Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Gwajima ni mpuuzi mmoja anayewaburuza watu wasiojitambua.
 
Mchungaji anatuma jini liende kwa mtu alafu bado mnaenda kanisani kwake kweli tz tunahitaji ukombozi wa kifikra
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!
Na wewe ulisomea shule gani? Ya kibashite nini.Jaribuni kuandika Kiswahili ulimi unachokubali.Mna tuboa jamani.
 
Ambalo nina hakika nalo ni kuwa yeye ni katika manabii wa uongo ambaye kutokana kondoo kuwa wengi mjini amewakusanya na kuwakamua kidgokidogo.
.... Kama ambavyo inawezekana hata wewe upo hapa kiujanja janja, kifisadi na hata mengi tuu mabaya yasiyompendeza mola wetu, ni rahisi sana kusema yule yuko hivi na vile kwa sababu wewe huonekani..
Gwajima siyo mchungaji wala askofu bali ni MJASIRIA DINI TU.
 
Lofa wewe. Mnajaza server tu. Mmegeuka makasuku kwa kukariri.
Lofa wewe. Mnajaza server tu. Mmegeuka makasuku kwa kukariri.
Mwambie basha wako Bashite awasilishe vyeti' choko wewe or else tafuta mabwana wenye vyeti halisi ili uache kutetea mabasha wako ambao ni fraud!!!

Na mabashite wote na mabasha wenu lazima muipate mwaka huu; kijibwa koko cha Bashite wewe!!!
 
Gwajima ni kaa la moto lisilozimwa kizembe mi namjua fika
 
Mwambie basha wako Bashite awasilishe vyeti' choko wewe or else tafuta mabwana wenye vyeti halisi ili uache kutetea mabasha wako ambao ni fraud!!!

Na mabashite wote na mabasha wenu lazima muipate mwaka huu; kijibwa koko cha Bashite wewe!!!
Wewe ni taahira. I rest my case
 
Ha ha ha! Umeuwa
 
Ni mashine ya kukoboa na kusaga, ukiweka miguu inatoka sembe
 
Gwajima! He is selling hope to the hopeless. NO hopeful man would follow such a person.
 
Ktk wanadamu hakuna anayeweza kujua ndani ya mwingine anayejua hayo ni mungu aliyemuumba gwajima
 
Ongeza:
6. Hajengi Shule
7. Hajengi Hospitali
8. Anajinufaisha yeye badala ya jamii
 
Hana lolote jipya. Kama yeye ni mchungaji kweli kweli, alipaswa kuanzisha issue za vyeti vya Makonda tangu alipoteuliwa kuwa RC.
Mchungaji HALISI anapaswa kukemea maovu muda wote, siyo anasubiri atajwe kwenye madawa ya kulevya ndiyo aanze kuuhadaa umma wa Tanzania kwa vigezo visivyo na kichwa wala miguu.
Je, uchungaji wake ni wa namna gani huo?
Kwa maoni yangu mimi huu ni usanii tu uliotengenezwa kwa lengo la kuficha maovu halisi.
Nauliza tena, kama yeye ni mchungaji kweli, alikuwa wapi siku zote kutueleza juu ya vyeti vya Makonda?
WATANZANIA WENZANGU, KUWENI MAKINI NA SANAA ZA MTINDO HUU,VINGINEVYO TUTACHEZEWA SANA NA MICHEZO YA KUIGIZA KAMA HUU WA SASA.
 
Samahani kama nakosea, lakini kuuliza si ujinga. Au siyo? Hivi huwa wanamaanisha wanaposema kwamba Gwajima anafufua watu na amefufua watu zaidi ya 200 (nimesoma hapa)? Kwamba watu wanafufuka kwa maana ya mtu aliyekufa, akazikwa, anafufuliwa physically kutoka kwenye uozo na kuwa mtu hai? Hiyo process huwa ikoje pale kanisani? Ina maana kanisani kwa Gwajima huwa kuna majeneza yanapelekwa pale na zombies wanaibuka? Enh? Kweli Dunia hii ujinga ni mtaji mkubwa sana. Wahenga nao, eti wajinga ndio waliwao.
 
Ndugu uko nje kabisa ya Yale yanayojadiliwa hapa. Hakuna correlation kati ya yale anayofanya biSHOP Gwaji na yale yaliyotendwa na hao Mitume na Manabii uliowataja, to make matters worse umemwingiza na Jesus Christ. Pole ndugu.

Ndiyo maana mjadala huu ni mgumu kwako.
Kaa pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…