Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

mkolintho

Member
Joined
Mar 3, 2023
Posts
56
Reaction score
40
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi za juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akiwasubiri kuwashughlikia kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo kukurupuka, fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
 
Amefukuzwa au amehamishwa mtaa? Sio rahsi kufukuzwa labda kama wamemuondoa na kumpangia mtaa mwingine,
 
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akuwasubiri kuwashughlikia Kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
Mchungaji wa kanisa gani? Jina la kanisa ama mtaa?
 
TAKUKURU na kanisa wapi na wapi? Huyo flying eagle ndege mbona mnamsema tofauti na yaliyobainika? Mkewe mchungaji kuiba dawa inakuja habari ya kuunganishwa na kanisa je ukiwa TAKUKURU uruhusiwi kuabudu kakisani? Na je ikitokea OP uruhusiwi kushiriki? Think big mkuu ukiona huelewi njoo pm
 
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akuwasubiri kuwashughlikia Kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
Msema kweli mpenzi wa Mungu mtaje huyo mtakukuru!
 
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akuwasubiri kuwashughlikia Kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
Inaonesha haupo neutral katika suala hili! Unadanganya tu
 
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akuwasubiri kuwashughlikia Kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
Ama ni nyasubi SDA?
 
Lolote ndiyo lipi? Huyu kafukuzwa kimzengwe kwenye mada ni ushauri wa Bure wewe ulitaka kijuliwe nini?
Mkuu wasabato ni mara chache Sana kumfukuza mchungaji hasa Kwa kesi kama hyo ya kisiasa , huwa wanahamisha mitaa
 
Palikuwa na habari humu kumhusu mchungaji wa kanisa la wasabato na ofisa wa Takukuru kahama:


Habari mpya ni kwamba lengo la mtakukuru hatimaye limetimia na mtumishi wa Mungu kafukuzwa kazi.

Pole mchungaji lakini hukumu za haki ni za mola peke yake.

Kufukuzwa kwake mchungaji huyu kumefanikishwa na kuongezwa kwa tuhuma kuwa yeye alilIfikIsha suala lake kwenye vyombo vya habari jambo ambalo si kweli.

Kwa bahati mbaya sana wasichokijua kanisa, uongozi wa kanisa (conference), waumini na hata mchungaji mhanga na mke wake ni kuwa mtakukuru kajipenyeza ndani yao kweli kweli. Itawachukua muda sana kukitambua kiwalacho.

Kiwalacho ki nguoni mwao.

Huyu bwana yumo hadi kwenye vikao vyenye kupendekeza maamuzi magumu kufanyika ngazi za juu (conference). Ambapo ngazi juu kwa kawaida huthibitisha tu mapendekezo hayo.

Hakuishia hapo, bali kajipenyeza hadi kwenye baadhi ya ofisi ambazo waumini wengi wa kanisa hilo huzitumia kwa ushauri wa kisheria wakiamini damu ni nzito kuliko maji.

Matokeo yake bila kujua mchungaji na mkewe wamekuwa wanashauriwa kisheria na mtakukuru yule yule kupitia vipandikizi huku yeye akuwasubiri kuwashughlikia Kwa Pilato na kwenye kamati za maadili kanisani pia.

Anatoboa vipi mchungaji mwaminifu wa Mungu hapo?

Ushauri wa bure kwake, kimlacho ki nguoni mwake:

1. haraka sana aende ikiwezekana mkoani kuonana na mawakili wengine kwa ushauri.
2. Kwa vile anajua hajatendewa haki, akae mbali kabisa na conference kwa sasa.
3. Asikubali ushauri wowote wa conference, washauri wao au wenye kumshauri kuhusiana na lolote kwenye jambo hili, ila mawakili wapya Shinyanga.

Akumbuke si nadra kufanyika makosa ya kimaamuzi panapo fitna au hila.

Mabilioni ya shilingi ya fidia yanaweza yakamhusu akijipanga sawa sawa.

Mungu hajawahi kumtupa mja wake (Zab 23).

Pole mchungaji, jipe moyo. Mwana wa Mungu atatenda.
We naye unawachafua wasabato..mbona hawanaga hizi scandal unazoleta leta hapa kama madhehebu mrngine? Kaeni huko huko myamalize ..wewe ndo unasambaza chuki hapo kanisani ..sijafurahishwa kabisa
 
We naye unawachafua wasabato..mbona hawanaga hizi scandal unazoleta leta hapa kama madhehebu mrngine? Kaeni huko huko myamalize ..wewe ndo unasambaza chuki hapo kanisani ..sijafurahishwa kabisa
Huu ni ushauri wa bure kwa mchungaji. Hii siyo memo ya kukufurahisha wewe mbona?
 
Back
Top Bottom