Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Nitawashangaa sana wale watu waliokuwa wanahoji kwa nini suala la vyeti vya Daudi Bashite liibuke baada ya yeye kuwataja wauza madawa ya kulevya.
Mshangao wangu utakuja pale watu haohao watakapoanza kushabikia hii tetesi ya Gwajima kuzaa na huyo dada.
Ikibidi nitatumia hoja zilezile za kwao, kwa nini hili suala liibuke sasa hivi baada ya Gwajima kuendelea 'kumsakama' Paul Makonda!?
Je kuna ajenda ya siri ya kutaka kumchafua ili kumvunja moyo asiendelee na kile anachokifanya!?
 
Unapoandika haya ukumbuke pia ya Flora Mbasha taka kabla suala la Bashite halijaanza
 
Bashite elete vyeti kwanza ya Gwajima hayana mashiko!!!! Vyeti kwanza
 
We unajuaje kuwa huyo unayemuita baba yako ndiye baba yako. Mshauri baba yako mkapime ajue kama wewe ni mtoto wake, then leta majibu hapa na habari yako ya Gwajima itaheshimiwa
 
Gwajima hatokua wa kwanza kuzaa na muumini/waumini wake na hatokua wa mwisho tumeshuhudia wengi wengi wengi sana including Jose Mwingila,hamtupeleki huko hata siku moja sisi tunabaki na Bashite tu hahahahaa hiki kibwagizo chenu kimekosa mpiga zumari mzuri hivyo hakina radha kabisaa,tulia Leo mnyolewe na Double Manifestation [emoji23]
 
Hyo y bashite na cheti imeshapita tuko busy na gwajima sasa
 
Kwani ya Flora Mbasha aliitengeneza nani? Gwajima ni mchafu. Msimtetee na kumlinda
Kuzaa nje si hoja. Kuna waliozaa hadi Na Dada, shemejii, wakwe, mabosi, coworkers na watoto. Huyu Gwajima anaundiwa tuhuma Na Mungu anawaumbua. Siyo mla/muuza Unga coz yuko uraiani. Hawezi kuzaa Na huyo mdada ana mke wake Na ndoa yao ni imara. Mtumishi wa Mungu mnamtaabisha kwa husuda zenu. Mungu atawapiga mapigo ambayo hajawahi kuona. Mlimchokoza akawajibu bado mnaendeleza haya yetu masikio
 
Tunakuuliza.. Mtu hata kama ni mwizi.. Anapelekwaje jela ama kuchomwa moto kabla hajaiba!? Hajafanya tukio la wizi???
 
Unapoandika haya ukumbuke pia ya Flora Mbasha taka kabla suala la Bashite halijaanza
Nimehoji specifically huyo dada, kwa nini kaibuliwa leo!?
Na ninafikiri ' watu' wangeweza kuibua upya suala la Flora Mbasha, je ni kwa sababu wameona limepoteza mvuto kwa jamii!?
Ngoja niibe lugha ya malkia, why now?
 
Hyo y bashite na cheti imeshapita tuko busy na gwajima sasa
Jifariji tu.. Hio ya gwajima na mtoto nani kakataa?
Mimi nakubali kabisa huyo mtoto anaweza kuwa wa Gwajima... Bashite ana mtoto?
Suala la vyeti litaisha pale bashite atakapoleta vyeti vyake
 
Gwajima atawazalia watoto mpaka akili ziwakae..
Mchungaji gani anaandaa misa za kuwachambua na kuwatukana watu?

Nawashangaa waumin wake ambao bado wamefungwa wasisikie wala wasielewe..
 
Duuhh..... aisee bashite mmekaba kooni kweli kweli. Kila mada ikija mezani hapa JF mnasema wekeni kando kwanza mshughulike na bashite.....sijui kama bashite anapumua sawasawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…