Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

siku hizi mayala una hoja nyepesi sana.
vip unaonaje ukipumzika ili uweze kujifunza biblia.
HIVI YESU AKIKAA NDANI YAKO NA WEWE NDANI YAKE .
Kwahiyo unakuwa mkubwa kuliko raisi au mdogo????
KATIKA ULIMWENGU WA ROHO SISI NI WAFALME PAMOJA NA YESU.
NA YESU NDIYE ALPHA NA OMEGA .
UFUNUO 1:1-10
 
Mtumishi wa Mungu ni yule anayeona uovu na kuukemea si kupaka mafuta ya uongo.. Kemea uovu watu wapate kupona...

Elewa pia panapotoa moshi sana jua pana jambo. Kwa hiyo wenye mamlaka waliangalie hili nalo likae sawa isijeonekana kuna double standard katikavuongozi
 
Kumtumikia mungu ni jambo kubwa kuliko kitu chochote. Maandiko yanasema mtu akinitumikia Baba yangu atamuheshimu. Sasa kama unafikiri kuheshimiwa na Mungu ni jambo dogo jaribu ujinga.
 
Gwajima angejiekeleza kuhuburi injili kuliko kuingia vita binafsi na wanasiasa.

Kiburi cha pesa kinazidi kumjaa gwajima...
 
Hajasema ana matokeo, amesema ana vyeti mezani kwake, hivi kweli kuna cheti cha divisheni 0 ya miaka hiyo?.

Paskali
Mayalla, rais gani unaweza kumfananisha na mfalme suleman,rais gani unamfananisha na daud,petro,yohana,abel? Aliposema ni demotion hakukosea angalia petro alikuwa nani,daud alikuwa nani. Kutumia neno kiumbe hakukosea au sababu ni jamaa yako. Wanadamu wote ni viumbe. Mbona mnapenda kujitukuza sana?
 
Bwana Yesu mwenyewe alizibinua meza za wachuuzi hekaluni. Hakucheka na waovu...aliwaita majina mabaya....kizazi cha nyoka, wapumbavu n.k. Leo hii eti mtu anajiita mtumishi wa Mungu halafu anakuwa mnafiki kisa kuwapendeza watawala!
 
Hivi hili suala linautofauti gani na lile la mkurugenzi wa Itigi/Singida ndugu Luhende Pius George?! Mbona serikali ilikanusha nakumbuka hadi siku ya kuapishwa mkuu alisema waandishi wapige picha cheti cha huyu jamaa!

Hili suala mwisho wake ni mdogo sana! Kama unajiamini uko sawa na una vyeti sahii haijalishi umepata ngapi maana wote hatuwezi kuwa sawa darasani jitokeze na sema ukweli!

Kosa si ulipata daraja gani darasani kosa ni kama kwel unatumia cheti cha mtu! RC au mamlaka husiku wajitokeze kutolea ufafanuzi kama suala la mkurugenzi wa Itigi lilivyotolewa ufafanuzi maana na lenyewe lilianzia huku huku kwenye mitandao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…