Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mnachosha na vithread vyenu vya kijinga
We bwege nini?! Kuna aliyekuita humu?! Kuna mahali nimeku-mention kama sio kiherehere chako kilichokufanya uni-quote?! We jamaa sijui wa wapi wewe....
 
Mkuu kwanza asante kwa kuniheshimu nami ningependa kuitunza heshima hiyo ila linapokuja suala la imani za watu, mimi ni mwepesi sana kukubaliana kutokukubaliana.
Nimeraise issues 3.
1. Jee Mchungaji Gwajima ni Nabii wa kweli au wa uwongo? . Nikatoa reference ya Yesu kuhusu jinsi ya kuwatambua manabii wa uwongo, utawatambua kwa maneno yao na matendo yao. Nikawawekea reference 2. Moja ya maneno alipomtukana Muadhama Poliycarp Cardinali Pengo. Referemce ya matendo nimeweka ushuhuda wa mwana JF aliyetendwa na kueleza humu jinsi alivyotendwa.
2. Hoja yangu ya pili ni kusema uongo kuhusu vyeti. Mchungaji ameeleza kuwa Bashite alipata sifuri na anavyo vyeti mezani kwake vinavyoonyesha hiyo sifuri!. Nikasema huu ni uongo. Cheti ni kitu kimoja na nakala ya cheti ni kitu kingine, nikasema Gwajima ana nakala na sio vyeti! . 2. Matokeo ya Div 0 hayana cheti, hivyo Mchungaji Gwajima hawezi kuwa na Cheti cha Bashite kuonyesha alipata 0 kwa sababu hakuna cheti kama hicho hapa duniani wala mbinguni. Kitu ambacho kipo ni matokeo. Matokeo sio cheti ni public document. Cheti cha Leaving certificates hakionyeshi matokeo yoyote.

Nikasema mimi ni Tomaso, siamini mpaka Gwajima atoe vyeti alivyodai anavyo vinginevyo ni muongo!.
3. Hoja yangu ya mwisho ni kuhusu Gwajima kuuza unga, nikasema hawezi kumlaumu Makonda kwa sababu kosa la Makonda ni kumtangaza tuu, nikasema Makonda yeye kapewa jina tuu. Mchungaji Gwajima anadai kuwa Makonda kamsingizia kwa ajili ya wivu wa helcopter na kutaka kugombea Misungwi. Ukweli wa tuhuma za Gwajima kuuza unga zililetwa humu JF kitambo na muumini wake mwenyewe na link niliwawekea kwenye bandiko langu hili

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
 
Tuambie vizuri were mwenye ujuzi was manabii was uwongo. Tujuze katika Biblia wamesemaje? Ukilinganisha na karama alizonazo Gwajima.
 
Umekua muda sasa, mitandaoni majina mawili yamechukua nafasi Gastura na Bashite. Nadhani huu uwe muda sahihi kwa watanzania tuujue ukweli.

Ukitazama kwa umakini, Gastura ananafasi kubwa ya kutumia vyeti vya mtu compared to wanayemuita Bashite.

Kwa mujibu Wa Tapeli, Kibwetele Wa Tanzania Gwajima, Bashite anatokea Familia Duni sasa sijui alitumia pesa gani au ushawishi UPI kununua cheti. Ila kwa mkuu Gastura wote tunajua katokea familia bora hivyo Uwezo Wa kununua au kufoji alikua nao kuliko Bashite.

Ombi langu kwa Gastura, sisi Wanachama Wa vyama vya upinzani tunadhani ni sahihi kufahamu ukweli kuhusu yeye kwa maana yeye ni waziri mkuu wetu.

Kama kweli ana vyeti halali inakuaje ngumu kwa yeye kuviweka wazi tangu aanze itwa zero, mpaka leo Gastura.

Nanyi wana Chadema na wapinzani wenzangu inabidi tukumbuke ukimnyooshea mtu kidole ujue vitatu vinakutazama wewe.

Asanteni[emoji40] [emoji40] [emoji19]
 

BASHITE ALETE VYETI TUTAJUA KAMA MTUMISHI NI MWONGO, TUMEKUELEWA, BASHITE LETA VYETI.
 
Mabashite bhana... ujibiwe mara ngapi? Kama huelewi that's your problem and not mine!!!
Fool. Unaandika hoja tofauti wakati akili imeshikwa na bashite! Rudi Facebook
 
We bwege nini?! Kuna aliyekuita humu?! Kuna mahali nimeku-mention kama sio kiherehere chako kilichokufanya uni-quote?! We jamaa sijui wa wapi wewe....
Lofa wewe. Mnajaza server tu. Mmegeuka makasuku kwa kukariri.
 
Dada weka na ushahidi basi. Maana unatokwa mate hata ushahidi hutak kuweka. Tunataka ushahidi wa madai mengine yote. Ila kama amechukua mke wa mtu huyo mtu naye analalamika? Mke wa mtu hachukiliwi.ukiona mke amechukuliwa kwa mtu ujue hakuwa mke wake.

Anyway.... Mi napenda tumfaham kiuhalisia gwajima.chuki tuweke pembeni kabisa.

Makonda tumjadili na kumhukumu kwa haki. Tusiwe na chuki tusiwe na hasira naye. Kwa upole tu tumwambie ndugu leta vyeti. Kama hana basi tunajua hana.


 
Yangu aliposhindwa kumfufua Amina Chifupa kama alivyoahidi simuamini kabisa.
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!

Una uhakika na hili usemalo au ndo mwendo wa kuendesha maisha kwa taarifa za kuokoteza mabarabarani kama Bashite
 
Watanzania tuna safari ndefu sana kufika kama charlatans kama hata akina Gwajima wanapata ufuasi.
 
Tulikuwa tukisubiri kwa hamu kusoma hio historia ya Gwajima lakini naona mleta uzi katuacha hewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…