Mchungaji Hananja: Wachungaji KKKT wakihoji vitendo vya viongozi kuuza Mali za kanisa, wanafukuzwa, asema na yeye alisimamishwa mwaka mmoja

KKKT haina tofauti na SACCOS ama kikundi cha vicoba.

Wana migogoro mingi ambayo haina tofauti na ile ya kwenye vyama vya siasa.

Wakati wa mgawanyo wa dayosisi ya Pare na Mwanga walimwagiana tindikali kinoma
Kungwi hueleweki kama nanii......
 
Mim sijaenda KKKT miaka karibu 10 sasa....Sadaka inapangwa kutoka juu, eti usharika huu mtoe kiasi fulani...basi hapo harambee za kijinga jinga tu.....ni wakati sasa wa maaskofu kutuachia kanisa
SAS wakiachia kanisa itaongozwa na nani kina kimaro ndio mnawataka waongoze kanisa ?

Tuwcheni ujinga Bado kijitonyama haijatetereka itaka sawa tu hz Ni siasa za kanisa tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Kama anaitwa Askofu Mkuu ila hana mamlaka ni useless. Kama kweli Katiba iko hvyo kuna haja ya mabadiliko haraka
 
Wewe muongo!
Askofu Mwaikali alikuwa si mwaminifu kabisaa na wala usimtetee kujenga hija yako idiyo na miguu.
Ksulize Konde Dayosisi, Tshs 200 mil alizopewa Mwaikali kwa kuiuzia/kukodisha ofisi za Dayosisi Tukuyu zilienda wapi?
Kuna sharika Rungwe zilimpatia zaidi ya Tshs 60m ili wanunue mashamba ya miti Iringa, alikula hizo.
Nakushauri mtoa mada usikurupuke kwa mifano isiyo na tija.
 
Tutaliondoa kanisa mikononi mwa wahuni
 
Wewe ni mnufaika wa ufisadi unaoutetea, tutaondoa magugu yote pamoja na wewe
Unatatizo la kimsingi.
Anzisha kanisa lako kama Mwamposa , Kakobe au Mwingira, hukosi kondoo wa kutafuna.
 
Your browser is not able to display this video.

Mapashkuna ya Dr Rev Kimaro
 
Kwamba tuhuma alizopewa mtu kama Dr Munga zote zilikuwa za kupika ili viongozi wa kanisa waibe viwanja?



Too good to be true! Wengine wanavuna walichopanda wenyewe.
 
Mimi ni MKKKT na hicho ukichosema kuhusu katiba ni ukweli mtupu na nmekuwa nikisema kila siku.

Angalia mfano yule Bagonza wa karagwe jinsi alivyo na mapembe!

Yani KKKT ni moja lakini humo ndani ina vipande vingi balaa.
 
Mim sijaenda KKKT miaka karibu 10 sasa....Sadaka inapangwa kutoka juu, eti usharika huu mtoe kiasi fulani...basi hapo harambee za kijinga jinga tu.....ni wakati sasa wa maaskofu kutuachia kanisa
Dah blaza hatuchekani
 
Kwani hii kkkt ni ya malasusa? Ni wakati sasa waumini wamsusie kanisa abaki yeye na familia yake.

Watu mngejua siri ya haya makanisa mngeokoa mipesa yote mnayowachangia ili waishi maisha ya kifahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…