KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,146
NI kweli kabisa,acha tuje tuwahukumu wakijichoma moto!!!Ndio maana Kibwetere alifanikiwa kuwachoma moto waumini wake yote sababu ya kufuata dini kindondocha. Hao wanaojipua na wafuasi wa Gwajima hawana tofauti.
unitag akikujibu mkuuKikubwa, hao waumin wake hawana athari zozote kwa jamii.Vipi kama wangekuwa wakijitoa muhanga, kujilipua,n.k?
Hoja yangu ni nikuu ya Gwajima mara tu baada ya kutoka sentro
Vyeti tupo watu wengi sana tutahoji maana haya ni ya kaisari mkuu
Matusi yako wapi? Ww ni mmoja wapo ya waumini wa huyu msanii Gwajima? Hivi kati ya hayo maaandishi niliyoandika na maneno ya Gwajima dhidi ya Pengo yapi matusi?Wewe unaonekana umevuta bangi au wewe ni mnywa viroba sasa vimekukolea unaanza kutusi watu.
Mimi namjua siku nyingi sana HATAKAGI ujinga ndiyo maana wengi hawamwelewi haraka huyo si kama unaowajua wewe
Jitambue Gwajima ni Askofu na Pengo ni Askofu sasa wanapokutana kwenye anga zao wewe unalalama nini???Matusi yako wapi? Ww ni mmoja wapo ya waumini wa huyu msanii Gwajima? Hivi kati ya hayo maaandishi niliyoandika na maneno ya Gwajima dhidi ya Pengo yapi matusi?
YouNDUGU PAUL S.S MADA YAKO ILI TAKIWA IWE HIVI:
Kama raia mwema naunga mkono Makonda athibitishe elimu yake na ikiwa amefoji sheria ichukue mkondo wake kama kawaida.
ZILIZO BAKI NI POROJO TU!!!.
Ni kweli paul,
Pia injili ya kusamehe si ya wachungaji pekee ni wanadamu wote na hasa kwa wanasiasa.
Jitambue Gwajima ni Askofu na Pengo ni Askofu sasa wanapokutana kwenye anga zao wewe unalalama nini???
Hata mimi naweza kuwa Askofu kwani Gwajima uaskofu alipewa na nani?Jitambue Gwajima ni Askofu na Pengo ni Askofu sasa wanapokutana kwenye anga zao wewe unalalama nini???
Onyesha kipimo chako chenye hizo takwimu..la sivyo utakuwa mpiga domo tu...yaani mbwabwajaji mno.Gwajima nitapeli wa neno la Mungu! Amekaa kimaslahi zaidi amedumaa kiroho mno..! Anaenenda kidunia zaidi kuliko kimungu.
Kivipi???
.....yaani mbwabwajaji mno.
Onyesha kipimo chako chenye hizo takwimu..la sivyo utakuwa mpiga domo tu...yaani mbwabwajaji mno.
Ni vizuri kama nawe waweza kuwa askofuHata mimi naweza kuwa Askofu kwani Gwajima uaskofu alipewa na nani?
Bro mshahara wa dhambi ni mauti.Muumba mwenyewe katoa angalizo kwamba ufanyapo dhambi tubu vinginevyo utakumbana na moto.Pia alitupatia utashi wa kujua mema na mabaya hivyo unapofanya dhambi unakuwa unatambua hivyo ni bora kutubu.zSasa basi mbona hatujaona sehemu yo yote kutubu kwa Rc kumtuhumu uongo mtumishi wa Mungu ili Mungu atoe msamaha?Nukuu ya Mtumishi Gwajima aliposema atafanya nini baada ya kuchafuliwa na issue ya drugs
"Wajinga hulipa kisasi
Wenye akili huachia
Walio na Mungu husamehe,
Mimi nina Mungu kwahiyo nasamehe"
Kinachoendelea kanisani kwa Gwajima haki hakisi hata nukta moja ya alichokisema
Watumishi kwa mujibu wa bibilia wanatufunza tusamehe saba mara sabini,
Sala ya Bwana inasema Mungu atusamehe kama tunavyo wasamehe waliotukosea
Gwajima aliwahi kumporomoshea matusi mazito askofu Pengo, lakini Pengo alijibu namsamehe na nitamuombea kwa Mungu
Katika ukristo vita yetu si ya kimwili bali kiroho, Gwajima anapigana vita ya kimwili sasa, goti pekee lilitosha kumuachia Mungu afanye mustakabali kwa alichofanya makonda kwa mtumishi
Gwajima amesamehe nini sasa? Kauli kali za kidunia dhidi ya mtu aliye mkosea hazi akisi maneno yake kama mtumishi, Mungu wetu hadhiakiwi wala hapiganiwi kwa nguvu na fitina za kidunia
Ni kupitia maombi, kuongea na Mungu direct na kumuachia Mungu kutenda kwa kadiri imfaayo
Mwisho kabisa nimalizie kwa kusema Hii haina uhusiano wowote na kumtetea Makonda dhidi ya kashfa ya kutumia vyeti vya kugushi.
Kama raia mwema naunga mkono Makonda athibitishe elimu yake na ikiwa amefoji sheria ichukue mkondo wake kama kawaida
Gwajima hana ethics za utumishi... anaongea tu ilimradi aonekane yumo..!!Nukuu ya Mtumishi Gwajima aliposema atafanya nini baada ya kuchafuliwa na issue ya drugs
"Wajinga hulipa kisasi
Wenye akili huachia
Walio na Mungu husamehe,
Mimi nina Mungu kwahiyo nasamehe"
Kinachoendelea kanisani kwa Gwajima haki hakisi hata nukta moja ya alichokisema
Watumishi kwa mujibu wa bibilia wanatufunza tusamehe saba mara sabini,
Sala ya Bwana inasema Mungu atusamehe kama tunavyo wasamehe waliotukosea
Gwajima aliwahi kumporomoshea matusi mazito askofu Pengo, lakini Pengo alijibu namsamehe na nitamuombea kwa Mungu
Katika ukristo vita yetu si ya kimwili bali kiroho, Gwajima anapigana vita ya kimwili sasa, goti pekee lilitosha kumuachia Mungu afanye mustakabali kwa alichofanya makonda kwa mtumishi
Gwajima amesamehe nini sasa? Kauli kali za kidunia dhidi ya mtu aliye mkosea hazi akisi maneno yake kama mtumishi, Mungu wetu hadhiakiwi wala hapiganiwi kwa nguvu na fitina za kidunia
Ni kupitia maombi, kuongea na Mungu direct na kumuachia Mungu kutenda kwa kadiri imfaayo
Mwisho kabisa nimalizie kwa kusema Hii haina uhusiano wowote na kumtetea Makonda dhidi ya kashfa ya kutumia vyeti vya kugushi.
Kama raia mwema naunga mkono Makonda athibitishe elimu yake na ikiwa amefoji sheria ichukue mkondo wake kama kawaida