mapvmbv jinga hili
 
Umechambua hoja vizuri sana bwana mayalla ila najiuliza kwann utafiti wako umeegemea upandw mmoja?
Hoja ya upande mmoja imeeleweka kwa kueleza baadhi ya sababu lakini kwann upande wa pili umeleta hoja isiyokuwa na maelezo ya kutosha kama ilivyo iyo nyingine.??
Napata ukakasi hapo....
Unafanya hivyo kwa maslahi yapi Mayalla??
Lete ushahidi ya hiyo hoja yako sio kusisitiza na kutoa general information bila kuleta ufafanuzi wake..
 
Nadhani atajibu hii asikute naye alibashite, Pasco njoo huku ujibu hizi tuhuma
 
Imani na sheria ni vitu viwili tofauti sana. Kama yeye kwenye Imani yake anaamini ni cheo kikubwa zaidi ya urais why wewe uone kasema uongo? Mind you hajasema kikatiba yeye ni zaidi ya rais, but he meant is at peace with what is doing
 
Kuhusu mchungaji Gwajima kuwa au kutokuwa mtumishi wa Mungu kwangu Sina comment ila kuhusu mchungaji kuwa mkubwa kuliko raisi hilo lipo wazi na kwa sababu umetumia neno la Mungu kusimamia hoja yako kadhalika name nitakujibu kwa kutumia neno la Mungu, inategemea mtazamo wako mfano raisi huwekwa na wanadamu (huchaguliwa na watu)uchungaji ni wito (huitwa/huwekwa) Na MUNGU sasa hapa tukiangalia kwa mtazamo huo mchungaji ni mkubwa kuliko rais kutokana na mamlaka ilomuweka.Kuhusu kusamehe ni kweli imeandikwa samehe saba Mara sabini ila biblia inatupa wajibu wa kuonyana inapolazimu kulingana na mazingira Bwana wetu Yesu alipowakuta wafanyabiashara hekaluni aliwafukuza na kuwachapa na hata meza za biashara aliimwaga. Hapo Bwana Yesu angewasamehe na kuwaacha wangeendelea na biashara pale kitu ambacho hakikutakiwa. Hivyo mara zote tuelewe muktadha wa maandiko badala ya kuyatumia kujihesabia haki/au kujudge we go wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…