Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Inawezekana akawa nabii wa uongo.

Na atakuwa na pepo la Jezbel, maana ni muongo kweli kweli.

Tangu lini mtu uende shule aliyosoma rafiki yako ukaomba matokeo yake ukapewa??

Poleni kondoo mnaochungwa na tapeli.
 
1.Gwajima ni Mchungaji wa Kondoo wa mungu....
2.Ana Vyeti vya Daudi... (sio Daudi wa Goliath....namzingumzia wa Kolomije-Misungwi)
3.Yeye akiongea na watoto wake..... viongozi hukimbilia makanisa mengine kulia.
4.Ana Helkopta
5.Anategemea kununua ndege
Anauza madawa ya kulevya na Kudo mademu wa watu
 
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.

Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.

Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.

tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?

habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.

Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.

  1. TUSIMPENDE AU KUMCHUKIA Gwajima kwa sababu Alipishana na Askofu Pengo. Kuna ambao wanaendeleza chuki/unazi kutokana na hili. Askofu Pengo ni binadamu kama mimi na wewe ukiniweka mimi na yeye mbele za Mungu tu binadamu wote sawa. Labda ambacho kitamwongezea Credit ya Kupata Zawadi kubwa au Adhabu kubwa ni Je aliokoa au kupotosha wangapi? ila kama alizini atahukumiwa, kama alisema uongo atahukumiwa, kama alikuwa mnafiki atahukumiwa. hivyo hivyo kwa Gwajima. naye akisimamishwa na mimi ataangaliwa Ameokoa au Kupoteza wangapi..
  2. Tunapomwangalia Gwajima kwa kusema aliwah mtukana Ask Pengo na kuanzia hapo tukamwona hafai kwa sababu "alimtukana" au aliongea alichoamini kuhusiana na Askofu Pengo tunakosea sana. Tuangalie hoja zake peke yake. dini, imani na itikadi zetu zisiathiri jambo hili.
  3. Swali kuu na neno la Imani katika Mfungo huu wa Kwarezima. JE ANACHONGEA GWAJIMA NI UONGO? THIBITISHA UONGO WAKE/ASHTAKIWE HARAKA KWA KUPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.
JE WAJUA KUWA FREEMAN AIKAEL MBOWE NDIE FIRIMON GASTURA WA IHUNGO SEC??
-----------------------------------------------------------------

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni!

JINA LA KUZALIWA:- Freeman Aikael Mbowe.

ELIMU:

SHULE YA MSINGI:- Lambo-Moshi (Jina-Freeman Aikael Mbowe).

SHULE YA SEKONDARI (I-IV) :- Kibaha Sec-Pwani (Jina-Freeman Aikael Mbowe).
- Inasemekana alihitimu Kidato cha Nne Mwaka 1979, akapata daraja la Nne (Failure).

SEKONDARI A'LEVEL:- Ihungo Sec-Bukoba.
JINA:- Firimon Gastura.
-Zingatia kwamba, Firimon Gastura alionekana akisoma Milambo Boys Kidato I-IV, wakati huo Freeman Aikael Mbowe akiwa Kibaha Sec.

N:B, Inasemekana kuwa Firimon Gastura hakumaliza masomo yake pale Ihungo kutokana na sababu mbalimbali (hazitaelezwa leo) lkn jambo kubwa ni kwamba baada ya muda Firimon Gastura alionekana Benk Kuu ya Tanzania (BOT) akiwa Bank Officer (mwajiliwa) wakati huo Gavana akiwa Mzee Mtei.

ZINGATIO:
Tunaendelea kujiridhisha na taarifa hizi kwa kutambua uhusiano kati ya Freeman Mbowe wa Kibaha Sec na Firimon Gastura wa Milambo Boys. Pia tunaendelea kujiridhisha ni kwa namna gani Freeman Mbowe aliajiliwa BOT kwa kutumia jina la Firimon Gastura ikiwa hakumaliza Masomo yake. Na ni kwa namna gani Mtu mmoja anaweza kutumia Majina mawili tofauti ktk elimu kwa ngazi tofauti.
Ukweli ni kwamba, taarifa za Elimu ya Freeman Mbowe zina mazonge mengi lkn pia jitihada za kufichika kwake ni kubwa zaidi.
Tunaomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa sahihi ili kuweka kumbukumbu sawa!
Baada ya ukamilisho huu tutaitoa CV ya Freeman Mbowe ama Firimom Gastura hadharani!
Unapoishi ktk Nyumba ya Vioo, jitenge na Vita za Mawe!
Kwa ushirikiano wa Magoiga SN-Mwanza.
MIMI,
[HASHTAG]#NinamuungaMkonoRaisWangu[/HASHTAG],
[HASHTAG]#NinapigaVitaMatumiziNaBiasharaYaMadawaYaKulevya[/HASHTAG]!
MenukaJr.
 
1. Mchungaji Gwajima ni moja wa manabii wa siku za mwisho, ambaye alikuja na gia ya kufufua misukule (kuwarejesha kuishi watu waliokufa) style hiyo ilivuma sana na ikampatia waumini wengi sana walioongeza kipato chake cha sadaka na kumtajirisha.... nakumbuka.aliahidi kumrejesha Amina Chifupa, lakini sikumbuki kama alimrejesha kweli au laa.

2. Gwajima ni mtu wa kutoa maneno ya kebehi na matusi kwa watu waliomzidi umri au watu wanaopishana naye kimawazo na mtazamo. Alimtukana Baba Kardinali Pengo kama mtoto mdogo, lakini mtumishi yule wa Mungu Kardinali Pengo alionyesha Ukristo halisi na akamsamehe

3. Ndiye aliyeivunja ndoa ya Mbasha kwa kutembea na mkewe. Unaweza uka search humu humu ndani utapata nyuzi kibao zinazoelezea tukio hilo.

4. Ni mtu ambaye anaweza kukurushia pepo wakati wowote akiona umemmzidi nguvu ya maneno na maamuzi ktk mabishano yenu.



5. Ni rafiki na bwana yule aliyekuwa waziri halafu akalewa kisha akafukuzwa. Wanatoka kijiji kimoja hata kwenye msiba wa yule bwana alitumia helicopter yake. Yule bwana, askofu na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanatoka eneo moja. na yule bwana aliyefukuzwa anahisi mkuu wa mkoa anaweza akagombea jimbo lake 2020, na kwa hivi anakubalika zaidi yake, anaona atalipoteza jimbo, ndiye anayemtumia askofu amchafulie jina mwenzie ili yeye ajihakikishie jimbo
 
Watu mnaongea hisia zenu juu ya Askofu Gwajima.
GWajima mwenyewe hata hammjui.
MWenye uzi amesema wazi bila kumjua Gwajima huwezi kujadili chochote juu ya Gwajima.
Hisia zako juu ya mtu hazimfafanui mtu bali zinazidi kukupa vitendawili.
Who is Askofu Gwajima?

inajidhihirisha wazi hapa kwamba wachangiaji wengi hatumjui Askofu Gwajima.
Nilitegemea kuona vitu kama
Majina ya wazazi wake
Alizaliwa wapi na lini
Jina lake kamili
Ni mtoto wa ngapi
Shule ya msingi Alisoma wapi
Sekondari O level na A level alisoma wapi
Je aliwahi KUBASHITE
Jina la KIBASHITE
Lini alianza kuwa mchungaji
Chuo kikuu alisoma wapi
PhD yake ameichukulia wapi
Kaandika vitabu vingapi?

Nilitegemea kuona vitu kama hivyo na vikali zaidi.
Sasa naona maelezo yaliyo pwelea na kulegea kama mlenda ulochanganywa na mkunungu toka Dodoma.

Hivi lile soma la kuandika Wasifu wa mtu bado wanafundisha?
maana wengine tulikuwa form III miaka 40 iliyopita


WHO IS GWAJIMA?
Acheni kubwabwaja upupu hapa!
We jamaa kama siyo Gwajima mwenyewe basi ni muumini wake! Mtoa mada anamfananisha Gwajima na Mtikira Gwajima hawezi kumfikia Mtikira hata chembe, Gwajima anapata jeuri ya fedha alizokuwa nazo tu, hakuna kingine. Kunawakati Mch. Mtikira aliisha ingilia kati suala ka Gwajima kujidai amemfufua dada mmoja walikuwa wamekulanaye deal kumbe yule dada alikuwa anatarajia kuolewa siku za karibuni (kwa wakati huo) wazazi na mchumba wa yule dada walikuja juu sana mpaka kupelekana kwenye vyombo vya dora! Na kuna dada mwingine ana kama wendawazimu hivi maneno ya Ubongo NHC kuna watumishi wa Gwaji walitaka kumbaka kama kuku ili waende naye kanisani aonekane ni msukule lakini yule binti Pamoja na uchizi wake aliushtukia mchezo alipiga mayowe ikabidi wale watu wawekwe mtu kati katika harakati za watu kutafuta petroli za kuwapigia kiberiti ikawa bahati yao wakapokonyoka. Na suala la AC (Amino Chifupa) akadai anajua alipo na alikuwa anafanya taratibu za kumejesha, kwakweli alipiga promo ya kutosha watu wakawa wanajaa mpaka barabarani kushuhudia AC atakavyo rejeshwa ndiyo mpaka leo nahiyo ndiyo style yake ya kujaza watu akiona waumini wanapungua atazua la kuzua ili watu wamiminike kanisani kwake!
 
Hashinikizwi.ila aliahidi kumrudisha na bado tunangoja. Ahadi ni deni.

Basi tusichoke kungoja coz utatekeleza labda muda atakaotaka ukifika.
By the way hivi Bashite ashaweka vyeti hadharani au bado unakula bata sauzi kwanza.
 
Pigeni makelele mtakavyo lakini Daudi Bashite ni mchafu kuliko Hata wahasimu wake wanavyoweza kufikiria! Hasafishiki Hata kwa jiki katika hili! Cheti fake halafu anadhulumu magari ya watu kwa kuwachafua na madawa ya kulevya wakati kimada wake hamtaji! Tunakushukuru sana Mange Kimambi kwa kuanika ushahidi Wa nguvu dhidi ya tuhuma za rushwa kwa bashite!
 
Pigeni makelele mtakavyo lakini Daudi Bashite ni mchafu kuliko Hata wahasimu wake wanavyoweza kufikiria! Hasafishiki Hata kwa jiki katika hili! Cheti fake halafu anadhulumu magari ya watu kwa kuwachafua na madawa ya kulevya wakati kimada wake hamtaji! Tunakushukuru sana Mange Kimambi kwa kuanika ushahidi Wa nguvu dhidi ya tuhuma za rushwa kwa bashite!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kuna video inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja aliyezaa mtoto na Josephat Gwajima ambaye haihitaji hata DNA kubaini kuwa ni mtoto wake kwa jinsi walivyofanana. Huu ni ushahidi mwingine kuwa Gajima anatumia kanisa lake vibaya kwa tamaa zake za kimwili.

Bado tunakumbuka jinsi alivyovunja ndoa ya Flora na mumewe Mbasha baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuzaa naye mtoto. Ijapokuwa alitumia nguvu nyingi pamoja na mamilioni ya fedha kuzima moto huo, ila laana ya Mungu bado inamtafuna. Sasa amejitokeza huyu binti mwingine na kushuhudia jinsi walivyokuwa wanafanya tendo la ndoa madhabahuni. Sina hakika kama kitendo hicho ni masharti aliyopewa na waganga wake kama njia mojawapo ya kuongeza waumini.

Kwa haya yanayotokea kwenye kanisa la Gwajima, upo uwezekano kuwa wanandoa wengi wanaosali na kuhudumu kanisani hapo wameshiriki tendo la ndoa na Gwajima. Kuna uwezekano pia kuwa watoto waliozaa wana damu ya Gwajima. Kwa hali hiyo, kuna haja kwa waumini hao kupima DNA za watoto wao ili kujiridhisha kama ni wao. Na ikibainika kuwa watoto hao ni wa Gwajima, wamburuze mahakamani haraka sana.

Wito kwa Gwajima. Kutumia nyumba za ibada kwa tamaa zako za kimwili ni dhambi kubwa sana. Utajibu nini mbele ya Muumba? Dhambi za waumini wako wote wanaofuata imani yako utajitwisha wewe na hapo itakuwa ni kilio na kusaga meno.
 
Kuna haja pia ya bashitte kupima marinda..

-Halafu huyu mzee wenu mnafiki kweli..

-Kuna kitu gani kipo kati yake na yeye ?
- mzee kashikwa masikio hadi anapiga simu anajifanya anaipenda shilawadu huku wakiwa wameshajiset kumrusha Gwajima eti.

Wanachokosea ni kuwa gwajima hata azae na waumini wake wote its none of our business.

Ila bashitee lazima allete vyeti, alimtumbua Kabwe. Anyway not a big deal for now..
Issue bashite alete vyeti.
Kwa nn JP ananyamaza? Kanyweshwa nini kwani?
 
Back
Top Bottom