Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

anamtumikia mungu yupi
 
Gwajima kavunjiwa heshima na lazima ajitetee kwa alivyoona yeye inafaa
 
Kweli yeye ni zaidi ya Rais katika madhabahu/familia yake, kama wewe ulivyo zaidi kwa mkeo/mmeo.
 
Huyu mchungaji ni ajenti wa IBILISI, na kila anaemuamini na kumfuata, ataishia MOTONI, mwenye masikio na asikie !
Dogo jifunze kua na akiba ya maneno...
Unaingilia kazi ya Mungu kuhusu nani aende peponi na nani aingie MOTONI.
We ni mkristo I hope hebu fanya kupitia
James 3:3-6
Proverbs 18:21
Soma kitabu chenu you'll learn a lot.
Ni kweli vitabu vimetuonya kuhusu manabii wa uongo...Lakini yatupasa kua makini unapo mtuhumu mtumishi wa neno la Mungu.
Simemi Gwajima ni mtumishi wa Mungu au sio.
Ninacho emphasize hapa ni bora ujitenge na kukashifu hawa watu maana hata vitabu vinasema hivyo rejea
Psalms 105:15
 
Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine.

Ukweli utabaki kuwa ukweli chuki na roho yake ya visasi si funzo kwa wakristu tunaofuata mafundisho ya Bwana YETU YESU KRISTU.
We nae ni wale wale tu
 
We nae ni wale wale tu
Wale wale wakina nani?

Kama wewe ni mpagani utaona sawa na kushabikia , kama wewe ni muislamu ni utashangila maneno yake huyu Gwajima , lakini kwa Mkristu aijuaye vema mafundisho ya Kristu Yesu ni dhahiri atapingana na baadhi ya maneno ya kichonganishi na ya kufitinisha anayoyatoa Huyu Mchungaji.
 
Kwanza niseme kuwa Gwajima hajawahi kumfufua mtu, na kama aliwahi kudai hivyo atakuwa muongo mkubwa.Gwajima hajawahi kumponya kilema na kama anadai hivyo ni muongo mkubwa.
Mwenye uthibitisho atoe humu. halafu nitakuja na ukweli.
 
Mkuu kumbe kuna baadhi ya mada upo shallow sana, jitahidi kujikita zaidi kwenye mada ambazo una uelewa mpana. Hii ya kumwita gwajima nabii wa uwongo umepotoka na utaishia kushusha heshima yako.

Unadai gwaji kamwita 'huyu kiumbe'. Kumbuka Yesu alimwambia petro "rudi nyuma shetani".. huyo ni Yesu anamuita Mtume petro shetani kwa wakati huo. Leo gwaji kasema huyu kiumbe unashangaa nini.

Pia, kumbuka Martin Luther King alikuwa Askofu na bado alipambana dhidi ya uonevu, manyanyasa na ubaguzi na alishinda. Askofu Desmond Tutu wa afrika kusini naye alikuwa mstari wa mbele kutetea haki za wanyonge.

Hakuna tatizo kwa gwajii kuumbua mtu mwenye cheti feki au anayetumia cheti cha mtu mwingine. angalia sasa anayoyafanya huyo Rc ya kuvamia wanahabari. Na bado unathubutu kumtetea. Ajabu sana.

Nakukumbusha, sio lazima uandike kila kitu. Dili na yale machache unayoyajua na kuyaweza. Ya kolomije waachie wengine.
 
Haiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana
Ni kiumbe ndio na wote sie ni viumbe! kumbe ni nani ndugu? tena likitumika makanisani ndo mahali pake, japo sina hakika kama lile la Gwajima ni kanisa! nahisi hao jamaa wanasali kwa Gwajima na sio kanisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…