tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Ukiwa na akili ndogo kama mbegu ya hardali huwezi kumuelewa Mch Dr Kimaro. Muombe Mungu akupe hekima uelewe madini anayotema Dr Kimaro.Matamshi kama vile ya kipofu aliyeona mwezi si ndiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na akili ndogo kama mbegu ya hardali huwezi kumuelewa Mch Dr Kimaro. Muombe Mungu akupe hekima uelewe madini anayotema Dr Kimaro.Matamshi kama vile ya kipofu aliyeona mwezi si ndiyo?
Pesa/ Mali/Wenye mali, haya mambo ndo yanalitesa kanisa la sasa.... ndomana walifukuzana kila mmoja akaanza kudai miradi ni yake..... warudi enzi za kina Elisha hawakufagilia hayo mambo...Hiyo sio kweli ya Mungu, kweli pekee ina Mungu wetu.
Wezi wa sadaka..Acheni wivu wa kike au nawe ni muumini wa LGBTQ? Weka wazi tujue. Una wivu wa kishoga ujue!
Hawa ndo wapambe waliobeba mabango....shame to youUkiwa na akili ndogo kama mbegu ya hardali huwezi kumuelewa Mch Dr Kimaro. Muombe Mungu akupe hekima uelewe madini anayotema Dr Kimaro.
Hawa waabudu "MAJINI" toka huyu mchungaji wao awasifie bado kdg watamlamba matako....Exactly. Tusaidiane kuwaelimisha hawa mambumbumbu wasiendelee kuwapotosha watu kuhusu madini anayotema Dr Kimaro.
Wakatishia kumhamisha "kati kati" ya mji wampeleke shamba akangua kilio, amshukuru sana Shoo, angetupwa Ruvuma....Ashaanza kulewa sifa, mapinduzi makubwa katika kitabu cha matendo na uzihirisho wa roho Mtakatifu walifanya matajiri? Shida ni jina Kimaro.
Huyo huyo bendio yule mchungaji aliyepewa likizo ya kujitafakari?
Nimeipenda hii!.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Bro. Kamwene! [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo huyo be
Kila mtu ana nafasi yake kanisani na hapa duniani kwa ujumla.Ndio maana sisali tena. Pale.
Jamaa anapotosha mandiiko.
Petro ndio msiingi wa kanisa. Na hakua tajiri.
Hiyo ya Arimathaya ni sadaka kama nyingine tu.
Hapo kijito washarika wana pesa na wanamhudumia hivyo lazima awapaishe.
Ni ngumu sana kuwa tajiri bila kuua, kudhulumu na kuiba.Kila mtu ana nafasi yake kanisani na hapa duniani kwa ujumla.
Awe masikini au tajiri, wote wana umuhimu na wajibu kwa kadiri wanavyoweza.
Hata hivyo, kumekuwa na tabia ya masikini (walio wengi) kujifariji kuwa wao ndiyo wa Mungu zaidi (wakitumia neno la ngamia na tajiri) kitu ambacho siyo kweli.
Ukifanyika utafiti rasmi, masikini wanaweza kuwa na roho mbaya kuliko matajiri, hivyo ikawa vigumu zaidi kwa masikini kuingia mbinguni.
Umeongea vema sana mkuu. Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanaotoa maoni hasi humu wana umbumbumbu wa kutosha kuhusu neno la Mungu. Wangekuwa na uelewa wala wasingehoji madini aliyotema Mch Dr Kimaro bali wangemshukuru kwa kuwa na karama ya kufundisha neno la Mungu kwa mifano halisi ya kipindi tulichopo kama alivyofanya Bwana wetu Yesu Kristo wakati akihubiri injili kule Galilaya na maeneo mengine ya nchi.Huu ndio ufanatic usio na maana.
Ulihudhuria mahubiri au mdio unajibu kutokana na masimulizi ya jf?
Msiwe wahukumu wasiokuwa na maana yoyote.
Mahubiri mtu aweza kutoa mfano tu kama Yesu alivyotoa mifano ili aeleqeke.
Katika kutoa mfano wewe unajenga hoja hapo hapo.
Unaukumbuka ule mfano akioutoa Yesu kumwelezea yule mtu aliajiriwa katika kuposha kwa riba?
Yesu akasema alipopata habari za kufukuzwa kwake kazi akawaendea wadaiwa na kuwaambia wqpunguze kiwango cha pesa wanazodaiwa? Yaani wamdanganye mwenye kampuni ya ukopeahaji?
Unakumbuka Yesu alimsifia kwa kutumia akili kujipatanisha na wqtu ili arudipo mtaqni akubalike?
Na akasifia kuwa wana giza wana akili kuliko wana wanuru?
Hivi Kimaro angetoa mfano ule si ungemlaqni kabisa?
Mkuu huna hoja na una ulokole flani wa mapokeo..
Pole
Kama Petro hatakiwi kudhalilishwa kama unavyodai ambacho ni ujinga basi isingeelezewa kwenye biblia tunazosoma. Wapi imesema kuwa Mchungaji kamuhukumu petro? Au una maujinga yako tu kichwani?
Ni ukweli pia tajiri ndo aliyeenda kuomba kuuhifadhi mwili wa Yesu na sio kina Petro. Hivyo mchungaji Kimaro yuko sahihi kama una jambo nae litafute kwenye hoja nyingine sio hapo
Mchungaji yupo sahihi nyie mbumbu ndio mnashindwa kumuelewa.Hawa waabudu "MAJINI" toka huyu mchungaji wao awasifie bado kdg watamlamba matako....
Hatasijakuelewa, unazungumzia Kanisa lipi? Nani waliofukuzana wakadai mali? Mimi nazungumzia Kanisa la Kristo.Pesa/ Mali/Wenye mali, haya mambo ndo yanalitesa kanisa la sasa.... ndomana walifukuzana kila mmoja akaanza kudai miradi ni yake..... warudi enzi za kina Elisha hawakufagilia hayo mambo...
Kama kumuelewa ni kugumu hivyo, basi hafai. Mchungaji mzuri ni yule anayeeleweka vizuri na kila mtu, na hasababishi taharuki kwa mahubiri yake.Ukiwa na akili ndogo kama mbegu ya hardali huwezi kumuelewa Mch Dr Kimaro. Muombe Mungu akupe hekima uelewe madini anayotema Dr Kimaro.
Siyo kweli kwamba ili uwe tajiri kuna ugumu bila kuua, kuiba au kudhulumu.Ni ngumu sana kuwa tajiri bila kuua, kudhulumu na kuiba.
Yote hayo yanamfanya tajiri awe na chances ndogo Sanaa kiimani.
Kwa macho ya kibinadamu tajiri anaonekana kama mtu muhimu Sanaa ila kwa Mungu wote ni sawa tu.
Ila huyo Mchungaji anapenda pesa na kuna msharika hapo kaanisaani anapesa na ni mtu wake wa karibu anamsaafisha.
Katoliki ni pango la shetani"...ninasadiki kwa kanisa moja ,Takatifu katoliki la mitume...." Kanisa hili halina ubabaishaji kabisa