Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Wasalaaaaaaaaaaam...!!!

Watanzania walio wengi naamini wanamfahamu Huyu Anae Jiita Mchungaji GWAJIMAZ Japo wengine hawamfahamu! Unaweza kuwa unamfahamu Gwajima kama Mchungaji lakini Tabia zake kiundani huwezi kuzifahamu....nitakupa japo kwa Ufupi kuhusu hilo na Kuweka Ushahidi kidogo ikiwezekana!

Sote tunaamini ya kuwa Mchungaji ni mtumishi wa Mungu anae fanya kazi Duniani badala ya Mungu yupo duniani kumsaidia Mungu kuwarudisha Kundini Kondoo walio potea! Maana maneno ya Mungu kwenye Agano jipya Yanasema....KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU AKAMTOA MWANA WAKE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIYE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE! baada ya Hapo Yesu aliondoka duniani akaacha wanafunzi wake waendelee kueneza injili ambao zao lao ndio Wachungaji wa sasa! Sasa katika wachungaji wamegawanyika kuna wachungaji kwelii na Wachungaji Wapiga hela!! Wachungaji wa kweli ni wale wanao fanya kazi katika mitaa au usharika Fulani! Na wachungaji wapiga pesa ni Wale wanao anzisha makanisa yao na wao wakiwa wakubwa wa Makanisa hayo mfano GWAJIMA!

Kama ulikuwa hujui ni kuwa mchungaji Gwajima Ni mtu Anae fikiria sana pesa kuliko Neno la Mungu....Ni mtu anae Fikiria sana Afanye nini Kuokoa Familia yake kimaisha kuliko Neno la Mungu! Pesa anazo pata Gwajima na Kuwezesha Maisha yake Kwenda Ni kwa kupitia Sadaka Za Waumini waliodanganyika kwa kivuli cha kuokoa watuu ili waende wakatoe sadaka za shukrani na sadaka za pekee yeye aweze kuendesha Familia! Kumbuka Maneno ya Mungu yanasema SIKU ZA MWISHO WATAJITOKEZA MANABII WENGI WAUNGO WAKIJIFANYA WAMETUMWA NA MUNGU! Unaeza ukahisi ni kama Uongo Lakini ukweli ndio huo kama Gwajima akiweza kudanganya watu 1000 wakaenda kanisani kwake na wakatoa elfu 10 kila mmoja unaweza piga hesabu kwa atakuwa ameingiza kiasi gani kwa siku moja bila kukatwa kodi wala nini!

Gwajima Baada ya kuona Makanisa kwa sasa yamekuwa mengi na watanzania wanazidi Kuelemika na kufunguka Ndipo Gwajima Akaamua kujiingiza kwenye mambo,ambayo Atawavutia waumini wengi zaidi..Mambo hayo ni pamoja Na kujiingiza kwenye SIASA,UMBEA WA KUSEMANA....na kuigizaa Kuwaaminisha watu kuwa yeye ni muokoaji na Mtoa Mapepo kumbe sio!! Kama utakumbuka Alianza na Bunge la Katiba Akamtukana Sana PENGO na akamlaani....ili tuu afurahishe watu watoe sadaka Nyingii lakini MUNGU hamtupi mja wake PENGO alisema Anamuachia Mungu....siku 3 mbele tukasikia Gwajima Yupo hospital na serikali imemkalia kooni!!.....Baadae Aliangalia upepo na Kuona watanzania wengi wanamuunga mkono Lowassa...Kwa lengo lile lile la kupata pesa nyingi kupitia sadaka akaamua kuingia kumsupport Lowassa Na Kuanza kugombana na Mchungaji mwenzie SLAA.....Akapata watu wengi sana.....Uchaguzi ukapita na Lowassa akaangua (Huo ni mkosi wa Gwajima)......Alivyoona watu wengi wanamuelewa Magufuli mzee wa kutumia Fursa Gwajima akaanza kujipendekeza kwa MAGUFULI na kumkana Lowassa Hadharani kuwa hajawahii muunga Mkono katika harakati zake za Siasa....hivyo yeye yupo upande wa Magufuli...Lakini Uzuri wa Magufuli huwa hana SHOBO Na mtu hajawahi mpa kiki yoyote ile GWAJIMA pamoja na Kujipendekeza kote....Alimua kwenda kwa Mzee wa Upako lakini sio Kwa Gwajima!!

Gwajima na Tabia yake ya Umalaya! Kama ulikuwa hujui Gwajima Anatabia ya kuwatafuta wake za watu na ushahidi upoo kwa kisingizo cha kuwa yeye ni Mchungaji! Mbali na wengi aliotembea nao Gwajima alifanikiwa kutembea na Mke wa mtu...mke wa MBASHA na kufanikiwa kumpa mimba! Haikuishia hapoo alifarakanisha Ndoa kabisa ya Mbasha hadi sasa Mbasha ameechana na mke wake kisa Gwajima! Ni ajabu sana Kusikia Lakini kuna ukweli Ndani yake Gwajima Alisha Mtaka Mke wa Makonda kabla hata ya kuhusishwa na Madawa ya Kulevya hivyo ugomvi wao si waleo wala juzi! Wapo wengine wengi

Jiulize....Kwanini mchungaji Atajwe kwenye Tuhuma za Madawa ya kulevya? Watanzania tusifumbe Wala kuziba ubongo wetu kushindwa kutafakari Mambo! Makonda hadi kufikia kutaja majina ya Watu wanao jihusisha na Madawa ya kulevya si kazi aliyo ifanya pekee ake ndani kwake! Ni kazi aliyo peleleza kwanza na kwa kushirikiana na Rai wema pamoja na jeshi la polisi ndipo akapata hayo majina aliyo yataja! Sasa ushawahi Jiulizaa kwanini Amtaje GWAJIMA na si mchungaji mwingine Yeyote???? Iwe unampenda makonda au humpendi lakini je Ulishwahi jiuliza kwanini iwe huyu mchungaji na si mwingine?

Kupitia kisa kidogo tuu hicho....Gwajima akasoma akili za watu na kuamua hapo hapo kupiga pesa na kupitia hilo unaaambiwa Gwajima Kaingiza sadaka za Shukrani na Pekee si chini ya Millioni 687 na Ushee kupitia kumsema Makondaa kanisani kwake! Na hii ni baada ya kuona Makonda ana nguvu kubwa na anapendwa na watu na kila mtu anapenda kumsikia!!

Jiulize swali Dogo....Hivi kwani Makonda ndio mtu wa kwanza kumsema? Mbona Magufuli alipiga mkwara siku moja na aliufyata hakusema lolote hadi leo hii...KUHUSU KWENDA NA KWAYA kituo cha polisi...Magufili akasema kamata Kwaya weka ndani wakaimbie mapambia rokapu mbona alikaa kimya hadi leo! Ni baada ya kuona Magufuli Hakamatiki

Leo Tena Diamond Kamtaja Gwajima Mara moja tuu ameripuka na amefura Moto baada ya kuona DIAMOND ana ushawishi mkubwaaa TANZANIA na hiyo akimsema kanisani kwake atapata Sadaka Nyingi sanaaa baada Swala la Makondaa Magufuli kashalizimaaa kilicho baki ni kumvaa Diamond ili apate pesa nyingii......Ushwahi jiuliza kwani Diamond ni wa kwanza kumtaja?? Mbona Nay wa Mitego anamsema kila siku kwenye nyimbo zake lakini hajawahi kumsemea kanisani wala wapi kwanini iwe Diamond? Anajua Kuwa Wapenda umbea wote wataenda kanisani na Atapata Sadaka nyingi kufikia lengo lake la Kupata billioni moja kwa mwezi!

Diamond Please Mimi ni shabiki wako Kama unampenda Zariii kwelii kaa mbali na Gwajima usitake hata Urafikii naee Muulize mbashaaa.....Please Diamond!!

Gwajima wewe ni Mtu mzima kuendelea kuwa na Tabia za kimachinga sio poa na ni muda wa wewe kubadirika....umewaibia na kuwadhurumu vyakutosha watanzania! Sisi wengine tulisha apa kutokuja kufika kanisani kwako kwa namna yoyote ileeee hata kwa kugawa pesaa!!!

Watanzania Amkenii acheni kuibiwa!
Wewe ndio fala na bwege link Gwajima alimuanza MTU,kama sio wanamuanza wao,wakitumwa na Bashite
 
Kanisa gani hawatumii biblia ni utafikiri ni mkutano wa kampeni za kuzodoa watu na kusoma magazeti ya udaku kanisani akijifanya ana data? fikiria baada ya mbunge mmoja kutembelea kanisa lake , kuanzia hapo ndio akaanza kuyasoma magazeti ya huyo mbunge kanisani mwanzo mwisho....najiuliza waumini huenda kupokea mipasho na baadaye kutoa sadaka na kurudi nyumbani? ......" HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA" by wakili msomi metusela gwajima.
 
Wasalaaaaaaaaaaam...!!!

Watanzania walio wengi naamini wanamfahamu Huyu Anae Jiita Mchungaji GWAJIMAZ Japo wengine hawamfahamu! Unaweza kuwa unamfahamu Gwajima kama Mchungaji lakini Tabia zake kiundani huwezi kuzifahamu....nitakupa japo kwa Ufupi kuhusu hilo na Kuweka Ushahidi kidogo ikiwezekana!

Sote tunaamini ya kuwa Mchungaji ni mtumishi wa Mungu anae fanya kazi Duniani badala ya Mungu yupo duniani kumsaidia Mungu kuwarudisha Kundini Kondoo walio potea! Maana maneno ya Mungu kwenye Agano jipya Yanasema....KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU AKAMTOA MWANA WAKE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIYE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE! baada ya Hapo Yesu aliondoka duniani akaacha wanafunzi wake waendelee kueneza injili ambao zao lao ndio Wachungaji wa sasa! Sasa katika wachungaji wamegawanyika kuna wachungaji kwelii na Wachungaji Wapiga hela!! Wachungaji wa kweli ni wale wanao fanya kazi katika mitaa au usharika Fulani! Na wachungaji wapiga pesa ni Wale wanao anzisha makanisa yao na wao wakiwa wakubwa wa Makanisa hayo mfano GWAJIMA!

Kama ulikuwa hujui ni kuwa mchungaji Gwajima Ni mtu Anae fikiria sana pesa kuliko Neno la Mungu....Ni mtu anae Fikiria sana Afanye nini Kuokoa Familia yake kimaisha kuliko Neno la Mungu! Pesa anazo pata Gwajima na Kuwezesha Maisha yake Kwenda Ni kwa kupitia Sadaka Za Waumini waliodanganyika kwa kivuli cha kuokoa watuu ili waende wakatoe sadaka za shukrani na sadaka za pekee yeye aweze kuendesha Familia! Kumbuka Maneno ya Mungu yanasema SIKU ZA MWISHO WATAJITOKEZA MANABII WENGI WAUNGO WAKIJIFANYA WAMETUMWA NA MUNGU! Unaeza ukahisi ni kama Uongo Lakini ukweli ndio huo kama Gwajima akiweza kudanganya watu 1000 wakaenda kanisani kwake na wakatoa elfu 10 kila mmoja unaweza piga hesabu kwa atakuwa ameingiza kiasi gani kwa siku moja bila kukatwa kodi wala nini!

Gwajima Baada ya kuona Makanisa kwa sasa yamekuwa mengi na watanzania wanazidi Kuelemika na kufunguka Ndipo Gwajima Akaamua kujiingiza kwenye mambo,ambayo Atawavutia waumini wengi zaidi..Mambo hayo ni pamoja Na kujiingiza kwenye SIASA,UMBEA WA KUSEMANA....na kuigizaa Kuwaaminisha watu kuwa yeye ni muokoaji na Mtoa Mapepo kumbe sio!! Kama utakumbuka Alianza na Bunge la Katiba Akamtukana Sana PENGO na akamlaani....ili tuu afurahishe watu watoe sadaka Nyingii lakini MUNGU hamtupi mja wake PENGO alisema Anamuachia Mungu....siku 3 mbele tukasikia Gwajima Yupo hospital na serikali imemkalia kooni!!.....Baadae Aliangalia upepo na Kuona watanzania wengi wanamuunga mkono Lowassa...Kwa lengo lile lile la kupata pesa nyingi kupitia sadaka akaamua kuingia kumsupport Lowassa Na Kuanza kugombana na Mchungaji mwenzie SLAA.....Akapata watu wengi sana.....Uchaguzi ukapita na Lowassa akaangua (Huo ni mkosi wa Gwajima)......Alivyoona watu wengi wanamuelewa Magufuli mzee wa kutumia Fursa Gwajima akaanza kujipendekeza kwa MAGUFULI na kumkana Lowassa Hadharani kuwa hajawahii muunga Mkono katika harakati zake za Siasa....hivyo yeye yupo upande wa Magufuli...Lakini Uzuri wa Magufuli huwa hana SHOBO Na mtu hajawahi mpa kiki yoyote ile GWAJIMA pamoja na Kujipendekeza kote....Alimua kwenda kwa Mzee wa Upako lakini sio Kwa Gwajima!!

Gwajima na Tabia yake ya Umalaya! Kama ulikuwa hujui Gwajima Anatabia ya kuwatafuta wake za watu na ushahidi upoo kwa kisingizo cha kuwa yeye ni Mchungaji! Mbali na wengi aliotembea nao Gwajima alifanikiwa kutembea na Mke wa mtu...mke wa MBASHA na kufanikiwa kumpa mimba! Haikuishia hapoo alifarakanisha Ndoa kabisa ya Mbasha hadi sasa Mbasha ameechana na mke wake kisa Gwajima! Ni ajabu sana Kusikia Lakini kuna ukweli Ndani yake Gwajima Alisha Mtaka Mke wa Makonda kabla hata ya kuhusishwa na Madawa ya Kulevya hivyo ugomvi wao si waleo wala juzi! Wapo wengine wengi

Jiulize....Kwanini mchungaji Atajwe kwenye Tuhuma za Madawa ya kulevya? Watanzania tusifumbe Wala kuziba ubongo wetu kushindwa kutafakari Mambo! Makonda hadi kufikia kutaja majina ya Watu wanao jihusisha na Madawa ya kulevya si kazi aliyo ifanya pekee ake ndani kwake! Ni kazi aliyo peleleza kwanza na kwa kushirikiana na Rai wema pamoja na jeshi la polisi ndipo akapata hayo majina aliyo yataja! Sasa ushawahi Jiulizaa kwanini Amtaje GWAJIMA na si mchungaji mwingine Yeyote???? Iwe unampenda makonda au humpendi lakini je Ulishwahi jiuliza kwanini iwe huyu mchungaji na si mwingine?

Kupitia kisa kidogo tuu hicho....Gwajima akasoma akili za watu na kuamua hapo hapo kupiga pesa na kupitia hilo unaaambiwa Gwajima Kaingiza sadaka za Shukrani na Pekee si chini ya Millioni 687 na Ushee kupitia kumsema Makondaa kanisani kwake! Na hii ni baada ya kuona Makonda ana nguvu kubwa na anapendwa na watu na kila mtu anapenda kumsikia!!

Jiulize swali Dogo....Hivi kwani Makonda ndio mtu wa kwanza kumsema? Mbona Magufuli alipiga mkwara siku moja na aliufyata hakusema lolote hadi leo hii...KUHUSU KWENDA NA KWAYA kituo cha polisi...Magufili akasema kamata Kwaya weka ndani wakaimbie mapambia rokapu mbona alikaa kimya hadi leo! Ni baada ya kuona Magufuli Hakamatiki

Leo Tena Diamond Kamtaja Gwajima Mara moja tuu ameripuka na amefura Moto baada ya kuona DIAMOND ana ushawishi mkubwaaa TANZANIA na hiyo akimsema kanisani kwake atapata Sadaka Nyingi sanaaa baada Swala la Makondaa Magufuli kashalizimaaa kilicho baki ni kumvaa Diamond ili apate pesa nyingii......Ushwahi jiuliza kwani Diamond ni wa kwanza kumtaja?? Mbona Nay wa Mitego anamsema kila siku kwenye nyimbo zake lakini hajawahi kumsemea kanisani wala wapi kwanini iwe Diamond? Anajua Kuwa Wapenda umbea wote wataenda kanisani na Atapata Sadaka nyingi kufikia lengo lake la Kupata billioni moja kwa mwezi!

Diamond Please Mimi ni shabiki wako Kama unampenda Zariii kwelii kaa mbali na Gwajima usitake hata Urafikii naee Muulize mbashaaa.....Please Diamond!!

Gwajima wewe ni Mtu mzima kuendelea kuwa na Tabia za kimachinga sio poa na ni muda wa wewe kubadirika....umewaibia na kuwadhurumu vyakutosha watanzania! Sisi wengine tulisha apa kutokuja kufika kanisani kwako kwa namna yoyote ileeee hata kwa kugawa pesaa!!!

Watanzania Amkenii acheni kuibiwa!
Mtoa posti kama hajatoka WCB basi atakuwa katoka koromije..ukiongelea upigaji wa sadaka hatobaki mtu kuanzia wachungaji mpaka mashehe.
 
Mleta uzi una wazimu weye! Let Gwajima be Gwajima the Man, ukitia mkono anausagasaga, mwachie aliyempa wito wa kitume amuhukumu, sio wewe swekeni wahead, muache Gwajima abebe msalaba wake mwenyewe, kama ni dhambi zake hazitokuhusu hata kiduchu, tunajua unajaribu kumtetea Bashite, wala hutaweza, bashite la koromije nafsi italisuta mpaka linaaga dunia hii! Bs
 
Wasalaaaaaaaaaaam...!!!

Watanzania walio wengi naamini wanamfahamu Huyu Anae Jiita Mchungaji GWAJIMAZ Japo wengine hawamfahamu! Unaweza kuwa unamfahamu Gwajima kama Mchungaji lakini Tabia zake kiundani huwezi kuzifahamu....nitakupa japo kwa Ufupi kuhusu hilo na Kuweka Ushahidi kidogo ikiwezekana!

Sote tunaamini ya kuwa Mchungaji ni mtumishi wa Mungu anae fanya kazi Duniani badala ya Mungu yupo duniani kumsaidia Mungu kuwarudisha Kundini Kondoo walio potea! Maana maneno ya Mungu kwenye Agano jipya Yanasema....KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU AKAMTOA MWANA WAKE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIYE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE! baada ya Hapo Yesu aliondoka duniani akaacha wanafunzi wake waendelee kueneza injili ambao zao lao ndio Wachungaji wa sasa! Sasa katika wachungaji wamegawanyika kuna wachungaji kwelii na Wachungaji Wapiga hela!! Wachungaji wa kweli ni wale wanao fanya kazi katika mitaa au usharika Fulani! Na wachungaji wapiga pesa ni Wale wanao anzisha makanisa yao na wao wakiwa wakubwa wa Makanisa hayo mfano GWAJIMA!

Kama ulikuwa hujui ni kuwa mchungaji Gwajima Ni mtu Anae fikiria sana pesa kuliko Neno la Mungu....Ni mtu anae Fikiria sana Afanye nini Kuokoa Familia yake kimaisha kuliko Neno la Mungu! Pesa anazo pata Gwajima na Kuwezesha Maisha yake Kwenda Ni kwa kupitia Sadaka Za Waumini waliodanganyika kwa kivuli cha kuokoa watuu ili waende wakatoe sadaka za shukrani na sadaka za pekee yeye aweze kuendesha Familia! Kumbuka Maneno ya Mungu yanasema SIKU ZA MWISHO WATAJITOKEZA MANABII WENGI WAUNGO WAKIJIFANYA WAMETUMWA NA MUNGU! Unaeza ukahisi ni kama Uongo Lakini ukweli ndio huo kama Gwajima akiweza kudanganya watu 1000 wakaenda kanisani kwake na wakatoa elfu 10 kila mmoja unaweza piga hesabu kwa atakuwa ameingiza kiasi gani kwa siku moja bila kukatwa kodi wala nini!

Gwajima Baada ya kuona Makanisa kwa sasa yamekuwa mengi na watanzania wanazidi Kuelemika na kufunguka Ndipo Gwajima Akaamua kujiingiza kwenye mambo,ambayo Atawavutia waumini wengi zaidi..Mambo hayo ni pamoja Na kujiingiza kwenye SIASA,UMBEA WA KUSEMANA....na kuigizaa Kuwaaminisha watu kuwa yeye ni muokoaji na Mtoa Mapepo kumbe sio!! Kama utakumbuka Alianza na Bunge la Katiba Akamtukana Sana PENGO na akamlaani....ili tuu afurahishe watu watoe sadaka Nyingii lakini MUNGU hamtupi mja wake PENGO alisema Anamuachia Mungu....siku 3 mbele tukasikia Gwajima Yupo hospital na serikali imemkalia kooni!!.....Baadae Aliangalia upepo na Kuona watanzania wengi wanamuunga mkono Lowassa...Kwa lengo lile lile la kupata pesa nyingi kupitia sadaka akaamua kuingia kumsupport Lowassa Na Kuanza kugombana na Mchungaji mwenzie SLAA.....Akapata watu wengi sana.....Uchaguzi ukapita na Lowassa akaangua (Huo ni mkosi wa Gwajima)......Alivyoona watu wengi wanamuelewa Magufuli mzee wa kutumia Fursa Gwajima akaanza kujipendekeza kwa MAGUFULI na kumkana Lowassa Hadharani kuwa hajawahii muunga Mkono katika harakati zake za Siasa....hivyo yeye yupo upande wa Magufuli...Lakini Uzuri wa Magufuli huwa hana SHOBO Na mtu hajawahi mpa kiki yoyote ile GWAJIMA pamoja na Kujipendekeza kote....Alimua kwenda kwa Mzee wa Upako lakini sio Kwa Gwajima!!

Gwajima na Tabia yake ya Umalaya! Kama ulikuwa hujui Gwajima Anatabia ya kuwatafuta wake za watu na ushahidi upoo kwa kisingizo cha kuwa yeye ni Mchungaji! Mbali na wengi aliotembea nao Gwajima alifanikiwa kutembea na Mke wa mtu...mke wa MBASHA na kufanikiwa kumpa mimba! Haikuishia hapoo alifarakanisha Ndoa kabisa ya Mbasha hadi sasa Mbasha ameechana na mke wake kisa Gwajima! Ni ajabu sana Kusikia Lakini kuna ukweli Ndani yake Gwajima Alisha Mtaka Mke wa Makonda kabla hata ya kuhusishwa na Madawa ya Kulevya hivyo ugomvi wao si waleo wala juzi! Wapo wengine wengi

Jiulize....Kwanini mchungaji Atajwe kwenye Tuhuma za Madawa ya kulevya? Watanzania tusifumbe Wala kuziba ubongo wetu kushindwa kutafakari Mambo! Makonda hadi kufikia kutaja majina ya Watu wanao jihusisha na Madawa ya kulevya si kazi aliyo ifanya pekee ake ndani kwake! Ni kazi aliyo peleleza kwanza na kwa kushirikiana na Rai wema pamoja na jeshi la polisi ndipo akapata hayo majina aliyo yataja! Sasa ushawahi Jiulizaa kwanini Amtaje GWAJIMA na si mchungaji mwingine Yeyote???? Iwe unampenda makonda au humpendi lakini je Ulishwahi jiuliza kwanini iwe huyu mchungaji na si mwingine?

Kupitia kisa kidogo tuu hicho....Gwajima akasoma akili za watu na kuamua hapo hapo kupiga pesa na kupitia hilo unaaambiwa Gwajima Kaingiza sadaka za Shukrani na Pekee si chini ya Millioni 687 na Ushee kupitia kumsema Makondaa kanisani kwake! Na hii ni baada ya kuona Makonda ana nguvu kubwa na anapendwa na watu na kila mtu anapenda kumsikia!!

Jiulize swali Dogo....Hivi kwani Makonda ndio mtu wa kwanza kumsema? Mbona Magufuli alipiga mkwara siku moja na aliufyata hakusema lolote hadi leo hii...KUHUSU KWENDA NA KWAYA kituo cha polisi...Magufili akasema kamata Kwaya weka ndani wakaimbie mapambia rokapu mbona alikaa kimya hadi leo! Ni baada ya kuona Magufuli Hakamatiki

Leo Tena Diamond Kamtaja Gwajima Mara moja tuu ameripuka na amefura Moto baada ya kuona DIAMOND ana ushawishi mkubwaaa TANZANIA na hiyo akimsema kanisani kwake atapata Sadaka Nyingi sanaaa baada Swala la Makondaa Magufuli kashalizimaaa kilicho baki ni kumvaa Diamond ili apate pesa nyingii......Ushwahi jiuliza kwani Diamond ni wa kwanza kumtaja?? Mbona Nay wa Mitego anamsema kila siku kwenye nyimbo zake lakini hajawahi kumsemea kanisani wala wapi kwanini iwe Diamond? Anajua Kuwa Wapenda umbea wote wataenda kanisani na Atapata Sadaka nyingi kufikia lengo lake la Kupata billioni moja kwa mwezi!

Diamond Please Mimi ni shabiki wako Kama unampenda Zariii kwelii kaa mbali na Gwajima usitake hata Urafikii naee Muulize mbashaaa.....Please Diamond!!

Gwajima wewe ni Mtu mzima kuendelea kuwa na Tabia za kimachinga sio poa na ni muda wa wewe kubadirika....umewaibia na kuwadhurumu vyakutosha watanzania! Sisi wengine tulisha apa kutokuja kufika kanisani kwako kwa namna yoyote ileeee hata kwa kugawa pesaa!!!

Watanzania Amkenii acheni kuibiwa!
Umesema etii..., maana nasikia kelele labda itakuwa network.
 
Makanisa mengine ni biashara na lake lipo hivyo.

Natumaini waumini haswa wapya mtakumbuka kutoa sadaka kesho jamani, Mola alisema mtoe ile 10% na zile sadaka zingine juu mnazoombwa na waongoza kanisa.

Mnao angalia live streaming, msisahau kurusha pesa pia.
 
Makanisa mengine ni biashara na lake lipo hivyo.

Natumaini waumini haswa wapya mtakumbuka kutoa sadaka kesho jamani, Mola alisema mtoe ile 10% na zile sadaka zingine juu mnazoombwa na waongoza kanisa.

Mnao angalia live streaming, msisahau kurusha pesa pia.
Wabongo ninavyo wajua mimi watarusha msambwanda wa DAB, we subiri uone. Jana si uliona, yani raia wapo radhi wa crop nyee ya jamaa kuliko wasanii waliohudhuria.
 
Back
Top Bottom