Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

.....Atakuwa amejifunza tu...kwamba Tanzania...hasa Dar es salaam hakuhitaji sana kiherehere....Waliofika Dar wakati kibao cha 'KARIBU DAR ES SALAAM' kipo Magomeni wanalielewa hili jambo....
Kumbe eddo hii ndo ID yako
 
Wasifu si kujadili mtu
Unajua kazi ya askofu ni nini au ndo mwisho wa dunia
Hivi hii tanzania wenye vyeki feki ni wangapi na kwan cheti ndo kinafanya kazi wangapi mpaka leo hawajasoma lakini kqzi wanafanya kwa kwenda mbele
 
Ambalo nina hakika nalo ni kuwa yeye ni katika manabii wa uongo ambaye kutokana kondoo kuwa wengi mjini amewakusanya na kuwakamua kidgokidogo.
Subiri kondoo wa biSHOP waje hapa; utarushiwa missile!
 
Gwajima ni mnafiki na mchukua wake za watu nan hasojua gwajima amemchukua flora mbasha? amevunja ndoa ya watu? mchungaj gan Tz au padre alovunja ndoa za mtu kama gwajima? Gwajima anajenga majumba ya kifahari kwa pesa za wahumin ambao n maskini wanatafuta pesa kwa shida.....Gwajima Ni mtu hasye na heshma wala staha.....pengo kumtukana amekosea sana lakn pengo ana hekma sana na busara wakat wa kikwete pengo alitajwa kuhusu dawa za kulevya mzee yule alinyamaza...alpotukanwa na gwajima alinyamaza pia....Naomba kukwambia hata rais kikwete sio kwamba ameshindwa kumfunga gwajima hakushindwa ila kikwete ana hekma na busara na uvumilvu sana....kikwete hasyetaka lawama.......Gwajima hana uwezo wa kushndana na rais wa nchi wala serikali kama ww unavotaka kutuamnsha....gwajima ni sawa na mkate mbele ya supu...gwajima ni sawa na tone la maji kwenye bahari....serikali wakimua kumfunga wanamfunga na mna msahau.....kwan wangap ktk nchi tafaut wamefungwa viongoz walokuwa wanasumbua serikali? wafuasi wamelalama weee mwisho wametulia.....hakuna anayemuogopa gwajima wala hana elimu ya kutsha unayotaka wewe kutuamnsha.....Tz ina viongoz wanaoheshma viongoz wa dini...lkn nafac walopewa hao viongoz wa dini wanaitumia vbaya .....kuingilia mambo yasiyowahusu.....nataman kuoneshwe mfano vp serikali ina nguvu zaidi ya waimba kwaya wa gwajima......Gwajima ni tapeli anayeamnsha watu kuwa yeye mfufuaji walokufa....huku katika ukoo wake wanakufa anashindwa kuwarejesha.......Gwajima ni nani? Gwajima n mjanja anayekula pesa za wajinga......Gwajima ni nani? Gwajima ni mtu hasokuwa na sifa ya kuww kiongoz wa dini.....Kwanza kiongoz gan wa dini ulindwe kiasi kile una nn?? Kama kulindwa angelindwa yesu.....Gwajima n mpiga deal......
 
Lini ilikuwa Mara yako ya mwisho kusoma Biblia?
KAMA UMEWAHI KUISOMA.
Eti anahubiri mipasho, Mafarisayo walimwambia Yesu ana pepo. Kuwa na pepo ni zaidi ya kuhubiri mipasho.
kwa hiyo hilo si geni.
Gwajima anamwabudu Mungu gani?
Mafarisayo walimwambia Yesu anafukuza pepo kwa Zelubaberi,yaani mkuu wa mapepo. Kwa Lugha nyingine walimwambia Yesu ana nguvu za shetani. Hata wewe ndugu yangu umeunga foleni ya Mafarisayo na swali lako si geni pia.

Mbona Mfalme Daudi hakuacha Mungu ashuke ampige Goliath?
Mbona Yesu naye hakuacha Mungu ashuke afukuze wafanya Biashara katika hekalu la Mungu?
Wewe ndiye unaropoka juu ya Biblia, nikiongea kwa kupatia zaidi wewe ni mtu wa kusikiliza watu wengine wakiisoma Biblia.
Kama Biblia huijui kwa nini unajitosa mzima mzima KIBASHITE?

KAma GWajima humjui kwa nini unalazimisha kujifanya unamjua?
Ndugu uko nje kabisa ya Yale yanayojadiliwa hapa. Hakuna correlation kati ya yale anayofanya biSHOP Gwaji na yale yaliyotendwa na hao Mitume na Manabii uliowataja, to make matters worse umemwingiza na Jesus Christ. Pole ndugu.
 
Gwajima siyo mchungaji wala askofu bali ni MJASIRIA DINI TU.


Don't judge so that you may not be judged. Siyo wewe unayewafanya watu kuwa wachungaji bali Mungu kwa hiyo you have a dead comment
 
Ni mtu wa kawaida sana anae ishi kwa jasho la watu wasiojitambua.mbona hatuwasikii watumishi wengine wakitiliwa mashaka kama yy ni mtumishi gani wa mungu anae ishi maisha ya kimafia kama yy,wote mmeshudia mabody guard wenye miduli na milefu ikimlinda huku na huku,mbona akina pengo,malasusa,sherkh mkuu zuber na wengine hawapo kama yeye.vipi yeye kama si umafia tu.tuweni macho hata shetani anatumia bibilia pia
 
Don't judge so that you may not be judged. Siyo wewe unayewafanya watu kuwa wachungaji bali Mungu kwa hiyo you have a dead comment
Imeandikwa ata kwa matendo yao tutawatambua..! Petro ata alivyobadili mwendo walimtambua, ata alivyojithidi kuongea tofauti bado walimtambua tu.

Sasa huyu Gwajima mbeba visasi na mpayukaji anamwakilishs Yesu yuleyule aliyemrudisha nyuma PETRO kwa kumkemea na kumwita shetani??

Vita ya Gwajima ni vita ya mwili Yesu nimjuaye vita yake ni ya roho zaidi.
 
Gwajima ni mtume Paulo . Hatari sana. Mungu atujalie watu wa type ya Gwajima hata 12 tu nchi hii itakaa sawa. Namkubali saaana
 
Jibu swali, sio kutapatapa. Hoja ya thread hii ni kumjua Gwajima kiundani, unless uliandika ukiwa umesinzia
Mabashite bhana... ujibiwe mara ngapi? Kama huelewi that's your problem and not mine!!!
 
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.

Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.

Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.

tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?

habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.

Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.

  1. TUSIMPENDE AU KUMCHUKIA Gwajima kwa sababu Alipishana na Askofu Pengo. Kuna ambao wanaendeleza chuki/unazi kutokana na hili. Askofu Pengo ni binadamu kama mimi na wewe ukiniweka mimi na yeye mbele za Mungu tu binadamu wote sawa. Labda ambacho kitamwongezea Credit ya Kupata Zawadi kubwa au Adhabu kubwa ni Je aliokoa au kupotosha wangapi? ila kama alizini atahukumiwa, kama alisema uongo atahukumiwa, kama alikuwa mnafiki atahukumiwa. hivyo hivyo kwa Gwajima. naye akisimamishwa na mimi ataangaliwa Ameokoa au Kupoteza wangapi..
  2. Tunapomwangalia Gwajima kwa kusema aliwah mtukana Ask Pengo na kuanzia hapo tukamwona hafai kwa sababu "alimtukana" au aliongea alichoamini kuhusiana na Askofu Pengo tunakosea sana. Tuangalie hoja zake peke yake. dini, imani na itikadi zetu zisiathiri jambo hili.
  3. Swali kuu na neno la Imani katika Mfungo huu wa Kwarezima. JE ANACHONGEA GWAJIMA NI UONGO? THIBITISHA UONGO WAKE/ASHTAKIWE HARAKA KWA KUPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.
Wee Kama unamuabudu Gwajima shauri yako ! Wengine tunamuona Ni manabii wale wa siku za mwisho aliotuelewesha bwana Yesu !
 
Gwajima ni mtume Paulo . Hatari sana. Mungu atujalie watu wa type ya Gwajima hata 12 tu nchi hii itakaa sawa. Namkubali saaana
Mtume Paulo hakuwa Kati ya wanafunzi wa Yesu, be careful !
 
Msanii fulani anayetumia dini kama kichaka cha maovu yake.
 
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Huyu ni
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Ni nabii wa uongo kwa sababu anahubiri uongo.
Uongo wa Gwajima ni Kumiliki Vyeti vya Daudi Albert Bashite na Paul Christian Makonda Mezani Kwake!.
Ila pia Mchungaji Gwajima amedai, anavyo vyeti vyote ofisini kwake tangu cha Daudi Albert Bashite alichopata Divisheni 0, hadi cheti cha Paul Christian alichounganishiwa na Christina!, na kudai kuwa ana mshitaki Makonda kwa Ndalichako na kwa Magufuli, na asipochukuliwa hatua zozote, yeye atashangaa sana na atavitoa vyeti hivyo hadharani, umma uvione. Jee hii inaweza kuwa kweli?, huu sio uongo mwingine wa mchana kweupe?!. Hili la Mchugaji Gwajima kudai anavyo vyeti vya Daudi Bashite na Paul Christian, kwa maoni yangu, huu ni uongo!, kwa sababu nijuavyo mimi, mtu ulikuwa ukipata Div. 0 hupewi cheti chochote na NECTA zaidi ya Leaving Certificate, Leaving huwa haionyeshi umepata nini, sasa hicho cheti cha Daudi Bashite alichonacho Mchungaji Gwajima, kinachoonyesha Daudi Bashite alizungusha, Gwajima amekitoa wapi?. Kwa vile Daudi Bashite alifeli darasa la saba Nyanza, hawezi tena huyo huyo Daudi Bashite akajiunga na Shule ya Sekondari ya Pamba ambayo ni ya serekali, bali Daudi Bashite baada ya kufeli darasa la 7, hapo ndio mwisho rasmi wa jina la Daudi Albert Bashite, hivyo mtu aliyejiunga na shule ya sekondari ya Pamba, sio Daudi Bashite, bali alitumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu, hivyo Mchungaji Gwajima, hawezi kuwa na vyeti vya Daudi Bashite vinavyoonyesha kuwa alizungusha. Kwa kifupi, hakuna Daudi Bashite yoyote aliyesoma sekondari, Daudi Bashite original, aliishia darasa la saba!, hivyo kama Mchungaji Gwajima, anadai, anavyo vyeti vya Daudi Bashite, vinavyoonyesha alipata Div 0, huu utakuwa ni uongo!, ila mtanisamehe sana, sisi wengine tuu miongoni mwa wale wenye imani haba kamaTomaso, hatuamini mpaka tuone!. Kwa hapa naendelea kumwita Mchungaji Gwajima ni muongo hadi pale atakapo vitoa vyeti vya Daudi Bashite hadharani tuvione ndipo nitaamini!.

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.

Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.
Na ukimsikiliza Gwajima hapa, utakubaliana na mimi huyu jamaa sio mzima kabisa japo haokoti makopo.
[QUOTE="Mulhat Mpunga, post: 20009921,

Paskali

Katika orodha ya wana habari ambao hua nina waheshimu sana hapa Tanzania jina lako pia lipo (ni msimamo wangu, sio lazima wote mue sawa na mimi) but kwenye hili kaka umedandia kitu usicho kijua kabisa; Biblia unaifahamu kwa kiwango kidogo sana. Una haraka gani kaka ya kujua kama huyu askofu anavyo vyeti vya mhe au laa!? Amesema mwenyewe kwamba atavitoa muda ukifika, why can't we wait and see!? Hivi leaving certificate kwa Kiswahili c ni cheti pia? Mfano mtu aje aseme hivi; "Pascal hukufauru Secondary wewe, wewe ulipata 0 na cheti chako ninacho" and then akatoa hiyo leaving certificate kama ushahidi utambishia wapi ili hali wewe hutuoneshi hicho cheti chenye matokeo!? Well, nashawishika kuamini kwamba Gwajima anachosema ni kweli kwa mwenendo hu, mtuhumiwa badala ya kujielekeza kwenye kile anachotuhumiwa nacho yeye anabadiri viongozi wa dini ili wamuombee; mhe RC anasali kanisani kwa mchungaji Ndeki wa Living water, why can't he go and be prayed kwa mchungaji wake badala yake mara awaite Waislam mara Lutheran, anaogopa nini kwenda kanisani kwake ili aombewe? Mchungaji Ndeki na askofu Gwajima wote hawa ni Wapentekoste (haya ni madhehebu ya kikristo) kwanini aachane na wapentekoste wenzie na kujikita kwenye IMANI zingine? Pascal, hivi unafahamu kwamba Wapentekoste hawaamini kama Waislamu wana mwamini Mungu wa aina yao? Nafikiri ungejikita kwenye kutafiti mwenendo wa Bashite mara baada ya yeye kutupiwa dongo hata wewe ungeona kuna namna Fulani ya UKWELI ju ya shutuma anazo pewa.
Hivi mlitaka Gwajima baada ya kutuhumiwa anauza/anatumia madawa hayo ya kulevya akae tu kimya bila kusema chochote kwa watu anao waongoza!? Kaka, unafiki basi hauna kwao. Waingereza wanao msemo wao kwamba silence means Yes, so angekaa kimya hata mimi ninge amini kwamba askofu nae ni TEJA. Amejibu tena mnasema eti anyamaze kwakua yeye ni Mkristo, hiyo sio sawa
Nyie wote ni wasukuma, yaani Gwajima, mhe RC na wewe; kaani kikao chenu cha kifamilia sasa (joke of the day brother; heshima yangu kwako bado iko pale pale.)
 
Back
Top Bottom