Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Gwajima mpuuzi sana, naamini serikali imesikia, na itambana mapvmbv jinga hili
Kabla haijapambana naye, wambambie mtuhumiwa atoe vyeti vyake halisi vyenye majina yake wakati anazaliwa.
 
Wakuu, ili kujua kama gwajimaaa ni nabii wa uwongo, mwambieni mheshimiwa RC atuonyeshe vyeti vyake original.

Kama vyeti vipo, basi gwajimaaa atakuwa nabii wa uwongo kabisaaa. Kinyume na hapo mhe. RC akombe msamaha kwa gwajimaa maana alisema chungu kinaendelea kupata moto.

Fita ni fita mura
 
Mkuu umeona jina Gwajima ktk andiko langu? Rudia kusoma then urudie kuandika pia
 
R RTT RTT rddee rdrryyredrrrrreddreeteerter
 
Hivi huyu Gwajima si ndio aliyemtukanaga Askofu mwenzie, wa kanisa katoliki 'Kardinali Pengo' wakati uleee au mwingine?

Maana kama ndio huyu huyu aliyetukana ile mitusi kwa askofu mwenzie, me simuamini kama ni mtumishi wa kweli aisee, Mungu na Yesu wa kwenye Biblia namjua, hafundishi anachofanya huyo Gwajima., yeye ni Upendo
 
Mwambieni kwanza gwajima akamwombe maamaha Mbasha kwa kuvunja ndoa yake
 
Hivi huyu Gwajima si ndio alivyoanza alianza na kusema anafufua misukule? Akatuaminisha kabisa kuna watu walikuwa anawarudisha waliokufa, hata Amina Chifupa akatuambia hajafa yeye atamrudisha?

Hivi aliishia wapi na ile kazi yake kufufua misukule? Na Amina Chifupa alimrudisha kweli au? Maana sikusikia tena
 
Kabla haijapambana naye, wambambie mtuhumiwa atoe vyeti vyake halisi vyenye majina yake wakati anazaliwa.
Tukikutuhumu wewe ni mwizi, sisi tuliokutuhumu ndio tunatakiwa kuthibitisha wewe ni mwizi, la sivyo tumekuchafulia jina.

Gwajima kasema amefoji cheti, yeye ndio athibitishe kwa kutuletea cheti feki na original tujihakikishie
 
Kama Mheshimiwa Edward Lowasa alivyokaa kimya?
 
Wewe Pasco ni mpagani na haujui Biblia wala huna Haki kuitangaza sheria ya BWANA kama ilivyoandikwa
16 Bali mtu asiye haki, Mungu amwambia,Una nini wewe kuitangaza sheria yangu,Na kuliweka agano langu kinywani mwako?
17 Maana wewe umechukia maonyo,Na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.
18 Ulipomwona mwivi ulikuwa radhi naye,Ukashirikiana na wazinzi.
19 Umekiachia kinywa chako kinene mabaya,Na ulimi wako watunga hila.
20 Umekaa na kumsengenya ndugu yako,Na mwana wa mama yako umemsingizia.
21 Ndivyo ulivyofanya, nami nikanyamaza;
Ukadhani ya kuwa Mimi ni kama wewe.Walakini nitakukemea;
Nitayapanga hayo mbele ya macho yako.
ZABURI 50:16-21

Unakumbuka Paskali Mayala siku ulijifanya mkristu na vimaandiko vyako kwa askofu Kakobe ukiandaa kipindi chenu cha Kitimoto ?
Video clip iko mitandaoni.
 
Sifa kuu ya nabii ya uongo ni kusema uongo au kinyume na Kweli ya maandiko ya Biblia.

HUNA SIFA YA KUMUHUKUMU ASKOFU GWAJIMA AU MTUMISHI YEYOTE WA MUNGU.

4 Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.
ROMANS 14:4

Kwa mfano,ni wapagani na Wakristu wengi kama wewe PASCO wana sifa ya kusema Uongo na kueneza pamoja na kutenda dhambi nyingine na kupoteza sifa ya kuhukumu wengine au kuonyesha kidole kimoja wakati vidole vingine vinamrudia na kuhukumu mwenyewe kwa ulevi, uzinzi,unafiki, nk.
 
Wewe Pasco mayalla kweli box tupu, hizo biblia uwa mnasoma nusu nusu, Yesu alimuita herode mbweha, Elia aliwachinja manabii wa bahari, Yesu alimwaga vitu vya mafarisayo sokoni, sio kila kitu unasamehe, utajikuta unasamehe shetani aliyevaa umbo la mwanadamu
 
Usijitoe ufahamu kama mtu anajua ametenda dhambi a naambiwa atubu hataki afanyweje? Unafahamu jinsi Yona alivyonibariki Ninawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…