Aiseeeee! Hatari sana.Wajinga wanamfuata shetani,kisha wanamtetea !
Nyie endeleeni na Bashite. Sisi tunagonga kila konaBASHITE kwanza mengine baadae
Unapoandika haya ukumbuke pia ya Flora Mbasha taka kabla suala la Bashite halijaanzaNitawashangaa sana wale watu waliokuwa wanahoji kwa nini suala la vyeti vya Daudi Bashite liibuke baada ya yeye kuwataja wauza madawa ya kulevya.
Mshangao wangu utakuja pale watu haohao watakapoanza kushabikia hii tetesi ya Gwajima kuzaa na huyo dada.
Ikibidi nitatumia hoja zilezile za kwao, kwa nini hili suala liibuke sasa hivi baada ya Gwajima kuendelea 'kumsakama' Paul Makonda!?
Je kuna ajenda ya siri ya kutaka kumchafua ili kumvunja moyo asiendelee na kile anachokifanya!?
Basi sawaNyie endeleeni na Bashite. Sisi tunagonga kila kona
Wadau, amani iwe kwenu.
Kuna video inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja aliyezaa mtoto na Josephat Gwajima ambaye haihitaji hata DNA kubaini kuwa ni mtoto wake kwa jinsi walivyofanana. Huu ni ushahidi mwingine kuwa Gajima anatumia kanisa lake vibaya kwa tamaa zake za kimwili.
Bado tunakumbuka jinsi alivyovunja ndoa ya Flora na mumewe Mbasha baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuzaa naye mtoto. Ijapokuwa alitumia nguvu nyingi pamoja na mamilioni ya fedha kuzima moto huo, ila laana ya Mungu bado inamtafuna. Sasa amejitokeza huyu binti mwingine na kushuhudia jinsi walivyokuwa wanafanya tendo la ndoa madhabahuni. Sina hakika kama kitendo hicho ni masharti aliyopewa na waganga wake kama njia mojawapo ya kuongeza waumini.
Kwa haya yanayotokea kwenye kanisa la Gwajima, upo uwezekano kuwa wanandoa wengi wanaosali na kuhudumu kanisani hapo wameshiriki tendo la ndoa na Gwajima. Kuna uwezekano pia kuwa watoto waliozaa wana damu ya Gwajima. Kwa hali hiyo, kuna haja kwa waumini hao kupima DNA za watoto wao ili kujiridhisha kama ni wao. Na ikibainika kuwa watoto hao ni wa Gwajima, wamburuze mahakamani haraka sana.
Wito kwa Gwajima. Kutumia nyumba za ibada kwa tamaa zako za kimwili ni dhambi kubwa sana. Utajibu nini mbele ya Muumba? Dhambi za waumini wako wote wanaofuata imani yako utajitwisha wewe na hapo itakuwa ni kilio na kusaga meno.
We unajuaje kuwa huyo unayemuita baba yako ndiye baba yako. Mshauri baba yako mkapime ajue kama wewe ni mtoto wake, then leta majibu hapa na habari yako ya Gwajima itaheshimiwaWadau, amani iwe kwenu.
Kuna video inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja aliyezaa mtoto na Josephat Gwajima ambaye haihitaji hata DNA kubaini kuwa ni mtoto wake kwa jinsi walivyofanana. Huu ni ushahidi mwingine kuwa Gajima anatumia kanisa lake vibaya kwa tamaa zake za kimwili.
Bado tunakumbuka jinsi alivyovunja ndoa ya Flora na mumewe Mbasha baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuzaa naye mtoto. Ijapokuwa alitumia nguvu nyingi pamoja na mamilioni ya fedha kuzima moto huo, ila laana ya Mungu bado inamtafuna. Sasa amejitokeza huyu binti mwingine na kushuhudia jinsi walivyokuwa wanafanya tendo la ndoa madhabahuni. Sina hakika kama kitendo hicho ni masharti aliyopewa na waganga wake kama njia mojawapo ya kuongeza waumini.
Kwa haya yanayotokea kwenye kanisa la Gwajima, upo uwezekano kuwa wanandoa wengi wanaosali na kuhudumu kanisani hapo wameshiriki tendo la ndoa na Gwajima. Kuna uwezekano pia kuwa watoto waliozaa wana damu ya Gwajima. Kwa hali hiyo, kuna haja kwa waumini hao kupima DNA za watoto wao ili kujiridhisha kama ni wao. Na ikibainika kuwa watoto hao ni wa Gwajima, wamburuze mahakamani haraka sana.
Wito kwa Gwajima. Kutumia nyumba za ibada kwa tamaa zako za kimwili ni dhambi kubwa sana. Utajibu nini mbele ya Muumba? Dhambi za waumini wako wote wanaofuata imani yako utajitwisha wewe na hapo itakuwa ni kilio na kusaga meno.
Gwajima hatokua wa kwanza kuzaa na muumini/waumini wake na hatokua wa mwisho tumeshuhudia wengi wengi wengi sana including Jose Mwingila,hamtupeleki huko hata siku moja sisi tunabaki na Bashite tu hahahahaa hiki kibwagizo chenu kimekosa mpiga zumari mzuri hivyo hakina radha kabisaa,tulia Leo mnyolewe na Double Manifestation [emoji23]Wadau, amani iwe kwenu.
Kuna video inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja aliyezaa mtoto na Josephat Gwajima ambaye haihitaji hata DNA kubaini kuwa ni mtoto wake kwa jinsi walivyofanana. Huu ni ushahidi mwingine kuwa Gajima anatumia kanisa lake vibaya kwa tamaa zake za kimwili.
Bado tunakumbuka jinsi alivyovunja ndoa ya Flora na mumewe Mbasha baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuzaa naye mtoto. Ijapokuwa alitumia nguvu nyingi pamoja na mamilioni ya fedha kuzima moto huo, ila laana ya Mungu bado inamtafuna. Sasa amejitokeza huyu binti mwingine na kushuhudia jinsi walivyokuwa wanafanya tendo la ndoa madhabahuni. Sina hakika kama kitendo hicho ni masharti aliyopewa na waganga wake kama njia mojawapo ya kuongeza waumini.
Kwa haya yanayotokea kwenye kanisa la Gwajima, upo uwezekano kuwa wanandoa wengi wanaosali na kuhudumu kanisani hapo wameshiriki tendo la ndoa na Gwajima. Kuna uwezekano pia kuwa watoto waliozaa wana damu ya Gwajima. Kwa hali hiyo, kuna haja kwa waumini hao kupima DNA za watoto wao ili kujiridhisha kama ni wao. Na ikibainika kuwa watoto hao ni wa Gwajima, wamburuze mahakamani haraka sana.
Wito kwa Gwajima. Kutumia nyumba za ibada kwa tamaa zako za kimwili ni dhambi kubwa sana. Utajibu nini mbele ya Muumba? Dhambi za waumini wako wote wanaofuata imani yako utajitwisha wewe na hapo itakuwa ni kilio na kusaga meno.
Hyo y bashite na cheti imeshapita tuko busy na gwajima sasaKuna haja pia ya bashitte kupima marinda..
-Halafu huyu mzee wenu mnafiki kweli..
-Kuna kitu gani kipo kati yake na yeye ?
- mzee kashikwa masikio hadi anapiga simu anajifanya anaipenda shilawadu huku wakiwa wameshajiset kumrusha Gwajima eti.
Wanachokosea ni kuwa gwajima hata azae na waumini wake wote its none of our business.
Ila bashitee lazima allete vyeti, alimtumbua Kabwe. Anyway not a big deal for now..
Issue bashite alete vyeti.
Kwa nn JP ananyamaza? Kanyweshwa nini kwani?
Kuzaa nje si hoja. Kuna waliozaa hadi Na Dada, shemejii, wakwe, mabosi, coworkers na watoto. Huyu Gwajima anaundiwa tuhuma Na Mungu anawaumbua. Siyo mla/muuza Unga coz yuko uraiani. Hawezi kuzaa Na huyo mdada ana mke wake Na ndoa yao ni imara. Mtumishi wa Mungu mnamtaabisha kwa husuda zenu. Mungu atawapiga mapigo ambayo hajawahi kuona. Mlimchokoza akawajibu bado mnaendeleza haya yetu masikioKwani ya Flora Mbasha aliitengeneza nani? Gwajima ni mchafu. Msimtetee na kumlinda
Tunakuuliza.. Mtu hata kama ni mwizi.. Anapelekwaje jela ama kuchomwa moto kabla hajaiba!? Hajafanya tukio la wizi???Nitawashangaa sana wale watu waliokuwa wanahoji kwa nini suala la vyeti vya Daudi Bashite liibuke baada ya yeye kuwataja wauza madawa ya kulevya.
Mshangao wangu utakuja pale watu haohao watakapoanza kushabikia hii tetesi ya Gwajima kuzaa na huyo dada.
Ikibidi nitatumia hoja zilezile za kwao, kwa nini hili suala liibuke sasa hivi baada ya Gwajima kuendelea 'kumsakama' Paul Makonda!?
Je kuna ajenda ya siri ya kutaka kumchafua ili kumvunja moyo asiendelee na kile anachokifanya!?
Nimehoji specifically huyo dada, kwa nini kaibuliwa leo!?Unapoandika haya ukumbuke pia ya Flora Mbasha taka kabla suala la Bashite halijaanza
Jifariji tu.. Hio ya gwajima na mtoto nani kakataa?Hyo y bashite na cheti imeshapita tuko busy na gwajima sasa
Lakini si kwa kufanya tendo hilo kwenye Madhabahu.Kuzaa nje si hoja. Kuna waliozaa hadi Na Dada, shemei, wakwe, mabosi, coworkers na watoto