Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Wakuu
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!
Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii
Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!
Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!
Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?
Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!
Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii
Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!
Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!
Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?
Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!