Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Baada ya Mbunge mmoja, kumtaka mbunge mfufua watu afufue wapendwa wetu, mara baada tuu ya kutoa kauli hiyo Bungeni, kesho yake akaugua ghafla, akakimbizwa hospitali ya Muhimbili jana, leo akafariki dunia!.
Nikadhani kifo hicho ni mpango wa mbunge mfufua wafu, ili atende muujiza wa kumfufua!. Kumbe I was wrong kwasababu marehemu amezikwa bila kufufuliwa!.

Hivyo he just died natural death, huwezi kufufuliwa!. Wanao fufuliwa ni wale tuu, wanaokufa kwa kuchukuliwa misukule, ndio huweza hufufuliwa, wanaokufa kweli kwa natural death, hawafufuliki!.

RIP Mbunge marehemu.
P
Kawe katika miaka mitano hii wasitegemee kuzika watu wa misukule.
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

P
Swali hili bado ni valid, wakati Watanzania tunasubiria Chanjo ya Covid 19, Akofu Gwajima anaipinga wazi wazi, tena kwa kutumia mimbari !, huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli ?.
P
 
Swali hili bado ni valid, wakati Watanzania tunasubiria Chanjo ya Covid 19, Akofu Gwajima anaipinga wazi wazi, tena kwa kutumia mimbari !, huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli ?.
P
Heshimu maoni yake....maana huwa mnadai uhuru wa kujieleza/kutoa maoni.
 
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati anakula vya halamu? tunajua kuwa ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa.
Naunga mkono hoja,
P
 
Swali hili bado ni valid, wakati Watanzania tunasubiria Chanjo ya Covid 19, Akofu Gwajima anaipinga wazi wazi, tena kwa kutumia mimbari !, huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli ?.
P
Mchumia tumbo, tu ka mimi na wewe!
Akaitwa akala dinner na Bill Gates, naye atatupigia picha kachanjwa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Ni kada mwenzako aliyechaguliwa na chama chako kuwa mbunge wa Kawe. Kaeni chini mzungumze.
Swali hili bado ni valid, wakati Watanzania tunasubiria Chanjo ya Covid 19, Akofu Gwajima anaipinga wazi wazi, tena kwa kutumia mimbari !, huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli ?.
P
 
Bishop Rev. Josephat Gwajima hawezi kusujudu na kuabudu mashetani kamwe. Huyu mtu ni "JITU LA MBINGUNI" na ni sauti ya mtu aliaye nyikani kusema itengenezeni njia ya Bwana maana ufalme wa Mungu Yehova upo tayari...!!

Sijui kama umenielewa
Nimekuelewa sana. Karibu na mitaa hii.
P
 
Gwajima hana lolote! Ni udhaifu wa Taifa kuruhusu wapumbavu na watu wasio elimika vizuri kuwa na nguvu kutokana na pesa haramu wanazovuna kutoka kwa waumini brainwashed ambao uwezo wao wa kufikiri ni kama wa misukule!
Gwajima huyu alimtafuna Flora Mbasha na kuvunja ndoa ya Emmanuel Mbasha!!!
Anadai kuwa anafufua wafu na misukule lakini alishindwa kumfufua Rais Magufuli!!
Kuna waumini wake ( misukule yake) akiwaambia yeye Gwajima ni Mungu hawabishi!
Mkuu Fumadilu Kalimanzila , hilo la kumtafuna mtu, mnauhakika au mnamsingizia tuu kumchafua mtumishi wa Bwana ?.
P
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajima kuwa anajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, sio Mkuu wa Mkoa, Makonda, bali ni muumini wake mtiifu, ambaye nimemtaja hapa chini na alichokisema!, sasa kosa la Makonda ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana wetu Yesu Kristo alivyotufundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume!. Yesu ametufundisha "adui mpende". Yesu ametufundisha "samehe hata saba mara sabini". Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo?


Je, Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?.

Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?

Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.


Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.

Jumatatu Njema.
Paskali

Update
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa na mimi ni kada, wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea aliyepitishwa na chama changu kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, ni Askofu Gwajima, then naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Askofu Gwajima 100% kwa 100% tukalikomboe jimbo la Kawe lilokuwa utumwani kwa kipindi cha miaka kumi, tulirejeshe CCM!.
Kwa Kawe ya Maendeleo, chagua CCM, Chagua Gwajima, na kwenye uRais ni Magufuli, Mbunge ni Gwajima na madiwani wa CCM.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Ni mtumishi wa Mungu, hayo makando kando yake unayoyaona, watamalizana na Mungu wake!! wewe hayakuhusu!!
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajima kuwa anajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, sio Mkuu wa Mkoa, Makonda, bali ni muumini wake mtiifu, ambaye nimemtaja hapa chini na alichokisema!, sasa kosa la Makonda ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana wetu Yesu Kristo alivyotufundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume!. Yesu ametufundisha "adui mpende". Yesu ametufundisha "samehe hata saba mara sabini". Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo?


Je, Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?.

Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?

Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.


Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.

Jumatatu Njema.
Paskali

Update
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa na mimi ni kada, wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea aliyepitishwa na chama changu kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, ni Askofu Gwajima, then naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Askofu Gwajima 100% kwa 100% tukalikomboe jimbo la Kawe lilokuwa utumwani kwa kipindi cha miaka kumi, tulirejeshe CCM!.
Kwa Kawe ya Maendeleo, chagua CCM, Chagua Gwajima, na kwenye uRais ni Magufuli, Mbunge ni Gwajima na madiwani wa CCM.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Pili hana njaa Kama wewe!! hivyo hanasababu ya kujipendekeza kwa mtu!!
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajima kuwa anajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, sio Mkuu wa Mkoa, Makonda, bali ni muumini wake mtiifu, ambaye nimemtaja hapa chini na alichokisema!, sasa kosa la Makonda ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana wetu Yesu Kristo alivyotufundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume!. Yesu ametufundisha "adui mpende". Yesu ametufundisha "samehe hata saba mara sabini". Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo?


Je, Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?.

Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?

Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.


Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.

Jumatatu Njema.
Paskali

Update
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa na mimi ni kada, wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea aliyepitishwa na chama changu kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, ni Askofu Gwajima, then naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Askofu Gwajima 100% kwa 100% tukalikomboe jimbo la Kawe lilokuwa utumwani kwa kipindi cha miaka kumi, tulirejeshe CCM!.
Kwa Kawe ya Maendeleo, chagua CCM, Chagua Gwajima, na kwenye uRais ni Magufuli, Mbunge ni Gwajima na madiwani wa CCM.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Tapeli anajifanya kufufua misukule kumbe ni muongo wa kutupwa. Anajifanya daktari wa philosophy kumbe kasoma Diploma mill kule SA, anajifanya ametunga vitabu vya kijapani...vipo wapi? na kwanini havitafsiriwa? huyu Gwajima, mfufuaji misukule ni muongo wa kutupwa na tapeli mkubwa.
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
 
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Tusubiri tuone
 
Wanabodi,

Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajima kuwa anajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, sio Mkuu wa Mkoa, Makonda, bali ni muumini wake mtiifu, ambaye nimemtaja hapa chini na alichokisema!, sasa kosa la Makonda ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana wetu Yesu Kristo alivyotufundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume!. Yesu ametufundisha "adui mpende". Yesu ametufundisha "samehe hata saba mara sabini". Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo?


Je, Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?.

Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?

Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.


Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.

Jumatatu Njema.
Paskali

Update
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa na mimi ni kada, wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea aliyepitishwa na chama changu kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, ni Askofu Gwajima, then naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Askofu Gwajima 100% kwa 100% tukalikomboe jimbo la Kawe lilokuwa utumwani kwa kipindi cha miaka kumi, tulirejeshe CCM!.
Kwa Kawe ya Maendeleo, chagua CCM, Chagua Gwajima, na kwenye uRais ni Magufuli, Mbunge ni Gwajima na madiwani wa CCM.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
KENZY Naomba clip ya hii video. Nataka nimtumie mtu, nahitaji iwe katika video clip,
Asante
 
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Tafsiri za mambo ya rohoni ni ngumu kuyaelewa kirahisi namna hii, maombi ya Kanisa lake ya kumg'oa Amaleki huwezi tafsiri moja kwa moja kwamba ni kuhusu maswala yaliyoko mbele yake ya chama chake,

Wewe ni mtu unayeheshimika kwa jamii kwa kiasi fulani, na kwa kazi yako ungeweza kufanya nae mahojiano maana ni mwanachama mwenzako wa chama chenu kuhusu maombi aliyolitangazia kanisa lake ukajua kiundani,

Mwisho wa mwaka kila mmoja humaliza mwaka kwa namna yake, wengine wanakuwa na maombi ya kumshukuru Mungu na wengine wanakwenda kwa mizimu yao na wengine wanaona ni kama jana hakuna cha maana,

Mtu mzima namna yako, angalia vizuri post yako mkuu, najua ni maoni yako na kila mtu ana haki ya kusema lolote ilimradi havunji taratibu zilizopo,
 
Back
Top Bottom