Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Sina hakika kama unajua maana ya sadaka
 
Hata kukemea waovu katika jamii kama Bashite ni neno la Mungu pia!

Halafu ww wala sio muumini ni maamuma wa Bashite tuu!
 
Baba Askofu Gwajima usisahau kuvunja miamba jumapili ya wiki hii kama kawaida.Mungu yuko upande wako ndiyo maana amemuumbua shetani aliyekuwa akikuvizia.
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Toka BASHITE awajengee makao makuu, BAKWATA mnamuabudu kama vile ni Mungu.
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
mkuu hamia kwa mzee wa upako (aka mzee wa kilevi). Gwajima ni habari nyingine kabisa, mkuu.

kuna sukuma's 3 zinasumbua mtaani kwa sasa. wewe kama ni mndengereko kama mimi, tusubiri zamu yetu mkuu!
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Naomba untumie namba ya voda ya huyu mtumishi wa Bwana iliniweze kumtumia sadaka kwa M-pesa, plz!
 
Nafikiri wewe usije tu kimyakimya na wala usitoe sadaka. Tulio wengi tutaenda na tutatoa sadaka! Nakuhakikishia Jumapili ijayo tutakuwa wengi zaidi kuliko Jumapili iliyopita.

Halafu nina uhakika kama unatoa sadaka kubwa sana basi unatoa TZS 10,000/- ambayo si kitu kwa mtu anayemiliki Helicopter! You can as well die and go to hell, bado sisi tutakuwa church pale Ufufuo na Uzima tukiendelea na ibada while your a***ss is burning in hell!
Elfu kumi sasa ni ndogo?
 
Gwajima alitudanga kuwa kuanzia jumatatu ya jana angetoa dozi mfululizo, Nashangaa hatoi tena.

Namshauri rais wiki hii awaache watoe madogo yao, wiki ijao amsifie tena Makonda, tuone watakuja na lipi jipya.
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
JPM alisema jana jus watu wengi wanapenda umbea kuliko mambo ya maendeleo.Mshukuru Mungu kwa kujitambua.
 
Mi huwaga nashangaa watu wanaolalamika kuhusu sadaka. Kwani kuna mtu anakulamizisha kusimama kwenye kiti ulichokalia na kwenda mbele kutoa sadaka, kwani ukibaki kwenye kiti chako kuna mtu atakuuliza kwa nini huendi kutoa sadaka. Waacheni wanaotoa kwa moyo wakatoe. Kama vipi anzisha kanisa lako, na wasiwasi hata kanisani kwa Gwajima hujawahi kwenda.
 
Umetumwa wewe mmbea....? Jumapili iliypita alivyomaliza kumkemea bashite...sa saba kasoro ikaanza ibada ya neno kuwalisha kondoo wake chakula cha roho.
Umetumwa na lejingaz....le tumboz...kilazazzz!!!
 
Kumskiliza PhD anaesifu SHILAWADU huku akibugia kodi zetu umeona sawa sawa ila kumskiliza Mtumishi unaita Majungu. Bashite mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom