HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,204
Mbona mkemia hakuvikuta!?Gwajima anavuta bangi na madawa ya kulevya, nyie muangalieni tu akiongea na tabia yake, bangi bangi yani hana hekima ya Mungu, jamaa shetani sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mkemia hakuvikuta!?Gwajima anavuta bangi na madawa ya kulevya, nyie muangalieni tu akiongea na tabia yake, bangi bangi yani hana hekima ya Mungu, jamaa shetani sana
Sasa mbona Lowassa na Maalim Seif wanaulilia sana urais? Kwa nini wasiwe wachungaji?
Gwajima ni mjasiriadini hata waumini sijui wanaupeo gani wa masuala ya kiimani.Hizi dini watu wanatumia kama vichaka vya kufichia maovu yao.
NDUGU PAUL S.S MADA YAKO ILI TAKIWA IWE HIVI:
Kama raia mwema naunga mkono Makonda athibitishe elimu yake na ikiwa amefoji sheria ichukue mkondo wake kama kawaida.
ZILIZO BAKI NI POROJO TU!!!.
Ndio maana Kibwetere alifanikiwa kuwachoma moto waumini wake yote sababu ya kufuata dini kindondocha. Hao wanaojipua na wafuasi wa Gwajima hawana tofauti.Kikubwa, hao waumin wake hawana athari zozote kwa jamii.Vipi kama wangekuwa wakijitoa muhanga, kujilipua,n.k?
Kivipi???Gwajima ni mjasiriadini hata waumini sijui wanaupeo gani wa masuala ya kiimani.Hizi dini watu wanatumia kama vichaka vya kufichia maovu yao.
Kivipi???
Wewe unaonekana umevuta bangi au wewe ni mnywa viroba sasa vimekukolea unaanza kutusi watu.Ndio maana Kibwetere alifanikiwa kuwachoma moto waumini wake yote sababu ya kufuata dini kindondocha. Hao wanaojipua na wafuasi wa Gwajima hawana tofauti.
Mimi namjua siku nyingi sana HATAKAGI ujinga ndiyo maana wengi hawamwelewi haraka huyo si kama unaowajua weweGwajima ndio unamjua kwenye sakata hili tu mkuu