Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
wakina mamboro, mashirima na matemba hao huwaambii kitu mnama kidambeHao ndo wazururaji wa Makanisani!
Anatishia kwenda kwa Mwamposa!
Utasema roho yake ameiweka rehani kwa Mtu [emoji1787]
Harafu ukute ni Mke wa mwamba mmoja, Wanaume tuna kazi