Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri kwa mtu si lazima umfurahishe kila mtu. Ndiyo maana kuna miziki na kina diamond pia.Yamalizeni huko huko kanisani ..kuna uongoz huko kuliko kuyaleta humu..ili umfaidishe nani..mxiew
Nakuzaa umenkwaza wasabato hawapo hivyo ..jiheshimi na heshimu kanisa🚮
Mchungaji wa kanisa gani? Jina la kanisa ama mtaa?
Mtoa mada, dini na siasa ni vitu viwili tofauti, mchungaji akionewa katika utumishi hawezi kutetewa na siasa bali ni rehema za mwenyezi tu ndiyo zitamrudishia uongozi.
pole sana
TAKUKURU na kanisa wapi na wapi? Huyo flying eagle ndege mbona mnamsema tofauti na yaliyobainika? Mkewe mchungaji kuiba dawa inakuja habari ya kuunganishwa na kanisa je ukiwa TAKUKURU uruhusiwi kuabudu kakisani? Na je ikitokea OP uruhusiwi kushiriki? Think big mkuu ukiona huelewi njoo pm
Ama ni nyasubi SDA?
Msema kweli mpenzi wa Mungu mtaje huyo mtakukuru!
Ni bwana Aeroplane/birds.Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya
Ungelijua usingeuleta uzi huu humu! Maana taarifa yako haina ukweli, mchungaji wa Nyasubi hajawahi kwenda polisi kwa lolote kwa hizo tarehe zako ulizoziweka kwenye huu Uzi wako wa uongo, sema una agenda yako na sababu zako. Kama kweli unajua SDA ni taasisi kubwa na walengwa ni washiriki...www.jamiiforums.com
View attachment 2619749
Bado unataka na ubini?
SDA Wote hawaruhusiwi kujihusisha na mambo ya siasa, uongozi wala kitu chochote kinachohusu mambo ambayo ni vigumu kuepuka dhambi... kama kwel huyo mchungaji kajitakia mwenyeweNdiomana ilishauriwa Wachungaji na Wake zao wawe WALAWI!!!Lakini sikuhizi wengi wamejikita ktk Biashara au wake zao kuajiriwa.