Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mtumishi wa mungu atakula madhabahuni kwake....imeandikwa.
Ila akila Gwajima mnachukia??
Sasa kwa taarifa yako...watumishi wa mungu hapa duniani wanamiliki mindege ya kifahari...Gwajima kachelewa tu...
Tumuombee
Muombee wewe yule mtu wa kuropoka ropoka tu, hajui zuri wala baya, kipindi kile aliropoka utumbo kuhusu Pengo, akipelekwa Central anazimia kama kuku
Saivi kakomaa na Bashite Bashite mbona hivyo vyeti haweki hadharani sasa?
We uliona wapi kwenye bible wameandika mtu wa Mungu alipe kisasi?
Au Gwajima anamuabudu Mungu gani?
Sifa kubwa ya mtu wa Mungu ni kusamehe na kuacha Mungu apigane vita yake sasa huyu bwana mropokaji bado ana sifa ya kua mtumishi wa Mungu?

Uliona wapi mtumishi wa Mungu anahubiri mipasho?
Uliona wapi mtumishi wa Mungu anategemea kupata taarifa za maisha ya watu kutoka Instagram (Mange Kimambi)?
 
Muombee wewe yule mtu wa kuropoka ropoka tu, hajui zuri wala baya, kipindi kile aliropoka utumbo kuhusu Pengo, akipelekwa Central anazimia kama kuku
Saivi kakomaa na Bashite Bashite mbona hivyo vyeti haweki hadharani sasa?
We uliona wapi kwenye bible wameandika mtu wa Mungu alipe kisasi?
Au Gwajima anamuabudu Mungu gani?
Sifa kubwa ya mtu wa Mungu ni kusamehe na kuacha Mungu apigane vita yake sasa huyu bwana mropokaji bado ana sifa ya kua mtumishi wa Mungu?

Uliona wapi mtumishi wa Mungu anahubiri mipasho?
Uliona wapi mtumishi wa Mungu anategemea kupata taarifa za maisha ya watu kutoka Instagram (Mange Kimambi)?
Kuhusu Bashite, hujaona jana Mkuu wa kaya kapokelewa na KAIMU MKUU WA MKOA???....wakatai mkuu wa mkoa alikuwa jana Kimara Mzima wa Afya??
Akuonyeshe vyeti we nani??? Wakati mamlaka iliyomteua ishamtengua kimya kimya?? Mchungaji keshamaliza kazi.
 
Mapepo yakitolewa sasa tumepata kwa kuyapelekaa kwa Bwana yuleeeeeeeeeeeee
 
Kuhusu Bashite, hujaona jana Mkuu wa kaya kapokelewa na KAIMU MKUU WA MKOA???....wakatai mkuu wa mkoa alikuwa jana Kimara Mzima wa Afya??
Akuonyeshe vyeti we nani??? Wakati mamlaka iliyomteua ishamtengua kimya kimya?? Mchungaji keshamaliza kazi.
Acha kuhangaika na Makonda yule yuko ccm miaka mingi na kwa level aliyopo na status yake kwako yaweza kua ndoto mkuu, najua ni desturi ya maskini kumchukia aliyenacho[emoji23]
Yaani maskini huomba mabaya kwa aliyenacho ili wafanane status.
Makonda hata akitenguliwa you won't catch him up
Kua mpole tu[emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: ora
.....Atakuwa amejifunza tu...kwamba Tanzania...hasa Dar es salaam hakuhitaji sana kiherehere....Waliofika Dar wakati kibao cha 'KARIBU DAR ES SALAAM' kipo Magomeni wanalielewa hili jambo....
 
Ni mtu asiyependa unafiki na uonevu.
Asante sana Gwajima kwa kutufumbua macho,Kumbe walikuwa wanatumbuliwa wale watumishi wanyonge kumbe vizito ndo zaid?.Haya ya Bashite kama yatakuwa nai kweli ni dhahiri kuwa wapo viongozi wengi serikalini wasio kuwa na vyeti,ama wamenunua vyeti vya watu,wamechukua vya wafu au kuvipata kwa njia ya mfuko.
Na ndo maana hii kitu itakuwa ngumu maana ukimgusa Bashite naye huenda akasema mbona fulani mnamwacha?
 
Ambalo nina hakika nalo ni kuwa yeye ni katika manabii wa uongo ambaye kutokana kondoo kuwa wengi mjini amewakusanya na kuwakamua kidgokidogo.
Huyo Gwajima ni askofu muongo wakuaminisha watu.mfano tu akitanganza kuwa ana vyeti vya p.Makonda,kwamba ukienda baraza la mitihani wanakupatia ndiko amepata yeye.hivi tuelezana hapa nn akishaenda baraza kuchukua cheti hata cha mtoto wake wakampa kama siyo uongo hapo nini.Naongo hajo kuwa huyu ni nabii wa uongo.
 
Watu mnaongea hisia zenu juu ya Askofu Gwajima.
GWajima mwenyewe hata hammjui.
MWenye uzi amesema wazi bila kumjua Gwajima huwezi kujadili chochote juu ya Gwajima.
Hisia zako juu ya mtu hazimfafanui mtu bali zinazidi kukupa vitendawili.
Who is Askofu Gwajima?

inajidhihirisha wazi hapa kwamba wachangiaji wengi hatumjui Askofu Gwajima.
Nilitegemea kuona vitu kama
Majina ya wazazi wake
Alizaliwa wapi na lini
Jina lake kamili
Ni mtoto wa ngapi
Shule ya msingi Alisoma wapi
Sekondari O level na A level alisoma wapi
Je aliwahi KUBASHITE
Jina la KIBASHITE
Lini alianza kuwa mchungaji
Chuo kikuu alisoma wapi
PhD yake ameichukulia wapi
Kaandika vitabu vingapi?

Nilitegemea kuona vitu kama hivyo na vikali zaidi.
Sasa naona maelezo yaliyo pwelea na kulegea kama mlenda ulochanganywa na mkunungu toka Dodoma.

Hivi lile soma la kuandika Wasifu wa mtu bado wanafundisha?
maana wengine tulikuwa form III miaka 40 iliyopita


WHO IS GWAJIMA?
Acheni kubwabwaja upupu hapa!
 
Gwajima ni miongoni mwa manabii wa uwongo!!
aache kelele atufufulie amina chifupa!
alituongopea kumfufua ndugu yetu mpaka akataka kuoza..
akakimbia!
imani/upofu aliowapa waamini wake ni zaidi ya madawa ya kulevya!
hafai katika jamii!
naona badala ya kuwepo katika sakata na Mbowe... 50% wanaChadema wameungana nae kisa bifu lao na Makonda!

Hali kadhalika upofu aliowapa Mh Mbowe Wana CDM kuona Gwajima anafaa kisa kamuandama Makonda ... nia zaidi ya madawa ya kulevya!
ningekua kiongozi ningeanzisha sheria ya Imani!
 
Me huwa najiuliza,hawa waumini wa kanisa la gwajima huwa ni binadamu wa kawaida au misukule!
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi sielewi
 
Sio kila choo kinaingilika vingine harufu haikuachi kamwe,yule sio mnafiki ukimchokoza jipange,kichwani yupo vizuri, ni great positive thinker,anaamini kile anachokisema,asemi uongo.Ana ushawishi Mkubwa kijamii ana waumini wengi,ana wafuasi wengi tu ambao sio waumini wake,yeye anamiliki nguvu ya watu.
 
Nafurahigi pale akianza kuongea yani ni balaaaaa huyu mtu
 
Alipataje doctorate yake
Unaniuliza kaipataje doctorate wakati nimeshasema simfahamu!!!

But all in all, hoja ni kutumia vyeti vya mtu mwingine... fraudulent; kwahiyo kama unaamini Askofu Gwajima alipata hiyo doctorate kwa kutumia vyeti vya mtu mwingine; unatakiwa kusema na sio kuuliza!!!

The problem with you guys wala hamjui au mnajifanya hamjui kwamba hapa hoja sio kufeli au kitu chochote sawa na hicho! Hoja ni kufoji!!! Kufoji ni jinai na haijalishi ni nani mhusika! Hata aliyekuwa Mbunge wa Temeke, Ramadhani Ali Kihiyo nae baada ya kugundulika ni fraud, alilazimika kuachia ngazi!
 
Back
Top Bottom